Achaga uboya kama huna majibu siukae kimya wenye akili wajib usijifanye mjuaji wakat mavi tuuu.Hayo maswali ya watoto wadogo. Na watoto hawaruhusiwi kutumia mitandao. Kama wewe ni mtu mzima utakuwa na mtindio wa ubongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achaga uboya kama huna majibu siukae kimya wenye akili wajib usijifanye mjuaji wakat mavi tuuu.Hayo maswali ya watoto wadogo. Na watoto hawaruhusiwi kutumia mitandao. Kama wewe ni mtu mzima utakuwa na mtindio wa ubongo.
Ile running LaneNdege yenye urefu wa mita 3000?
Huyu atakuwa ni bashite kaambiwa hyo ni depth ya runway haelewe ,unene hui ni zaidi ya ule wa ruler ukiisimamishaWe ndo haupo serious, 45cm ni unene mkubwa mno. Labda kama hujaelewa uliza.
Hapo anazungumzia ile running lane sio ndegeAlie andika kakosea hakuna ndege ya huo urefu duniani
Hizo ni km 3
Nashangaa watu wako kwenye stealth technology... yeye ndio kwanza su-35.Uhodari na weakness wa hizo Ndege Unajua upo wapi?
Unajua ni toleo la mwaka gani?
Watu waliopo kwenye kizazi cha J 20 na F 22 wao watasemaje sasa, Ndege hambazo hazionekani kwenye rada?
Naona leo wewe ni mnyonge sana. Yaani nakuhurumia maana hii thread imekuzidi uwezo. Huwezi hata kuongea chochote. Mipango mikubwa mikubwa inaendelea underground siyo kila kitu lazima upewe. Nimekumegea hicho kipande kidogo. Ninaweza nikakuwekea mapicha picha mengi. Sitaki kufanya hivyo maana utaanza kuogopa kuchangia.Na huwa huchoki na hizi stori zako za tuta...., yaani hakuna kitu mmefanya, ila kujisifu tu, tuta... you don't have any shame coming here with tuta..... kila siku??
Brother unajua initials za J-20 , gharama zake na operating cost unazifaham ? alaf hakuna ndege aina ya J-31? Chunguza soma kwanza.. usi comment kishabikiNani hao hapa Africa? Hebu nitajie nchi moja. Halafu wewe unaongelea J-20 wakati TZ zinatua kama siyo mwaka huu mwaka kesho J-31
Kwikwikwi kwani hiyo sentence niliyoweka inamaana gani? hebu tafsiri kwa kiswahili.
Nilicho gundua kwenye hilo pipa, ni sawa na mtu ambaye hajawahi kumiliki gari, apewe VW first generation ile mgongo wa chura, aisifie na kusema ni bora kuliko hata Bughat.Nashangaa watu wako kwenye stealth technology... yeye ndio kwanza su-35.
america now wanaumiza kichwa ku replace f-35.. russia wana T-50 stealth aircraft.
Wenzetu wanahama kutoka huko.. yeye ndio anaziona deal
Nasikia mwaka huu au mwaka ujao zinatua J-20 tatu na J-31 saba kutoka China Usiombe.
Egypt military budget $7b, tanzania national budget $14b [emoji18] [emoji18]Tayari TZ ni namba moja Africa. Halafu ni namba 27 duniani. Tunaitafuta top ten duniani.
Naona leo wewe ni mnyonge sana. Yaani nakuhurumia maana hii thread imekuzidi uwezo. Huwezi hata kuongea chochote. Mipango mikubwa mikubwa inaendelea underground siyo kila kitu lazima upewe. Nimekumegea hicho kipande kidogo. Ninaweza nikakuwekea mapicha picha mengi. Sitaki kufanya hivyo maana utaanza kuogopa kuchangia.
Naomba usome taarifa hiiNashangaa watu wako kwenye stealth technology... yeye ndio kwanza su-35.
america now wanaumiza kichwa ku replace f-35.. russia wana T-50 stealth aircraft.
Wenzetu wanahama kutoka huko.. yeye ndio anaziona deal
Hhhhhh! Mimi huja JF kupata raha tu, man, eti Running line!!! Sawa tu umejaribuHapo anazungumzia ile running lane sio ndege
Angalia video ya commando ya anord kuna ndege inapaa hvyoNipatie jina la Fighter Jet moja inayotumia technology hii.
Andika kiswahili vizuri. La sivyo utaonekana punguwani