Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ushindani utakuwepo vp na wakati ccm hawezi au hataki ushindani?Enyi wafuasi wa chama cha mbowe, Pengine siku moja mkiacha kuwaza na ?kunena upuuzi labda mnaweza mkajitahidi kuongeza viasilimia vya ushindani. Maana sasa hivi hamna ushindani bali mna upinzani. Mmechelewa sana yani
Wanakuja wakimaliza majukumu maalumu ya jambo letu pale kwa Mkapa😍😍Wamekuacha peke yako? Binadamu sio watu wazuri
Wewe Tundu hajakuambia?Alikuambia Gwajima au uliambiwa barazani Lumumba ??
Amekudanganya nini? Ametamani nini kutoka kwako? Vipi alikuua nini ukafufuka? Alikukatili na nini? Alikuvunjia uminifu gani? Amekuonea kwenye nini? Amekuibia nini? Hebu tuambie hapa na utoe ushahidi na uthibitisho, usipige porojoMagufuli alidai aambiwe ati dhambi yake nini hata asipewe tena Miaka Mitano.
Dhambi za Magufuli ni Nyingi sana Uwongo, Tamaa, Uuaji, Ukatili kutokuwa na Uaminifu, Uonevu na Wizi.
Kutaja tu chache.
Wasiotaka ushindani ni nyie Chama Cha mbowe, ambaye ameuthibitishia umma kuwa havitambui vyama vya siasa vyote nchiniSasa ushindani utakuwepo vp na wakati ccm hawezi au hataki ushindani?
Amekudanganya nini? Ametamani nini kutoka kwako? Vipi alikuua nini ukafufuka? Alikukatili na nini? Alikuvunjia uminifu gani? Amekuonea kwenye nini? Amekuibia nini? Hebu tuambie hapa na utoe ushahidi na uthibitisho, usipige porojo
hahahaaa,,conde anaroho mbayaHarmonize kamfedhehesha sana gwajima kama mgombea mbunge kwa nyimbo yake ya uno tena mbele ya mh.Rais.
kistaarabu angekiruka kile kipande kinachosema "kama lile gwajima alilommwagia kondoo UNO" Harmonize kakipiga bila huruma na kumnyooshea kidole watu wanashangilia.
Dah, hatareeeHarmonize kamfedhehesha sana Gwajima kama mgombea mbunge kwa nyimbo yake ya uno tena mbele ya mh.Rais. kistaarabu angekiruka kile kipande kinachosema "kama lile gwajima alilommwagia kondoo UNO" Harmonize kakipiga bila huruma na kumnyooshea kidole watu wanashangilia.
Mbona hakuna watu kwenye viti majukwaaniView attachment 1594795
Mafurikooooooo majukwaaa yamejaaa hadi imebidi watu waingie kwenye Majani View attachment 1594804
sasa hv wapole wakiomba kura wakipata hawatukumbuki zaidi ya wao kuishi maisha ya kifahari na ndugu zao na marafiki zao wakiwa wameshiba utawasikia wakisema kama vyuma vimekaza weka gilisi safari hii waweke gilisi wao .Baada ya kupumzika kwa siku kadhaa, mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli anaendelea na kampeni leo katika mkoa wa Dar es Salaam katika uwanja wa Benjamin Mkapa...
AhahahahahCCM wameutia nuksi uwanja Jumapili Burundi wanatujaza goli nyingi
Wewe unaevitambua hebu taja vyama kumi sasaivi.Wasiotaka ushindani ni nyie Chama Cha mbowe, ambaye ameuthibitishia umma kuwa havitambui vyama vya siasa vyote nchini
1.SAUWewe unaevitambua hebu taja vyama kumi sasaivi.
Kwa hivyo Waislamu ni wajinga? Haya Wewe amini hivyo. Mimi siamini.Utaona mikoa kama
Tanga
Pwani
Lindi
Mtwara
Kigoma
Dar asili
Songea asili
Wote Hao ni CCM kwa kishindo lakini
Mbeya
Katavi
Rukwa
Songwe
Mara
Kagera
Kilimanjaro
Arusha
Njombe
Hapo ni CHADEMA kwa kishindo
Sehemu za mchanganyiko kama morogoro
Iringa
Dodoma
Shinyanga
Hapo kutakuwa na mvutano
Mimi ni mwislamu nafanya biashara za kusafiri
Miskitini wanaongelea CCM kwa Sana
Hata Magufuli anajua Waislamu Ndio jamii ya darasa la 7 na Ndio masikini
Dkt Bashiru anasema CCM haipendwi na watu Wasomi na wenye uchumi na mtaji wetu ni wajinga na masikini ambao wengi wao ni waislamu
Amini wengi wa wanaojiita wapinzani na kumchukia na kumtukana sana Magufuli ni wale waliokatiwa mirija either direct au indirect, na hayo yasingewakuta usingekaa kuwasikia wakitukana. Ubinafsi sio powaAmekudanganya nini? Ametamani nini kutoka kwako? Vipi alikuua nini ukafufuka? Alikukatili na nini? Alikuvunjia uminifu gani? Amekuonea kwenye nini? Amekuibia nini? Hebu tuambie hapa na utoe ushahidi na uthibitisho, usipige porojo
Hakika naamini hilo na hao ndio waliokuwa wanawanyonya watanzania wanyonge, sasa Mjomba Magu kawabana kila idara ndio maana wanajifanya kuleta upinzaniAmini wengi wa wanaojiita wapinzani na kumchukia na kumtukana sana Magufuli ni wale waliokatiwa mirija either direct au indirect, na hayo yasingewakuta usingekaa kuwasikia wakitukana. Ubinafsi sio powa
Hahah huyo jamaa anazingua mkuu....teh teh [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie raia bhana haa haaa haaa..[emoji2][emoji2][emoji2]...lazima mijadala kama hii kuna raia washambuliane teh teh teh..
Anyway mkuu (nje ya mada), huo mkonge hapo kwenye avatar unauzwa shilling ngapi ? (hata kama ni used)