Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Hiyo base ilijengwa zamani enzi za Mwl JKNyerere, Ngerengere Airbase.Kujengewa kambi ya vita ni udhaifu uliopindukia
Sawa na kumtoa mke wako agongwe na watu
Hiyo base ilijengwa zamani enzi za Mwl JKNyerere, Ngerengere Airbase.Kujengewa kambi ya vita ni udhaifu uliopindukia
Sawa na kumtoa mke wako agongwe na watu
Ila hawatakosa la kusema ili na wao waonekane wamo.Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.
"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"
MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO
RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO
View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532
NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo
View attachment 477536
View attachment 477537
Vnaenda sambamba mkuu. Tafuta nchi zote zlizoendelea ktk viwanda afu chungulia na ulinz wa nchi hyo.Ndoto ya viwanda ilishazikwa sasa ni ndege za kivita, anajiandaa na 2020?
Sawa GT wa vichaa unashindwa jibu hoja unaleta taarabu tuUjue kukichaa siyo uokote makopo. Wewe hapa ni kichaa. Jaribu kwenda kupimwa akili. Ninauhakika watakwambia upo na mtindio wa ubongo.
Au huenda wewe ni katoto kadooogo. Nakushauri acha kujidhalilisha kwenye social media watu wengi wanasoma kuna wengine watakushangaa kuona kumbe kuna mapunguwani yanaingia humu JF. Unatuondolea maana halisi ya mtandao kwamba GT kwa kuweka comment za kipumbavu.
Sasa hayo makopo ya mwaka 1962 yaani F-5 unaleta hapa. huoni hata aibu? Hizo ndege licha ya radar yanaonekana hata kwenye camera ya simu ya Galaxy.Some of the Air Bases and the fighter jets in Kenya. Tanzania kumbe wana gani, ama watanunua hivi karibuni J - 20??
F-35B, v-22 osprey , lighting II, harrier jet.Nipatie jina la Fighter Jet moja inayotumia technology hii.
Unajua uwezo wa stealth aircraft?Naomba usome taarifa hii
To make up for the cuts to Russia’s T-50 program, the Kremlin has boosted production of the Su-35 and Su-30, the latest upgraded versions of the Cold War-vintage Su-27, a powerful twin-engine fighter whose various models are now the standard warplanes of the Russian, Chinese and Indian air arms. The Su-35 and Su-30 aren’t stealthy, but they are fast, far-flying and capable of carrying heavy payloads of missiles and bombs.
https://www.quora.com/Why-is-Russia...ch-I-believe-is-a-better-jet-fighter-aircraft
don't take the bait pal....achana na uyu ajibambe.ati number one Africa??hehee...ana ndoto za alinachaSome of the Air Bases and the fighter jets in Kenya. Tanzania kumbe wana gani, ama watanunua hivi karibuni J - 20??
Daaah.hahahahaaaaaaaFirst lady. Halafu maswali mengine ya kitoto kabisa hivi mbona mnakuwa kama wapumbavu!!?
Maguful sio wa sport sport !!.... Mi naamini hata wangeingia wapinzan wasingefikia kas ya huyu jamaaUwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.
"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"
MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO
RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO
View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532
NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo
View attachment 477536
View attachment 477537
Mkuu ndio hali halisi km tu nyumba za kuishi tunajengewa,hatuna technology yakutosha.....kubaliana na hali sis ni 3rd world countriesKujengewa kambi ya vita ni udhaifu uliopindukia
Sawa na kumtoa mke wako agongwe na watu
Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.
"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"
MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO
RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO
View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532
NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo
View attachment 477536
View attachment 477537
Yani anvyoenda kuzidownload you tube huko zikawa kwenye simu yake anaona kama ndio zipo bongo vile. Nilimuuliza anajua walau hata Bajeti ya ndege moja na running cost yake, ameishia kuhamisha magoli na ku spit shudu tu humu.Bado hatujafikia uwezo wa kuwa na stealth fighters....
Hizo ndege ni so expensive... very expensive.. ili kuzipata mpaka bunge la china waidhinishe...
Ahahaha hivi kumbe sarakasi zote hizo ulizokuwa unaruka ruka humu uko naked, ni competition ulikuwa unafanya na Kenya.? Ndio maana ukaenda mbali zaidi ukidhani mi mkenya? Kweli we "paraza"Tunajua Kenya ni mikia. Jeshi la kenya ni kikundi cha sungusungu.