mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Uwanja umefurika kweli kweli,na bado kuna misururu ya watu wanaingia uwanjani wewe kinachokusumbu wivu tu.Mkuu tupo uwanjani tunaona live ujue. Kinachoendelea hapa ni aibu na uwanja hauna watu kabisa. Yani Bora tungeenda Mbagala Zakhem