Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Nakupa ONYO KALI la Mwisho tafadhali kama Wewe unajijua kabisa kuwa hutokei haya Makabila Makubwa ya ' Watani ' zangu Wahaya ( Kagera ), Wanyaturu ( Singida ), Waha ( Kigoma ), Wanyiramba ( Singida ), Wakara ( Ukerewe Mwanza ) na Warangi ( Kondoa Dodoma ) naomba uache ' Kunichokoza ' kwani huenda nikakupa Jibu ambalo litakufanya unichukie Maisha yako yote tafadhali. Kama unatokea hayo Makabila tajwa hapo juu basi sawa nakuruhusu unichokoze na unitanie uwezavyo ila tofauti na hapo ' nitakuraruararua ' Mkuu.
Fujo isiyo umiza siwezi kuumizwa na matusi na siwezi kukuchukia kwasababu umenitukana ukiona una haja
Mwisho wa yote mimi natokea mkoa wa Kagera.


Mkoaa umetajwa kuongoza kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa asilimia 78 hali iliyosababisha hofu kubwa kwa wakina mama,wazee na watoto kutokana na mira kandamizi ya kupora mali ikiwemo ardhi,kuozesha watoto wadogo kwa nguvu,kukithiri kwa vitendo vya ukeketaji,utumikishaji watoto majumbani,vipigo kwa wanawake na wazee kutokana na ukwiukwaji wa sharia za nchi na haki za binadamu.

Up sound…..Mkoa wa Mara wenye makabila 26 umetajwa kuwa na ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa ikiwemo walimu kuwabaka wanafunzi,kuwapa adhabu za kuvuna mtama wakitumia mdomo na wakinamama kuporwa ardhi kama anavyobainisha mkuu wa wilaya ya Bunda mwl.Lidia Bupilipili katika kampeni ya kuhamasisha jamii kuamsha ari ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake,wazee na watoto.

Kwa upandewake mkurugenzi mtendaji wa shirika la kutetea haki za wanawake na watoto KIVULINI Bw.Yasin Ali ameiomba serikali kudhibiti michezo ya kamali na utazamaji wa video usiku wa manane hali inahatalisha maisha ya mtoto huku walimu wakibainisha jinsi wazazi wanavyotumia nguvu kubwa kuozesha watoto wao.
 
Ukiagiza Chai unapewa Chai na kamwe si Pilipili.

Mimi sijakupa chai nimetaka akili yako uishughulishe iwaze. Chato unapajua? Ushawah kufika? Je panafaa kujengwa uwanja mkubwa kama huo wa kuwa kama wa taifa au zaid ya taifa. Je kwanini iwe chato isiwe kwenye wilaya zingine. What if ungejengwa tandahimba, maswa, mlele, ukerewe and the like?
 
Naomba kuelimishwa kidogo na Mimi.....

Economics;
lies on art/scientific ways of allocating scarce resources in efficient and effective manner to yield as much optimal results possible.

Needs/Wants, Resources, Priorities, Budget

Back to the topic, mi naona kiwango Cha fedha kujenga uwanja Chotto, kingetumimika kuwekeza kwenye kujenga kiwanda/viwanda (2/3)vya kuchakata mazao ya kilimo vikapewa hata grace period ya miaka 10, zaidi 60% ya wana Chato wangenufaika kwa haraka kwa kupata
*soko la uhakika la mazao ya kilimo+(matunda/mifugo) ambavyo vinapatikana kwa wingi huko,
*Ajira mpya za moja kwa moja viwandani, sisikuwa za moja kwa moja,
*Kupunguza watu kuondoka kwenda kutafuta Misha miji mingine na kuvutia watu wa miji mingine kuja kutafuta fursa mpya chato
*Watu vipato vyao vitaimalika na uwezo wao wa kununua bidhaa na huduma nyingine kuwa mkumbwa hivyo serikali kukusanya Kodi zaidi,watu kupunguza utegemezi kwa serikali keep baadhi ya huduma (afya,elimu,Maji na nk) wataweza kuzilipia hata private sector.

