Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Hhhhhhhhhh!!! Daah! Danganyika, bado mko kwa hii report za tuta...... hapa mmenifurahisha, ...eti nadhani zita......
Naona leo umekuwa mpoole. Yale mapicha yako ya Nairobi vepeee! Hapa tupo kwenye viwanja vya ndege za kivita vya kisasa kabisa.
 
Kwa hiyo huyo jamaa aliyekuchukulia kama Jike yupo sahihi tu, au tayari alishawahi kukupeleka "msata" na "ukachuma mboga za majani," ndio maana anauhakika na jinsia yako mpaka akaku address direct?
Unaona sasa!? Nilikuwa nina guess tu kumbe kweli. Maneno hayo yamedhihilisha kuwa wewe siyo mwanaume kamili.
 
Unaona sasa!? Nilikuwa nina guess tu kumbe kweli. Maneno hayo yamedhihilisha kuwa wewe siyo mwanaume kamili.
Msogeze kwangu japo dakika kadhaa, aliyekuwa amekuhifadhi miezi 9 kabla hujaliona jua ndio atakupa Habari kamili kama nimekamilika au nipo nusu.
 
Msogeze kwangu japo dakika kadhaa, aliyekuwa amekuhifadhi miezi 9 kabla hujaliona jua ndio atakupa Habari kamili kama nimekamilika au nipo nusu.
Kwa jinsia kweli ni mwanaume lakini watu wa mombasa walishakufumua marinda. Nati za nyuma zimeshalegezwa ndio maana unarembua rembua kwenye comment zako ili upate mteja. Tubu uache dhambi hizo.
 
Tanzania kunaa vitaa au hzo ndege zinatusaidiajee km watanzania au unaweza kukodishia nchi zenye vita tukapata fedhaa..naomben kueleweshwa ndugu
Ni kwa ajilli ya ulinzi wa Taifa na kujihami...kwahyo sio uingie vitani I mean uvamiwe ndo uanze kuagiza ndege ..utakuwa umefeli vibaya.
 
Kwa jinsia kweli ni mwanaume lakini watu wa mombasa walishakufumua marinda. Nati za nyuma zimeshalegezwa ndio maana unarembua rembua kwenye comment zako ili upate mteja. Tubu uache dhambi hizo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23], we utakuwa una para - miwa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23], we utakuwa una para - miwa.
Siku zingine uwe na heshima unapo comment. Wewe ni mgeni hapa JF. Mambo ya kuuliza jinsia ni ushamba na ni mashoga pekee wanajiunga JF baadaye anaingia PM. Kama vipi tubu Mungu ni mwema atakusamehe na kurejesha pale palipoharibiwa.
 
Siku zingine uwe na heshima unapo comment. Wewe ni mgeni hapa JF. Mambo ya kuuliza jinsia ni ushamba na ni mashoga pekee wanajiunga JF baadaye anaingia PM. Kama vipi tubu Mungu ni mwema atakusamehe na kurejesha pale palipoharibiwa.
Naona we ndio mwanzilishi wa JF si ndio.?
Na kama ungekuta nimejiunga JF jana natumai ungeandika cutindio wa ubongo" kila post uliyo quote.
 
Naona we ndio mwanzilishi wa JF si ndio.?
Na kama ungekuta nimejiunga JF jana natumai ungeandika cutindio wa ubongo" kila post uliyo quote.
Nakushauri uende ukatubu. Hiyo tabia acha unaabisha wanaume wewe.
 
Good job raisi wetu JPM! Ubarikiwe sana
 
Naona raia "wameisha cheza na goroli" mpaka kuwa na uzoefu kiasi hiki.
Huko mombasa mnajiamwaga tu. Sisi Tanzania issue kama hizo za ushoga hazitakiwi kabisa. Wewe mkenya unataka kuzileta hizo bongo. Nenda hospital ushonwe.
 
Mkuu unajua bei ya hizo kitu hapo f- 35 b.
Tukinunua hizo njaa itakuwa ruksa kutangazwa.
 
Mkuu unajua bei ya hizo kitu hapo f- 35 b.
Tukinunua hizo njaa itakuwa ruksa kutangazwa.
Nimesikia kuna order ya hizo nne.
Zinaitwa SU-35 noma kabisa
 
HabarI kama hii Kenyan media hushIkwa na kigugumizi ku-cover
 
Huko mombasa mnajiamwaga tu. Sisi Tanzania issue kama hizo za ushoga hazitakiwi kabisa. Wewe mkenya unataka kuzileta hizo bongo. Nenda hospital ushonwe.
Naona unaanza kuhamisha magoli taratibu kwa kuleta habari za utaifa hapa. Kwa kukusaidia tu huu mfupa ni pure Tanzanian.
Kabla sijashonwa we ndio inabidi upigwe "sigizaga"
 
Nimesikia kuna order ya hizo nne.
Zinaitwa SU-35 noma kabisa
Uhodari na weakness wa hizo Ndege Unajua upo wapi?
Unajua ni toleo la mwaka gani?
Watu waliopo kwenye kizazi cha J 20 na F 22 wao watasemaje sasa, Ndege hambazo hazionekani kwenye rada?
 
HONGERA TZ kwa kujenga kiwanja cha ndege za vita ,
naomba mjenge viwanja kumi zaidi ndo muwe number 1 kivita Africa nzima
 
Uhodari na weakness wa hizo Ndege Unajua upo wapi?
Unajua ni toleo la mwaka gani?
Watu waliopo kwenye kizazi cha J 20 na F 22 wao watasemaje sasa, Ndege hambazo hazionekani kwenye rada?
Nani hao hapa Africa? Hebu nitajie nchi moja. Halafu wewe unaongelea J-20 wakati TZ zinatua kama siyo mwaka huu mwaka kesho J-31
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…