Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ok.. Nilifikiri atatumwa kununua nyanya sokoni KariakooAtaenda kupika nguna leo.View attachment 1594681
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok.. Nilifikiri atatumwa kununua nyanya sokoni KariakooAtaenda kupika nguna leo.View attachment 1594681
Nyanya anaenda kuchuku aje kuungia mboga zitakazoliwa na hio nguna hapo juu.Ok.. Nilifikiri atatumwa kununua nyanya sokonj kariakoo
Kwa hiyo hivi sasa ni muda wa dawa??kazi na dawa,hata marekani wanafanya hivyo
Ok.. Nilifikiri atatumwa kununua nyanya sokonj kariakoo
Hahah acha wafungiwe tu, next time wakisikia burudani za bure watakoma kwenda.Nimeona mtoto wa Nyerere kule FB anasema kuwa milango imefungwa baada ya harmonize na Diamond kutumbuiza watu wasitoke na wanatishiwa maisha. Je ni kweli mliopo uwanjani??
Hahaah sina uhakika kama ni kweliHahah acha wafungiwe tu,next time wakisikia burudani za bure watakoma kwenda.
Yes, lazima kieleweke hamna namna, wakikataa kunywa ni kunyweshwa tu hata kwa lazima.Kwa hiyo hivi sasa ni muda wa dawa??
Ahsante ukasikilize dikteta la niniTetetete siwezi kuja kumsikiliza dikteta
Hahah siwezi shangaa mzee baba, maana 2015 walifungiwa milango pale uwanja wa Jamhuri Moro full kukanyagana.Hahaah sina uhakika kama ni kweli
Ni aibu sana mtu unapoamua kujidanganya hata nafsi yako,,!Leo nimefanikiwa kukuona Crimea walahi nimejisikia kukuonea huruma sana!! Kweli CCM ni mashetani aisee!! Hadi wewe?
Duh hatari.....Hahah siwezi shangaa mzee baba,maana 2015 walifungiwa milango pale uwanja wa jamhuri Moro full kukanyagana.
Hapo ni Pamoja na malori na mabasi na wanafunzi kusomba watu toka asubuhi alfajiriMbona hatuoni watu au malori hayajaanza kuingia!
Umenikumbusha mbali sana ngunaAtaenda kupika nguna leo.View attachment 1594681
Hamna mgombea hapo, jitu limejaa visasi kama mnyama vile, namchukia sanaDawa Mzeee
Nyomi mkuu umeliona? HahahahahaaaaaNi aibu sana mtu unapoamua kujidanganya hata nafsi yako,,!