Uchaguzi 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. John Pombe Magufuli

Uchaguzi 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. John Pombe Magufuli

Karibu sana kwenye kampeni komavu za kiume za CCM chini ya jembe, mzee baba,hodari,jemedari,mkuu wa kaya, kiboko ya mafisadi,mapafu ya mbwa hakuna kuchoka,number1 ,baba jesca JPM upate ata kauzalendo kidogo.

Hapo hakuna KAMPENI komavu zaidi ya ulaghai na kulisha watu matango pori!
Nimemsikia Bwana Slow slow akitamba kuwa, ninanukuu, "TUNAENDA KUPIGA FLYOVER 9 katika Jiji la DSM maeneo ya Morocco, Magomeni, Fire,......"
WATANZANIA HATULI FLYOVERS..... CCM acheni usanii!!
 
wengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k
Utakufa kwa pressure, najua unaumia ila ni namna ya kujifariji ili usije ukafa ghafla.
 
Mapumziko ya anko Magu yalikuwa ya kimkakati, hakupenda wanafunzi wa darasa la saba na walimu wao kuvurugika ktk kutimiza ratiba ya mitihani yao ya taifa kumaliza darasa la saba!

Leo wote hao wanajaza uwanja, kazi kweli kweli!
 
Hadi sasa Hakuna cha upinzani kinacho weza kupimana ubavu na chama cha CCM.
utitiri wa vyama vya upinzani ni udhaifu mkubwa sana....
 
UCHAGUZI HUU WA MAGUFULI NA GENGE LAKE


View attachment 1594646
Kumekucha, kumekucha....!

Inawezekana mwaka huu huko Zanzibar kukatokea "KIMBARI" ya kutisha sana..!

Hii itakuwa zaidi ya ile ya 2001 ambako Wazanzi-bar zaidi ya 20 walipoteza maisha na mamia kwa maelfu kuwa wakimbizi wa Kisiasa kwa mara ya Kwanza Tanzania!

Tunaomba JUMUIA ZA KIMATAIFA ZILIMRIKE HILI.
 
Unaelewa nini wewe naye
Acha kupotosha upuuzi, unataka kuwaaminisha watu kuwa wanajeshi ( JWTZ) wameacha kazi zao za kiulinzi na kwenda kwenye mkutano wa siasa?

Ukiulizwa hao wanajeshi wametoka kikosi gani utajibu?
 
Acha kupotosha upuuzi, unataka kuwaaminisha watu kuwa wanajeshi ( JWTZ) wameacha kazi zao za kiulinzi na kwenda kwenye mkutano wa siasa?

Ukiulizwa hao wanajeshi wametoka kikosi gani utajibu?
Hata juzi kule Mererani waliua raia
 
Hii ni hadithi ya paukwa pakawa?
Utaona mikoa kama
Tanga
Pwani
Lindi
Mtwara
Kigoma
Dar asili
Songea asili
Wote Hao ni CCM kwa kishindo lakini
Mbeya
Katavi
Rukwa
Songwe
Mara
Kagera
Kilimanjaro
Arusha
Njombe
Hapo ni CHADEMA kwa kishindo
Sehemu za mchanganyiko kama morogoro
Iringa
Dodoma
Shinyanga
Hapo kutakuwa na mvutano
Mimi ni mwislamu nafanya biashara za kusafiri
Miskitini wanaongelea CCM kwa Sana
Hata Magufuli anajua Waislamu Ndio jamii ya darasa la 7 na Ndio masikini
Dkt Bashiru anasema CCM haipendwi na watu Wasomi na wenye uchumi na mtaji wetu ni wajinga na masikini ambao wengi wao ni waislamu
 
We sogea eneo la tukio watakuwepo wote sio mondi peke yake zuchu kiba hamonize wakali wote wa singeli bila kusahau mkuu wa kitengo polepole na mzee baba mwenyewe number moja mkuu wa kaya JPM.
Niko kwny gari tayari mkuu.
JamiiForums409068559_680x455.jpg
 
Itakuwa kweli mkuu maana huko mikoani mijitu inajazana tu kwenye kampeni mpaka vyama vinajivunia kujaza watu ila mijitu yenyewe hata hizo sera hawazielewi wanapigwa na jua tu.

Hii nchi bado mijitu ni mijinga.
 
CCM ni chama janja janja tu. Hakijawahi kuamini kwenye sera. Hapo watu watapigishwa burudani ya kutosha tu, halafu baadae wataambiwa tumejenga flyovers, barabara ya njia 8, tumenunua ndege, nk.

Hakuna sera yoyote ile itakayo ongelewa leo kuhusu ustawi wa maisha ya watu. Kwa maana Maendeleo kwa sasa ni Vitu tu! Na siyo watu.
Tatizo sio ccm we ushafutilia kama hao watu wanajali kuuhusu sera ?achilia kuzielewa.

Mitanzia mingi bado ni mijinga na huo ujinga wao unatumiwa na vyama vyote vya siasa.
 
Back
Top Bottom