Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Kujengewa kambi ya vita ni udhaifu uliopindukia

Sawa na kumtoa mke wako agongwe na watu
Hiyo base ilijengwa zamani enzi za Mwl JKNyerere, Ngerengere Airbase.
Sasa wanaboresha, tuna mapairoti wazuri pale na ndege za kisasa.
Hivyo J M Kikwete alifanya kazi nzuri kuimalisha jeshi letu!!
 
Kujengewa kambi ya vita ni udhaifu uliopindukia

Sawa na kumtoa mke wako agongwe na watu
Hiyo base ilijengwa zamani enzi za Mwl JKNyerere, Ngerengere Airbase.
Sasa wanaboresha, tuna mapairoti wazuri pale na ndege za kisasa.
Hivyo J M Kikwete alifanya kazi nzuri kuimalisha jeshi letu!!
 
Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.

"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"



MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO

RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO

View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532


NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo

View attachment 477536

View attachment 477537

Ila hawatakosa la kusema ili na wao waonekane wamo.
 
Ujue kukichaa siyo uokote makopo. Wewe hapa ni kichaa. Jaribu kwenda kupimwa akili. Ninauhakika watakwambia upo na mtindio wa ubongo.

Au huenda wewe ni katoto kadooogo. Nakushauri acha kujidhalilisha kwenye social media watu wengi wanasoma kuna wengine watakushangaa kuona kumbe kuna mapunguwani yanaingia humu JF. Unatuondolea maana halisi ya mtandao kwamba GT kwa kuweka comment za kipumbavu.
Sawa GT wa vichaa unashindwa jibu hoja unaleta taarabu tu
 
Some of the Air Bases and the fighter jets in Kenya. Tanzania kumbe wana gani, ama watanunua hivi karibuni J - 20??

xghwfwfq2cjwb1nmlup5841dca26e96c.jpg


kenyan+F5.jpg


Kenya+F5.jpg


image005.jpg


45153496.jpg


1512866-large.jpg


18446_11.jpg


428799.png
 
Some of the Air Bases and the fighter jets in Kenya. Tanzania kumbe wana gani, ama watanunua hivi karibuni J - 20??

xghwfwfq2cjwb1nmlup5841dca26e96c.jpg


kenyan+F5.jpg


Kenya+F5.jpg


image005.jpg


45153496.jpg


1512866-large.jpg


18446_11.jpg


428799.png
Sasa hayo makopo ya mwaka 1962 yaani F-5 unaleta hapa. huoni hata aibu? Hizo ndege licha ya radar yanaonekana hata kwenye camera ya simu ya Galaxy.
 
Naomba usome taarifa hii

To make up for the cuts to Russia’s T-50 program, the Kremlin has boosted production of the Su-35 and Su-30, the latest upgraded versions of the Cold War-vintage Su-27, a powerful twin-engine fighter whose various models are now the standard warplanes of the Russian, Chinese and Indian air arms. The Su-35 and Su-30 aren’t stealthy, but they are fast, far-flying and capable of carrying heavy payloads of missiles and bombs.


https://www.quora.com/Why-is-Russia...ch-I-believe-is-a-better-jet-fighter-aircraft
Unajua uwezo wa stealth aircraft?
 
Some of the Air Bases and the fighter jets in Kenya. Tanzania kumbe wana gani, ama watanunua hivi karibuni J - 20??

xghwfwfq2cjwb1nmlup5841dca26e96c.jpg


kenyan+F5.jpg


Kenya+F5.jpg


image005.jpg


45153496.jpg


1512866-large.jpg


18446_11.jpg


428799.png
don't take the bait pal....achana na uyu ajibambe.ati number one Africa??hehee...ana ndoto za alinacha
 
don't take the bait pal....achana na uyu ajibambe.ati number one Africa??hehee...ana ndoto za alinacha
Tunajua Kenya ni mikia. Jeshi la kenya ni kikundi cha sungusungu.
 
Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.

"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"



MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO

RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO

View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532


NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo

View attachment 477536

View attachment 477537

Maguful sio wa sport sport !!.... Mi naamini hata wangeingia wapinzan wasingefikia kas ya huyu jamaa
 
Kujengewa kambi ya vita ni udhaifu uliopindukia

Sawa na kumtoa mke wako agongwe na watu
Mkuu ndio hali halisi km tu nyumba za kuishi tunajengewa,hatuna technology yakutosha.....kubaliana na hali sis ni 3rd world countries
 
uwanja wa Ngerengere ulijengwa na Nyerere. Sasa aliyekwenda kuzindua ni amefanya nn. Au kuna marekebisho amefanya..

Huu ni usanii tu. Anajifanya kajemga yeye na wakati ukijengwa yeye alikuwa shule..

Labda kaenda kuuona kama mkuu wa kaya.
 
Hivi kwanini Watanzania tunapenda kudanganyana hivi?
Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.

"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"



MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO

RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO

View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532


NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo

View attachment 477536

View attachment 477537
 
Bado hatujafikia uwezo wa kuwa na stealth fighters....
Hizo ndege ni so expensive... very expensive.. ili kuzipata mpaka bunge la china waidhinishe...
Yani anvyoenda kuzidownload you tube huko zikawa kwenye simu yake anaona kama ndio zipo bongo vile. Nilimuuliza anajua walau hata Bajeti ya ndege moja na running cost yake, ameishia kuhamisha magoli na ku spit shudu tu humu.
 
Tunajua Kenya ni mikia. Jeshi la kenya ni kikundi cha sungusungu.
Ahahaha hivi kumbe sarakasi zote hizo ulizokuwa unaruka ruka humu uko naked, ni competition ulikuwa unafanya na Kenya.? Ndio maana ukaenda mbali zaidi ukidhani mi mkenya? Kweli we "paraza"
 
Back
Top Bottom