Uchaguzi 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. John Pombe Magufuli

Uchaguzi 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. John Pombe Magufuli

Huyu mgombea wa CCM segerea kwa kweli atuombe radhi kwa fix nadhani kwanza mwenyewe anaona aibu maana hakuna kitu kilichofanyika kwenye hili jimbo kwa miaka 5 anasema jimbo la Segerea maji yanapatikana 98% hivi anaona watu hawana ufahamu Kinyerezi karibu yote maji ni ya kununua kwenye magari dumu la lita 1000 elfu 15 ndoo 500 halafu anasema maji yapo, huo mradi wa DMDP sijui upo maeneo gani kipande tu cha barabara ya kimanga tu imechukua miaka karibu minne kukamilika nk huyu ana shida au hata hakujua anachozungumza hili jimbo kama kuna kilichofanyika ni 15% tu
Mgombea wa Kigamboni kasema wao pekee ndiyo wamepewa hospitali mbili za wilaya na Magufuli kwa mkoa mzima wa Dar. Bahati mbaya akaja wa Kigamboni naye akasema hivyo hivyo yani eti Mbagala pekee ndiyo wamepewa hospitali mbili za wilaya kwa Dar. Hadi mtu unabaki kushangaa.

Nimeshangaa Gwajima yeye kataja maendeleo lukuki jimbo la Kawe huku anamsifia Magufuli. Mbaya zaidi akiwa jimboni anasema hakuna kilichofanyika na mbaya zaidi na zaidi ukisoma kitabu cha Mdee cha utekelezaji yote aliyotaja leo Gwajima yameandikwa kwenye hicho kitabu.
Yani wagombea wa CCM hawajiamini kabisa.
 
Baada ya kupumzika kwa siku kadhaa, mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli anaendelea na kampeni leo katika mkoa wa Dar es Salaam katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Up dates;
HI NA LEO PIA MC ATAKUA ADAMU MCHOMVU? SABABU NATAKA KUSHUHUDIA PIA SHOW YAKE YA MITAMA.
 
Mbona mnaonekana mmepungua sana awamu hii ukifananisha na wakati wa Jakaya mmejitoa sana muhanga awamu hii au?
 
Katika uchaguzi kuwa upande wa ushindi ni raha sana. Asanteni Dar kwa kumwelewa Mhe Magufuli. CCM na watu kibao. Chama fulani kinajifariji kuwa wameletwa, malaki hayo ya watu wataletwa na mabasi mangapi na lori ngapi kwa hesabu tu ya kawaida.

Basi barabara zote za Dar hadi Morogoro ingejaa foleni ya mabasi hayo na malori hayo. Kubalini ukweli kuwa Mheshimiwa Magufuli anapendwa na watanzania na atashinda kwa kura za mafuriko. CCM oyeee...
 
Tanzania inakwenda kuweka historia...jamaa anaondoka aisee!!
Hakuna mwenye ubavu wa kumuondoa Magufuli, narudia tena kwa herufi kubwa HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUMUONDOA MAGUFULI.
Wakumuondoa Magufuli na CCM yake hajazaliwa bado na hatazaliwa.
 
Na Magufuli ndiyo kaingia alipoona hali ya uwanja mpaka sura imebadilika. Mbaya zaidi hata wazee wastaafu hakuna. Pia tuliambiwa waendesha bodaboda na mama lishe watamsindikiza. Au walikuwa kwenye yale ma V8?
Lissu alishamwaga sumu ya king Cobra wallahi
Endeleeni kujipa matumaini fake
 
Hakuna mwenye ubavu wa kumuondoa Magufuli, narudia tena kwa herufi kubwa HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUMUONDOA MAGUFULI.
Wakumuondoa Magufuli na CCM yake hajazaliwa bado na hatazaliwa.
Wananchi hawamtaki...ndiyo maana anasomba watu kwa mabasi na kuweka wasanii kwa mikutano yake ili kuvuta watu wakati hiyo ni rushwa.
 
Katika uchaguzi kuwa upande wa ushindi ni raha sana. Asanteni Dar kwa kumwelewa Mhe Magufuli. CCM na watu kibao. Chama fulani kinajifariji kuwa wameletwa, malaki hayo ya watu wataletwa na mabasi mangapi na lori ngapi kwa hesabu tu ya kawaida. Basi barabara zote za Dar hadi Morogoro ingejaa foleni ya mabasi hayo na malori hayo. Kubalini ukweli kuwa Mheshimiwa Magufuli anapendwa na watanzania na atashinda kwa kura za mafuriko. CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkuu tupo uwanjani tunaona live ujue. Kinachoendelea hapa ni aibu na uwanja hauna watu kabisa. Yaani Bora tungeenda Mbagala Zakhem
 
Nilikua taifa kwa ofisi ya DMO,ajabu eti huduma zote hakuna staff wameenda kwenye kampeni.

Magari ya TRH yamebeba hadi vitoto aibu sana
Wengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k
 
Katika uchaguzi kuwa upande wa ushindi ni raha sana. Asanteni Dar kwa kumwelewa Mhe Magufuli. CCM na watu kibao. Chama fulani kinajifariji kuwa wameletwa, malaki hayo ya watu wataletwa na mabasi mangapi na lori ngapi kwa hesabu tu ya kawaida. Basi barabara zote za Dar hadi Morogoro ingejaa foleni ya mabasi hayo na malori hayo. Kubalini ukweli kuwa Mheshimiwa Magufuli anapendwa na watanzania na atashinda kwa kura za mafuriko. CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hahahahaaaa mmezodoka
 
Wananchi hawamtaki...ndiyo maana anasomba watu kwa mabasi na kuweka wasanii kwa mikutano yake ili kuvuta watu wakati hiyo ni rushwa.
Sema wewe humtaki usiwasemee wanachi, hao wanaosombwa kwenye magari kwenye watasombwa hivyo hadi kupiga kura.
 
Back
Top Bottom