Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Sio kosa lako. 1.Elimu 2.Elimu. 3. Elimu
 
Usiropoke, kama hujui kaa kimya. Kaitaba ni uwanja unaomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba na ndo wameweka nyasi bandia. Usihusishe huo uwanja na mtu yeyote!
 
Njaa mbaya sana
 
Najiuliza tu,
1. Waliofanya uamuzi wa kujenga uwanja mkubwa Chato walizingatia vigezo gani? Yaani kwanini Chato na si sehemu nyingine tu?
2. Isingekuwa mkulu hatoki Chato bado wangefikiria kufanya uamuzi huo?

Ni bahati mbaya sana huwa sijibu Maswali ya ' Kipumbavu / Kipopoma ' kama haya. Na acha kunipotezea muda wangu tafadhali.
 
Katika mji wa Gbadolite alikotoka, Rais Mobutu Sese Seko alijenga kasri kubwa la kifahari na uwanja wa ndege ambao ndege za kusafirisha bidhaa za anasa kama vile mvinyo ghali kutoka Ulaya zilitua na kupaa.

Njia ya kutumiwa na ndege kupaa na kutua katika uwanja huo ilikuwa kubwa kiasi cha kuweza kutumiwa na ndege kubwa ya wakati huo Concorde - ambayo aliikodi mara kwa mara.

Lakini alipotimuliwa madarakani mwaka 1997, kila kitu kilisimama. Sasa ni mahame.
 
Sioni maana sawa na kujenga uwanja wa aina hiyo Kilimanjaro ni bure kabisa
 
Sio kosa lako. 1.Elimu 2.Elimu. 3. Elimu

Ukoo wako wa Kiumeni na Kikeni ungepata Mtu hata Mmoja tu mwenye IQ aliyonayo GENTAMYCINE ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' nadhani mngeringa na kujivunia huku mkimshukuru mno Mwenyezi Mungu lakini ni bahati mbaya haijawa hivyo na naomba pia nisichelewe kutoa pole Kwako kwa niaba yao.
 
Sa si kingejengwa Mwanza ambako kuna idadi kubwa ya watu. Hv watu wengine mnatumia akili gani kufikiri? CCM kirumba yenyewe si mali ya serikali na pia hakina hadhi ya jiji kubwa km la Mwanza
nchi inakua hii mkuu, idadi ya watu pia inaongezeka kwa kasi (hasa kanda ya ziwa) watu wanazaa sana, sasa unaposema vijengwe viwanja vidogo vidogo, vipi miaka ijayo?
sisi tumeweka malengo ya miaka ijayo.
 
Umesema hatuna ukumbi mkubwa wa mikutano? Vipi JNICC au AICC? Au sii kumbi hizo za kisasa?
 
Wa kumbukumbu kipindi ambacho mtoto wetu hatakuwa madarakani
 
Wewe acha ujinga economically kujenga uwanja mkubwa chato ni hakuna faida ni hasara tupu. Kama wewe ulivyo mtupu. Jamaa kaandika fresh uzi huu.
chato patakua makao makuu ya mkoa mpya
chato idadi ya watu inakua sana
chato kitajengwa kiwanda cha samaki
chato utakua mji wa kitalii sabab ya burigi national park
chato itajengwa university
chato patajengwa veta

hakuna haja ujenge uwanja wa watu af30 af baada ya miaka 15 ubomoe ujengee mwingine!!
 

Thanks for this ' Moronic Argument ' of Yours.
 

Kwa nini uanze na Chato ambako hakuna hata timu ya ligi kuu ? na hawana historia yoyote ya kusisimua katika soka? Kama tunavyoshindwa kujua kipi kitangulie kati ya elimu bure na elimu bora ndivyo tunashindwa kujua wapi tutangulie kujenga hiki au kile
 
Mkuu ebu tueleze vizuri kwanza kulikoni. Naona malalamiko yako hapa ila sijajua msingi wake. Wametamgaza hivyo au Musiba kasema hivyo?
 
Serikali yenyewe imekili hv karibuni kuwa haina kumbi bora kisasa kwa ajili ya kuandaa mikutano mikubwa. Nazani hujui maana ya kumbi bora za kisasa.
Umesema hatuna ukumbi mkubwa wa mikutano? Vipi JNICC au AICC? Au sii kumbi hizo za kisasa?
 
Thanks for this ' Moronic Argument ' of Yours.
Tatizo hauna hoja ukiishiwa ni kuleta vimaneno vya kutusi
Una tatizo unataka unachoamini kila mtu akubali, watu wa mara ni kutumia ubabe bila akili hii 2019.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…