Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
YapKwahiyo watu wa mikoani kama huko morogoro ndio mijinga sana kiasi kwamba hadi wanabebwa kuja kuangalia wasanii Dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapKwahiyo watu wa mikoani kama huko morogoro ndio mijinga sana kiasi kwamba hadi wanabebwa kuja kuangalia wasanii Dar?
Nipo hapa uwanjani now. #JPM5TENAMtu mwenye akili za kiwango hicho ulichokitaja, hawezi kushawishika kuhudhuria na pia kumchagua mgombea kwa sababu tu alimburudisha au kumpa chakula.
Wahudhuriaji wengi wa hilo tamasha watakua ni wale Watanzania wajinga tu mlio watengeneza wenyewe kwa miaka yote hii kupitia elimu duni, sera duni za kiuchumi, kisiasa na kijamii, nk.
Wapuuzi wenzako haoSawa kwani kuna shida/ubaya wowote kwako?
CCM ni chama janja janja tu. Hakijawahi kuamini kwenye sera. Hapo watu watapigishwa burudani ya kutosha tu, halafu baadae wataambiwa tumejenga flyovers, barabara ya njia 8, tumenunua ndege, nk.Burudani na sio sera???
Hebu punga mkono nikuone basi! Mimi nipo huku Lushoto nawaangalia mubashara kupitia TBCCM.Nipo hapa uwanjani now. #JPM5TENA
Unamsongo wa mawazo
Leo itakua ni siku ya burudani tu na kujimwambafai. Ni siku ambayo hayo maflyovers yatatajwa zaidi ya mara 100!Ni sawa cha muhimu Mwisho wa siku wanaondoka na sera za CCM.
Tundu Lisu anakwenda stendi ya mkoani Ubungo kumkatia tiketi beki 3 wake!Leo itakua ni siku ya burudani tu na kujimwamafai. Ni siku ambayo hayo maflyovers yatatajwa zaidi ya mara 100!
Watu wa huku Mkoa wa Kilimanjaro tunaruhusiwa huko....Karibu bwashee!
Vipi lile lenye vyuma mpaka kero?Baada ya siku 3 gari litarudi garage.
I cant reach youVipi lile lenye vyuma mpaka kero?
Tusisahau na Wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari kulazimishwa kwenda Uwanjani.wengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k
Diamond ataperform saa ngapi tuibuke pande hizo mkuu?Karibu sana kwenye kampeni komavu za kiume za CCM chini ya jembe, mzee baba,hodari,jemedari,mkuu wa kaya, kiboko ya mafisadi,mapafu ya mbwa hakuna kuchoka,number1 ,baba jesca JPM upate ata kauzalendo kidogo.
Njoo msikilize platinamzTetetete siwezi kuja kumsikiliza dikteta
Si huwa mnasema JWTZ haimpendi Magufuli? Sasa inakuwaje tena itumike kumpigia kampeni?wengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k