Tuendeleze nchi yetu(mikoa/wilaya au Kanda)kwa ku exploit resources (watu wengi wa maneo hayo wanafanya nini Kama shughuri kuu kiuchumi), kuplan mikakati ya kuja na miradi ya kukuza vipato vya watu Hawa kwa wao kuendelea kufanya kile wachofanya kwa tija na kitaalamu... Na nijukumu la serikali kuhakikisha Kila eneo/Kona/mkoa/wilaya/Kanda nchi zinaendelea kwa watu wake kuwa vipato vya uhakika kujiweza/kuboresha maisha yao na kuweza kuchangia katika Pato la taifa.

Tupunguze kufikiria kwa nadharia za kijamaaa wakati kiuhalisia maisha yetu na uchumi wetu zinaenda kipepari(market forces/nguvu ya soko), mfano wadau wengi hapo juu wameorodhesha faida za kujenga uwanja wa mpira chato, ila Kama watu wa kule vipato viko chini viingilio hata vikiwa buku tatu chato fc na njombe mji uwanja hauta pata watu wa kutosha......

US imewekeza Sana kwenye kujenga vipato vya wamarekani, China,EU,Russia, Japan na nchi karibu zote duniani zinataka kwenda kuuza bidhaa zao US, China inanyanyashwa na US kwa kulimwa tarrifs Kila siku Hadi wanalalamika same to EU, Mexico na n.k, kwanini nchi zisingejikita kujaribu kuta kuuza bidhaa zao China,India,Japan, Russia,Brazil, au nchi nyingine zozote zile duniani yenye watu wengi!!!?

Kama hakuna soko, HAKUNA biashara....
 
Naona uzi wangu umehama kabsa! Bring back my thread!!!
Fujo isiyo umiza siwezi kuumizwa na matusi na siwezi kukuchukia kwasababu umenitukana ukiona una haja
Mwisho wa yote mimi natokea mkoa wa Kagera.


Mkoaa umetajwa kuongoza kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa asilimia 78 hali iliyosababisha hofu kubwa kwa wakina mama,wazee na watoto kutokana na mira kandamizi ya kupora mali ikiwemo ardhi,kuozesha watoto wadogo kwa nguvu,kukithiri kwa vitendo vya ukeketaji,utumikishaji watoto majumbani,vipigo kwa wanawake na wazee kutokana na ukwiukwaji wa sharia za nchi na haki za binadamu.

Up sound…..Mkoa wa Mara wenye makabila 26 umetajwa kuwa na ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa ikiwemo walimu kuwabaka wanafunzi,kuwapa adhabu za kuvuna mtama wakitumia mdomo na wakinamama kuporwa ardhi kama anavyobainisha mkuu wa wilaya ya Bunda mwl.Lidia Bupilipili katika kampeni ya kuhamasisha jamii kuamsha ari ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake,wazee na watoto.

Kwa upandewake mkurugenzi mtendaji wa shirika la kutetea haki za wanawake na watoto KIVULINI Bw.Yasin Ali ameiomba serikali kudhibiti michezo ya kamali na utazamaji wa video usiku wa manane hali inahatalisha maisha ya mtoto huku walimu wakibainisha jinsi wazazi wanavyotumia nguvu kubwa kuozesha watoto wao.
 
Be careful Noah nyeusi itakuhusu,!!

Waafrika na watawala wetu tuna njia ndefu sana masikini ya Mungu. Watu wanahoji mchakato wa kuamuarasilimali zetu tunazipeleka nyanja gani za maendeleo anatishiwa kutekwa na kuuawa, daaaah!

Yani mnajua kwamba mnachemka sana kwenye ku govern hizi nchi, na mawazo huru ya kuwakosoa yanatishia tawala zenu, ili kubaki madarakani mko tayari kufanya brutality kwa wananchi wenu, ubinadamu wenu uko wapi???
 
