Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Unabishana na Mimi sasa Mkoa wangu wa Mara ( Musoma ) na Watu wa huko katika Uzi huu wameingiaje? Ngojea sasa wenyewe waje ndipo utawajua. Kuhusu kutaka kila Mtu akubali ninachosema wala hujakosea na hivyo ndivyo nataka kwani GENTAMYCINE ni ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' au ulikuwa hujui? Bishana na Mimi na acha Kuuhusisha Mkoa wangu mzuri na ninaoupenda wa Mara ( Musoma ) na ' Kuwadhihaki ' wana Mara wenzangu wote sawa? Hili ni ONYO KALI Kwako.
Mkoa mzuri hauwezi kuwa mara penye watu wa ajabu
Ukeketaji- Mara
Ubabe - Mara
Unyanyasaji wa jinsia-Mara
Wizi-Mara
Sifa ya uzuri hakuna
 
Wenye akili hawajisifii. Yawezekana ukawa wa kwanza kwa darasa la vilaza watupu. Tulia mkuu acha kujikweza km mzee Meko. Tujadiliane kwa staha tu sio mashindano ya eti mi nilipata div. 1 ya point7. Useless.

Kuna mahala nimesema au kutaja Matokeao yangu Kitaaluma? Halafu ni nani aliyekudanganya kuwa Mtu akiwa anafanya vyema Kitaaluma basi ndiyo Mwerevu / Kipanga? Hivi ni kwanini mnakuwa ' Mapopoma ' hivi? Kwa Kukusaidia tu sasa Uwerevu / Ukipanga wa Mtu ' Logically ' huwa haupimwi kwa anavyofaulu Darasani pekee bali kuna Mjumuisho wa mambo kadhaa hasa ya Kimaarifa zaidi, Ujengaji wake wa Hoja na Uwezo wake wa Kuchambua mambo / vitu. Na ndiyo maana huwa nawaambia hamna Akili halafu mnanikasrikia wakati kumbe huwa nakuwa kweli kwa 99.9999%.
 
Kwani Mimi nikivuta Bange / Bangi zangu ambazo ndizo hunifanya niwe ' Genius / Brainiac ' zaidi Wewe Kinakuuma nini? Na Wewe unavyopenda ' Kunyabelika ' kuna Mtu huwa anakushangaa au hata Kukuzuia? Mimi starehe yangu ni ' Bangi / Bange ' na Wewe yako ni ' Kunyabeliwa ' hivyo kila Mtu asimuingilie Mwenzake sawa?
Wewe Genius ?
Hhhhhhh aisee
Kama hapo jirani kuna kituo cha afya fika muone daktari
Unaweza kuwa na Malaria Kali au kichwa kinauma sana
 
Katika suala la michezo siwezi kuongea kisiasa.

Hili la ujenzi wa uwanja nimelibariki kwa baraka zote maana kila mtu atakuwa na haki ya kutumia uwanja ule na mechi za kimataifa zitaenda pale.

Uwanja wa michezo kwangu mimi naona ni zaidi ya Ndege.

Wewe unaweza kuongea lipi mkuu
 
Mkoa mzuri hauwezi kuwa mara penye watu wa ajabu
Ukeketaji- Mara
Ubabe - Mara
Unyanyasaji wa jinsia-Mara
Wizi-Mara
Sifa ya uzuri hakuna

Nakupa ONYO KALI la Mwisho tafadhali kama Wewe unajijua kabisa kuwa hutokei haya Makabila Makubwa ya ' Watani ' zangu Wahaya ( Kagera ), Wanyaturu ( Singida ), Waha ( Kigoma ), Wanyiramba ( Singida ), Wakara ( Ukerewe Mwanza ) na Warangi ( Kondoa Dodoma ) naomba uache ' Kunichokoza ' kwani huenda nikakupa Jibu ambalo litakufanya unichukie Maisha yako yote tafadhali. Kama unatokea hayo Makabila tajwa hapo juu basi sawa nakuruhusu unichokoze na unitanie uwezavyo ila tofauti na hapo ' nitakuraruararua ' Mkuu.
 
