Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hii ni F-15 C eagle. Soma uwezo wake... why america wanaiamini hii ndege mpaka leo...?Sasa hicho kidege ndiyo unasema kinatumia Technology gani!? Yaani kenya bado kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni F-15 C eagle. Soma uwezo wake... why america wanaiamini hii ndege mpaka leo...?Sasa hicho kidege ndiyo unasema kinatumia Technology gani!? Yaani kenya bado kabisa.
Dah umekosea sana Edward ... F-15C haina technology ya VTOL
Eti imekuaje ile footnote number 3 kwenye source uliyoiweka humu, authority yake imekuwa air britain.com?Sasa hicho kidege ndiyo unasema kinatumia Technology gani!? Yaani kenya bado kabisa.
Mr.ed unajua F-5 ambazo ni supersonic light fighter but J-20 ni fifth generation fighter aircraft and na pia ni stealth.....Some of the Air Bases and the fighter jets in Kenya. Tanzania kumbe wana gani, ama watanunua hivi karibuni J - 20??
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli?? Lakini ukiangalia hio angle yaweza paa nayo, nilikuwa nadhani inatechnologia hiyo ya vertical take of and Landing. F-35 ina hiyo tech??Dah umekosea sana Edward ... F-15C haina technology ya VTOL
Ndio nauliza imekuwaje imekuwa retrieved from air britain.com?Hapo chini ipo reference namba tatu. Hebu check uone pale. Yaa source ya data.
Tanzania.. tuna fly.. MIG - 21/ F -7, J -5. Ukicheki hizi ndege ni za zamani sana... haswa mig -21, na J-5 .Hivi sasa hivi sisi Tanzania tuna ndege gani.?
Au labda niulize hivi kwa E. African countries, ni nchi ipi ndege bora za kivita?
Tanzania.. tuna fly.. MIG - 21/ F -7, J -5. Ukicheki hizi ndege ni za zamani sana... haswa mig -21, na J-5 .Hivi sasa hivi sisi Tanzania tuna ndege gani.?
Au labda niulize hivi kwa E. African countries, ni nchi ipi ndege bora za kivita?
Umeanza kuona madhara ya kukimbilia Wikipedia na gugo zako? Unaulizwa kitu unaishia kutomasa keyboard.Hapo chini ipo reference namba tatu. Hebu check uone pale. Yaa source ya data.
Sikuiz tunamiliki f-7PG ambayo ni updated version ya MIG- 21. Nothing new man.. ilianza kutumika since.. 1966Hizi SU-35 ni mnyama uwanjani, hii F-22 nayo ni mnyama vile vile sio sio kama SU-35. Mambo kama haya Russia ni habari nyingine.
Tanzania tusubiri miaka mingi sana kumiliki hivi vitu, landa tujikakamue saaana kumiliki MIG-21.
Is is true uganda wana su-30. na ni suala la siku nyingi mbona.. embu search usome.Yaani wewe ni kopo kabisa. Hebu leta references kwamba Uganda ipo na SU-30. Au unaimba nyimbo na mapambio?
Wewe Tatizo lako unataka uletewe kitabu. Nimekueleza fuatilia hiyo source. Halafu unakuja na maswali ya kijinga. Unaniuliza kwanini ipo kwenye website hiyo? Hivi nikuulize umewahi ona website ya JWTZ? Unataka utafuniwe kila kitu? Hizo note zinaeleza source ya information.Umeanza kuona madhara ya kukimbilia Wikipedia na gugo zako? Unaulizwa kitu unaishia kutomasa keyboard.
wap cha Kenya? Maana Nanyuki ni airstripHONGERA TZ kwa kujenga kiwanja cha ndege za vita ,
naomba mjenge viwanja kumi zaidi ndo muwe number 1 kivita Africa nzima
Hizo information ni kwa mujibu wa mitandao. Lakini kwenye reality siyo hivyo. Kuna vitu vingi tu chini ya uvungu. Siyo muda mrefu vitaoneshwa na utashangaa sana. Tumeonesha kidogo kwenye Navy na ground watu wengi walitetemeka.Sikuiz tunamiliki f-7PG ambayo ni updated version ya MIG- 21. Nothing new man.. ilianza kutumika since.. 1966
Hizo zingine nimefuatilia taarifa zake.. kama J-20 ziko 8 tu. Na jeshi la china zinahitaji zaidi. Alaf huyu bwana anaongea as if zinakuja kesho... nimeshangaa sana...Naomba maelekezo hapo kwenye "air craft assigned" nimeangalia kwenye footnotes zake ni "britain.com" inakuwaje hapo?
Mkuu hiki kitu nakifahamu, nilimuuliza huyo popoma, ili nione atakavyoshuka shudu zake humu akaishia kuhamisha chanel. Maana alikuwa hodari wa kuponda Ndege za kenya nikamuuliza sisi tunazipi mpaka apate kuringa na kurusha marinda kiasi kile.Tanzania.. tuna fly.. MIG - 21/ F -7, J -5. Ukicheki hizi ndege ni za zamani sana... haswa mig -21, na J-5 .
F-7 ni updated version of MIG -21.
Tanzania.. tuna fly.. MIG - 21/ F -7, J -5. Ukicheki hizi ndege ni za zamani sana... haswa mig -21, na J-5 .
F-7 ni updated version of MIG -21.
Hiyo picha ya kwanza umeitoa hapa(Canada)Some of the Air Bases and the fighter jets in Kenya. Tanzania kumbe wana gani, ama watanunua hivi karibuni J - 20??
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()