Shida wengi mnakimbilia kucoment bila kusoma. Sijasema Chato pasijengwe kiwanja,lakini kijengwe kiwanja chenye kuendana na idadi ya watu. Hilo li uwanja likubwa watu gani wataingia? Si bora vijengwe viwanja vidogo vidogo vingi katika mikoa tofauti yenye uhaba mkubwa wa viwanja? Simple logic.
Anainua biashara ya kijijini kwake, ndio mana anajenga na mahotel. Anaota siku moja tutaenda kujaza kiwanja na kulala kwenye Hotel zake za Chato.
 
Hesabu za wanasiasa huwa ni za kujua wao wenyewe tu. Hivi kweli Chato kunahitajika uwanja mkubwa wa miguu kama wa Taifa (kwa Mkapa) wa kazi gani?

Kama huu mmoja Dar na uwingi wote wa watu tunashindwa kuujaza je Chato? Huu utakuwa ni upotevu mwingine wa fedha kama za ESCROW.

Sifa zikizidi haya ndo madhara yake. Nilitegemea uwanja kama huu ujengwe kwenye majiji makubwa ya Mwanza, Mbeya, Arusha au Morogoro. Kiukweli kwa hili hata kama ndio charity begins at home, this is too much.

Mimi niko pamoja na mzee Meko na nakubali mambo mengi anayoyafanya ila kwa hili HAPANA. Hapa ndipo Kagame anapotupiga bao. Hesabu zake ni very strategic. Hakurupukagi. Mwezi uliopita tumeona Rwanda wakiufungua uwanja bora na wa kisasa kabisa maarufu kama Kigali Arena.

Sisi bado maamuzi yetu ni ya sifa sifa na mihemko. Kagame anaijenga Kigali inaonekana. Sisi hatueleweke mara, tujenge Arusha tunaacha tunahamia kuijenga Dodoma. Wakati huo huo Dar nayo inatakiwa ijengwe sasa tunahamia Chato.

Sisemi mikoa mingine isijengwe lakini kuna miradi ya kimkakati ambayo inahitaji kufikiri na kutafakari kwa kina. Yawezekana kwa sasa kipaumbele cha watu wa Chato ni hospitali ya kisasa au vyuo vya ufundi na si uwanja mkubwa kiasi hicho. Hakunaga mipango ya namna hiyo!!

Nadhani Chato wanahitaji uwanja mdogo tu kama wa Azam Complex unawatosha.

Wahusika tafakarini. Kwa mipango yetu mibovu ndio maana hadi leo hii hatuna ukumbi wowote wa maana kwa ajili ya kuhost mikutano mikubwa, hatuna kumbi kubwa za kisasa za burudani. Na hakuna anayeona hilo.

Cheap political popularity inatugharimu sana tena sana.

View attachment 1244923
Hivi Tanzania Mpira wa Miguu ndio mchezo tu wa kujengewa Viwanja?
 
Very good, angalau ww umeeleza na kunyambua vzr. Labda watani zangu akina ngosha watakuelewa
Naomba kuelimishwa kidogo na Mimi.....

Economics;
lies on art/scientific ways of allocating scarce resources in efficient and effective manner to yield as much optimal results possible.

Needs/Wants, Resources, Priorities, Budget

Back to the topic, mi naona kiwango Cha fedha kujenga uwanja Chotto, kingetumimika kuwekeza kwenye kujenga kiwanda/viwanda (2/3)vya kuchakata mazao ya kilimo vikapewa hata grace period ya miaka 10, zaidi 60% ya wana Chato wangenufaika kwa haraka kwa kupata
*soko la uhakika la mazao ya kilimo+(matunda/mifugo) ambavyo vinapatikana kwa wingi huko,
*Ajira mpya za moja kwa moja viwandani, sisikuwa za moja kwa moja,
*Kupunguza watu kuondoka kwenda kutafuta Misha miji mingine na kuvutia watu wa miji mingine kuja kutafuta fursa mpya chato
*Watu vipato vyao vitaimalika na uwezo wao wa kununua bidhaa na huduma nyingine kuwa mkumbwa hivyo serikali kukusanya Kodi zaidi,watu kupunguza utegemezi kwa serikali keep baadhi ya huduma (afya,elimu,Maji na nk) wataweza kuzilipia hata private sector.