Kuna Watu ni ' Mapopoma ' hapa duniani hadi najiuliza ni kwanini hata Mwenyezi Mungu alipoteza muda wake muhimu Kuwaumbeni. Uwanja wa Mpira haujengwi kwa Kigezo cha eneo husika kuwa mbali au kwamba halina Watu wengi au halina Michezo. Ujenzi wa Uwanja unaweza ukawa sasa ndiyo chachu kubwa ya muamko wa Kimichezo katika eneo husika lakini pia Ujenzi wa huo huo Uwanja unaweza pia kuwa ni Chanzo cha Mapato kwa Halmashauri na Serikali husika ya Mkoa. Kama haitoshi Uwanja huo huo mkubwa wa hapo unaweza kuwa ni Chanzo cha Kiuchumi hasa kwa Wakazi kwani wanaweza wakawa wanauza bidhaa zao pale Michuano ikiwa inachezwa hapo. Baada ya Ujenzi wa huo Uwanja wenye Mamlaka nao wanaweza wakawa wanautumia kwa Kuukodisha kwa Timu Kubwa Kubwa nchini au hata wakawa Wanaandaa Mashindano ambayo yatazikutanisha hizi Klabu Kubwa hivyo Mapato Kuongezeka lakini hata na Hamasa ya Kimpira na Kimichezo eneo husika nayo ikaongezeka. Na Viwanja havijengwi kwa matumizi tu ya sasa basi Viwanja vinajengwa hata kwa matumizi ya baadae na kwa Vizazi vijavyo. Na Kinachofanya Uwanja Kujaa siyo Watu ( Wakazi ) husika wa hapo bali ni ' Hamasa ' na ' Mwamko ' unaojengwa na Wahusika wa Kimichezo kutokana na Mipango yao waliyonayo katika Kuendeleza Mchezo wa Mpira wa Miguu hapo. Na hakuna mahala popote pale nchini Tanzania pameandikwa kwamba ndiyo pawe na Uwanja wa Mpira na pengine pasiwepo. Umeleta Mada hii Kiuanaharakati / Kisiasa zaidi kwakuwa tu una Chuki zako na Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwa kuwa nae anatokea hilo eneo la Chato na huenda pia na Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) na hii Serikali ila nina uhakika Uwanja huu huu ungesikia Unajengwa eneo jingine wala usingekuja na haya ' Majungu ' yako. Kwani sehemu atokayo Rais ikiwa na Maendeleo ni Kosa au Dhambi? Mnafiki na Mshamba mkubwa Wewe!

Kwanini usijengwe kijijini kwenu sasa mkuu.
 
Be careful Noah nyeusi itakuhusu,!!
hahahahahahaaaaaa

mods wameniwekea kizingiti nisiendelee ku post mi picha inayomfananisha bwana mkubwa na Sese Seko Mobutu Kuku Ngbendu wa Zabanga

kosa liko wapi, Sese Seko alijenga ma white elephant kijijini kwao kwa hela ya umma kwa utashi wake, na huyu anajenga ma white elephant kijijini kwao kwa hela ya umma kwa utashi wake, kuwafananisha tunakosea wapi?
 
Hahahaaaaa bhita ni bhita muraaaaa
Nakupa ONYO KALI la Mwisho tafadhali kama Wewe unajijua kabisa kuwa hutokei haya Makabila Makubwa ya ' Watani ' zangu Wahaya ( Kagera ), Wanyaturu ( Singida ), Waha ( Kigoma ), Wanyiramba ( Singida ), Wakara ( Ukerewe Mwanza ) na Warangi ( Kondoa Dodoma ) naomba uache ' Kunichokoza ' kwani huenda nikakupa Jibu ambalo litakufanya unichukie Maisha yako yote tafadhali. Kama unatokea hayo Makabila tajwa hapo juu basi sawa nakuruhusu unichokoze na unitanie uwezavyo ila tofauti na hapo ' nitakuraruararua ' Mkuu.
 
Mkuu, sisi hatushindani na Rwanda wala inchi yoyote.
Kama chato ipo ndani ya eneo ya United Republic of Tz kwani kuna tatizo gani mkuu??

Mbona SGR inajengwa From Dar to morogoro watu wa mtwara na Tanga hawajalalamika??

Binafsi sioni tatizo, maana kiwanja cha chato sio ndio kitakuwa cha mwisho kujèngwa... Mwanźa, Arusha, Mbeya, Kigoma vitajengwa tu mkuu, tujipe muda boss
Uwanja wa mpira unalinganisha na SGR.. Hivi kweli vinaendana? Atasema Simba na Yanga au mechi zingine za kimataifa zitachezwa hapo lakini watu watalala Mwanza au Dar au kwingine wanakotaka kwa sababu kuna uwanja mkuwa wa ndege! Lakini kiuchumi hii inapaswa kuwa kipaumbele chetu?
 
Wewe Genius ?
Hhhhhhh aisee
Kama hapo jirani kuna kituo cha afya fika muone daktari
Unaweza kuwa na Malaria Kali au kichwa kinauma sana

Kheri Mimi mwenye hiyo Malaria Sugu ila Wewe una dalili zote za ' Bipolar Disorder ' hivyo wahi ' Matibabu ' yako haraka tafadhali.
 
