Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Hapo watu wameenda kusikiliza sera siyo nyie mnaamua kumsindikiza huyo kibaraka wenu anaeamua kuwa house girl na kwenda kununua nyanya kariakoo!Nyomi mkuu umeliona? Hahahahahaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo watu wameenda kusikiliza sera siyo nyie mnaamua kumsindikiza huyo kibaraka wenu anaeamua kuwa house girl na kwenda kununua nyanya kariakoo!Nyomi mkuu umeliona? Hahahahahaaaaa
Mgombea wenu jumapili anarudi gereji. Hili nyomi nimelipenda teh teh teh unasonga ugali wa unga kikombe kwa maji ndoo nzima then unategemea muujiza!...Dar hoyeeeeee na hapo wanaondoka kwa spidi kubwa baada ya mond kushuka jukwaani.Hapo watu wameenda kusikiliza sera siyo nyie mnaamua kumsindikiza huyo kibaraka wenu anaeamua kuwa house girl na kwenda kununua nyanya kariakoo!
Wewe ndio wa kukurupuka kabisaaWengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.
CCM + WATUMISHI + DIAMOND + ALIKIBA + HARMONIZE + OTHERSDar yenye wakazi milioni 6 uwanja una uwezo wa kuchukua watu elfu 60 walio kaa CCM wameshindwa kuujaza!!!
Aliyyewadanganya wachukue uwanja mkuu kawauza .....Mbagala wangepata watu kibao ukizingatia wanapenda wasaniiii........CCM + WATUMISHI + DIAMOND + ALIKIBA + HARMONIZE + OTHERS
na bado hata watu elfu moja hawajafika.
Mchawi hapo ni CCM na Magufuli. Halafu hilo li uwanja wameenda kulichukua la nini? Bora wangetupeleka Mbagala walau tusingeona live hivyo. Kangejaa jaa
AibuCCM + WATUMISHI + DIAMOND + ALIKIBA + HARMONIZE + OTHERS
na bado hata watu elfu moja hawajafika.
Mchawi hapo ni CCM na Magufuli. Halafu hilo li uwanja wameenda kulichukua la nini? Bora wangetupeleka Mbagala walau tusingeona live hivyo. Kangejaa jaa
Hongera mkuu
Umeona eeh! Huyu jamaa anachosha kumsikiliza,mambo ni yaleyaleAnarudia takwimu zile zile kila siku zina chosha masikio.
Hujalazimishwa kumsikiliza.Umeona eeh! Huyu jamaa anachosha kumsikiliza,mambo ni yaleyale
Hata Mimi nimekuja na abood Jana toka nilikokua ili nije kusikiliza sera za miaka5 ijayo sababu Mimi ni mkaazi wa DarWengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k
Asilimia 95 ya hii hotuba ni uongo mtupu, CCM kwa nini hawajifunzi
Mageti yamefungwa hakuna kutoka njeWengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k