Tuendeleze nchi yetu(mikoa/wilaya au Kanda)kwa ku exploit resources (watu wengi wa maneo hayo wanafanya nini Kama shughuri kuu kiuchumi), kuplan mikakati ya kuja na miradi ya kukuza vipato vya watu Hawa kwa wao kuendelea kufanya kile wachofanya kwa tija na kitaalamu... Na nijukumu la serikali kuhakikisha Kila eneo/Kona/mkoa/wilaya/Kanda nchi zinaendelea kwa watu wake kuwa vipato vya uhakika kujiweza/kuboresha maisha yao na kuweza kuchangia katika Pato la taifa.

Tupunguze kufikiria kwa nadharia za kijamaaa wakati kiuhalisia maisha yetu na uchumi wetu zinaenda kipepari(market forces/nguvu ya soko), mfano wadau wengi hapo juu wameorodhesha faida za kujenga uwanja wa mpira chato, ila Kama watu wa kule vipato viko chini viingilio hata vikiwa buku tatu chato fc na njombe mji uwanja hauta pata watu wa kutosha......

US imewekeza Sana kwenye kujenga vipato vya wamarekani, China,EU,Russia, Japan na nchi karibu zote duniani zinataka kwenda kuuza bidhaa zao US, China inanyanyashwa na US kwa kulimwa tarrifs Kila siku Hadi wanalalamika same to EU, Mexico na n.k, kwanini nchi zisingejikita kujaribu kuta kuuza bidhaa zao China,India,Japan, Russia,Brazil, au nchi nyingine zozote zile duniani yenye watu wengi!!!?

Kama hakuna soko, HAKUNA biashara....
 
We ni Me au Ke
Shida wengi mnakimbilia kucoment bila kusoma. Sijasema Chato pasijengwe kiwanja,lakini kijengwe kiwanja chenye kuendana na idadi ya watu. Hilo li uwanja likubwa watu gani wataingia? Si bora vijengwe viwanja vidogo vidogo vingi katika mikoa tofauti yenye uhaba mkubwa wa viwanja? Simple logic.
 
Hilo dimba linajengwa lini na litakuwa na uwezo kiasi gani?

Acha ujengwe as long as unaongeza idadi ya viwanja vikubwa, ukijengwa huo na Dodoma pale tutakuwa na stadiums nne kubwa zilizo za kisasa....
 
Naomba msaada uzi wangu huu uonekane pia jukwaa la siasa. Kule kila nikiandika wanakata. Yani ni Ka....taa!
 
Mkuu, sisi hatushindani na Rwanda wala inchi yoyote.
Kama chato ipo ndani ya eneo ya United Republic of Tz kwani kuna tatizo gani mkuu??

Mbona SGR inajengwa From Dar to morogoro watu wa mtwara na Tanga hawajalalamika??

Binafsi sioni tatizo, maana kiwanja cha chato sio ndio kitakuwa cha mwisho kujèngwa... Mwanźa, Arusha, Mbeya, Kigoma vitajengwa tu mkuu, tujipe muda boss
Typical Africans, HISIA wameweka mbele kuliko UHALISIA..

Kuna timu ngapi za mpira huko CHATO,? Kwanini viwanja visianze kujenga Mikoa ambayo iko mbele kimichezo?

Sifa, mihemko, woga, maamuzi mabaya, maamuzi ya hisia ndio mambo yanayoturejesha nyuma nchi za Africa chini ya Jangwa la Sahara..

Kwa ufupi CHATO sio sehemu ya kujenga kiwanja kikubwa kama hicho..

Mabutu Seseseko wa Zabanga alijaribu kujenga kwako lakini hivi sasa nyumba zimekuwa MAGOFU, kiwanja cha ndege kimekuwaa mbuga ya wanyama..

Let's think real, Bro..
 