Wewe ingekuwa ardhi takatifu adi leo tungeshalipwa malimbikizo yetu
Tunataka Rais wetu awe anacheza mpira kama Pierre Nkurunzinza.
Halafu Chato ni lazima kupewe kipaumbele kuliko sehemu nyingine yoyote, Chato ni ardhi takatifu
 
Madhara ya kunywa chai ya pili pili kwa kitafunwa cha Tangawizi. Mkuu umepanic sn vp? Freeze man!
Kuna mahala nimesema au kutaja Matokeao yangu Kitaaluma? Halafu ni nani aliyekudanganya kuwa Mtu akiwa anafanya vyema Kitaaluma basi ndiyo Mwerevu / Kipanga? Hivi ni kwanini mnakuwa ' Mapopoma ' hivi? Kwa Kukusaidia tu sasa Uwerevu / Ukipanga wa Mtu ' Logically ' huwa haupimwi kwa anavyofaulu Darasani pekee bali kuna Mjumuisho wa mambo kadhaa hasa ya Kimaarifa zaidi, Ujengaji wake wa Hoja na Uwezo wake wa Kuchambua mambo / vitu. Na ndiyo maana huwa nawaambia hamna Akili halafu mnanikasrikia wakati kumbe huwa nakuwa kweli kwa 99.9999%.
 
Mkuu, sisi hatushindani na Rwanda wala inchi yoyote.
Kama chato ipo ndani ya eneo ya United Republic of Tz kwani kuna tatizo gani mkuu??

Mbona SGR inajengwa From Dar to morogoro watu wa mtwara na Tanga hawajalalamika??

Binafsi sioni tatizo, maana kiwanja cha chato sio ndio kitakuwa cha mwisho kujèngwa... Mwanźa, Arusha, Mbeya, Kigoma vitajengwa tu mkuu, tujipe muda boss
Kumbe wajinga mpo wengi sana?
 
Madhara ya kunywa chai ya pili pili kwa kitafunwa cha Tangawizi. Mkuu umepanic sn vp? Freeze man!

Kuwaelimisha ' Mapopoma ' kama Wewe na Wenzako baadhi huwa ni moja ya Kazi yangu hasa niwapo hapa na ninaifurahia.
 
Kheri Mimi mwenye hiyo Malaria Sugu ila Wewe una dalili zote za ' Bipolar Disorder ' hivyo wahi ' Matibabu ' yako haraka tafadhali.
Mkoa wa mara umetajwa kuongoza kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa asilimia 78 hali iliyosababisha hofu kubwa kwa wakina mama,wazee na watoto kutokana na mira kandamizi ya kupora mali ikiwemo ardhi,kuozesha watoto wadogo kwa nguvu,kukithiri kwa vitendo vya ukeketaji,utumikishaji watoto majumbani,vipigo kwa wanawake na wazee kutokana na ukwiukwaji wa sharia za nchi na haki za binadamu.

Up sound…..Mkoa wa Mara wenye makabila 26 umetajwa kuwa na ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa ikiwemo walimu kuwabaka wanafunzi,kuwapa adhabu za kuvuna mtama wakitumia mdomo na wakinamama kuporwa ardhi kama anavyobainisha mkuu wa wilaya ya Bunda mwl.Lidia Bupilipili katika kampeni ya kuhamasisha jamii kuamsha ari ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake,wazee na watoto.

Kwa upandewake mkurugenzi mtendaji wa shirika la kutetea haki za wanawake na watoto KIVULINI Bw.Yasin Ali ameiomba serikali kudhibiti michezo ya kamali na utazamaji wa video usiku wa manane hali inahatalisha maisha ya mtoto huku walimu wakibainisha jinsi wazazi wanavyotumia nguvu kubwa kuozesha watoto wao.
 
Mkoa wa mara umetajwa kuongoza kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa asilimia 78 hali iliyosababisha hofu kubwa kwa wakina mama,wazee na watoto kutokana na mira kandamizi ya kupora mali ikiwemo ardhi,kuozesha watoto wadogo kwa nguvu,kukithiri kwa vitendo vya ukeketaji,utumikishaji watoto majumbani,vipigo kwa wanawake na wazee kutokana na ukwiukwaji wa sharia za nchi na haki za binadamu.

Up sound…..Mkoa wa Mara wenye makabila 26 umetajwa kuwa na ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa ikiwemo walimu kuwabaka wanafunzi,kuwapa adhabu za kuvuna mtama wakitumia mdomo na wakinamama kuporwa ardhi kama anavyobainisha mkuu wa wilaya ya Bunda mwl.Lidia Bupilipili katika kampeni ya kuhamasisha jamii kuamsha ari ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake,wazee na watoto.

Kwa upandewake mkurugenzi mtendaji wa shirika la kutetea haki za wanawake na watoto KIVULINI Bw.Yasin Ali ameiomba serikali kudhibiti michezo ya kamali na utazamaji wa video usiku wa manane hali inahatalisha maisha ya mtoto huku walimu wakibainisha jinsi wazazi wanavyotumia nguvu kubwa kuozesha watoto wao.

Ratiba yako ya ' Kunyabelika ' kwa Siku ya leo inasemaje?
 
Back
Top Bottom