Ninegundua huku nako kuna mazwazwa wengi sana.. ni hv chato hakuna mzunguko mkubwa wa namna hio... naunga mkono hoja ungejengwe wa kawaida.. tofauti na hapo ni hasara tu.. maamuzi ya kukurupuka
 
Kuna Watu ni ' Mapopoma ' hapa duniani hadi najiuliza ni kwanini hata Mwenyezi Mungu alipoteza muda wake muhimu Kuwaumbeni. Uwanja wa Mpira haujengwi kwa Kigezo cha eneo husika kuwa mbali au kwamba halina Watu wengi au halina Michezo. Ujenzi wa Uwanja unaweza ukawa sasa ndiyo chachu kubwa ya muamko wa Kimichezo katika eneo husika lakini pia Ujenzi wa huo huo Uwanja unaweza pia kuwa ni Chanzo cha Mapato kwa Halmashauri na Serikali husika ya Mkoa. Kama haitoshi Uwanja huo huo mkubwa wa hapo unaweza kuwa ni Chanzo cha Kiuchumi hasa kwa Wakazi kwani wanaweza wakawa wanauza bidhaa zao pale Michuano ikiwa inachezwa hapo. Baada ya Ujenzi wa huo Uwanja wenye Mamlaka nao wanaweza wakawa wanautumia kwa Kuukodisha kwa Timu Kubwa Kubwa nchini au hata wakawa Wanaandaa Mashindano ambayo yatazikutanisha hizi Klabu Kubwa hivyo Mapato Kuongezeka lakini hata na Hamasa ya Kimpira na Kimichezo eneo husika nayo ikaongezeka. Na Viwanja havijengwi kwa matumizi tu ya sasa basi Viwanja vinajengwa hata kwa matumizi ya baadae na kwa Vizazi vijavyo. Na Kinachofanya Uwanja Kujaa siyo Watu ( Wakazi ) husika wa hapo bali ni ' Hamasa ' na ' Mwamko ' unaojengwa na Wahusika wa Kimichezo kutokana na Mipango yao waliyonayo katika Kuendeleza Mchezo wa Mpira wa Miguu hapo. Na hakuna mahala popote pale nchini Tanzania pameandikwa kwamba ndiyo pawe na Uwanja wa Mpira na pengine pasiwepo. Umeleta Mada hii Kiuanaharakati / Kisiasa zaidi kwakuwa tu una Chuki zako na Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwa kuwa nae anatokea hilo eneo la Chato na huenda pia na Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) na hii Serikali ila nina uhakika Uwanja huu huu ungesikia Unajengwa eneo jingine wala usingekuja na haya ' Majungu ' yako. Kwani sehemu atokayo Rais ikiwa na Maendeleo ni Kosa au Dhambi? Mnafiki na Mshamba mkubwa Wewe!
Rubish,... kuna mchezo gani maarufu unatamba huko CHATO, kuna mchezaji gani maarufu anatokea CHATO..
 
Ziba masikio baba.Zile 5 star hotel tano karibu na burigi zijengwe fasta.Utafiti wa mafuta na gas ufanyike huko na ikiwezekana na viwanda vya mbolea na korosho ilimwe huko.Hata ikiwezekana Tanzania ifutwe jina iitwe Chato kubeba jina.Lijengwe bonge la Cathedral huko.Ujengwe ukumbi wa kimataifa pia.

Safi sana.Hahahah
 
Vipi vyama vya upinzani wataruhusiwa kuukodisha ili kufanya mikutano yao ya kisiasa ?
Nalog off
 
Mimi sijakupa chai nimetaka akili yako uishughulishe iwaze. Chato unapajua? Ushawah kufika? Je panafaa kujengwa uwanja mkubwa kama huo wa kuwa kama wa taifa au zaid ya taifa. Je kwanini iwe chato isiwe kwenye wilaya zingine. What if ungejengwa tandahimba, maswa, mlele, ukerewe and the like?
Hata hapajui unapoteza muda bure
 
Mimi sijakupa chai nimetaka akili yako uishughulishe iwaze. Chato unapajua? Ushawah kufika? Je panafaa kujengwa uwanja mkubwa kama huo wa kuwa kama wa taifa au zaid ya taifa. Je kwanini iwe chato isiwe kwenye wilaya zingine. What if ungejengwa tandahimba, maswa, mlele, ukerewe and the like?
Ndio Chato hiyo
9e88a9ef599a847553b28a896f062cc3.jpeg
 
Back
Top Bottom