Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Hayo maswali ya watoto wadogo. Na watoto hawaruhusiwi kutumia mitandao. Kama wewe ni mtu mzima utakuwa na mtindio wa ubongo.
Achaga uboya kama huna majibu siukae kimya wenye akili wajib usijifanye mjuaji wakat mavi tuuu.
 
We ndo haupo serious, 45cm ni unene mkubwa mno. Labda kama hujaelewa uliza.
Huyu atakuwa ni bashite kaambiwa hyo ni depth ya runway haelewe ,unene hui ni zaidi ya ule wa ruler ukiisimamisha
 
Uhodari na weakness wa hizo Ndege Unajua upo wapi?
Unajua ni toleo la mwaka gani?
Watu waliopo kwenye kizazi cha J 20 na F 22 wao watasemaje sasa, Ndege hambazo hazionekani kwenye rada?
Nashangaa watu wako kwenye stealth technology... yeye ndio kwanza su-35.
america now wanaumiza kichwa ku replace f-35.. russia wana T-50 stealth aircraft.
Wenzetu wanahama kutoka huko.. yeye ndio anaziona deal
 
Na huwa huchoki na hizi stori zako za tuta...., yaani hakuna kitu mmefanya, ila kujisifu tu, tuta... you don't have any shame coming here with tuta..... kila siku??
Naona leo wewe ni mnyonge sana. Yaani nakuhurumia maana hii thread imekuzidi uwezo. Huwezi hata kuongea chochote. Mipango mikubwa mikubwa inaendelea underground siyo kila kitu lazima upewe. Nimekumegea hicho kipande kidogo. Ninaweza nikakuwekea mapicha picha mengi. Sitaki kufanya hivyo maana utaanza kuogopa kuchangia.
 
Nani hao hapa Africa? Hebu nitajie nchi moja. Halafu wewe unaongelea J-20 wakati TZ zinatua kama siyo mwaka huu mwaka kesho J-31
Brother unajua initials za J-20 , gharama zake na operating cost unazifaham ? alaf hakuna ndege aina ya J-31? Chunguza soma kwanza.. usi comment kishabiki
 
Kwikwikwi kwani hiyo sentence niliyoweka inamaana gani? hebu tafsiri kwa kiswahili.

Display - ni maonesho kwa ajili ya kujulisha ama kwa madhumini ya kuuza, mafunzo ama mashindano

Deploy - ni kuwatuma askari ama vifaa vya kivita mahali maalum kwa ajili ya maandalizi ya kivita na uvamizi wa sehemu iliyokaribu. The movement of troops or war resources to a place or position for military action.

Hivyo sentensi yako ina maana Uchina, imeweka vifaa vya makombora kule Tanzania kwa nia ya uvamizi
 
Nashangaa watu wako kwenye stealth technology... yeye ndio kwanza su-35.
america now wanaumiza kichwa ku replace f-35.. russia wana T-50 stealth aircraft.
Wenzetu wanahama kutoka huko.. yeye ndio anaziona deal
Nilicho gundua kwenye hilo pipa, ni sawa na mtu ambaye hajawahi kumiliki gari, apewe VW first generation ile mgongo wa chura, aisifie na kusema ni bora kuliko hata Bughat.
 
Nasikia mwaka huu au mwaka ujao zinatua J-20 tatu na J-31 saba kutoka China Usiombe.


Bado hatujafikia uwezo wa kuwa na stealth fighters....
Hizo ndege ni so expensive... very expensive.. ili kuzipata mpaka bunge la china waidhinishe...
 
Naona leo wewe ni mnyonge sana. Yaani nakuhurumia maana hii thread imekuzidi uwezo. Huwezi hata kuongea chochote. Mipango mikubwa mikubwa inaendelea underground siyo kila kitu lazima upewe. Nimekumegea hicho kipande kidogo. Ninaweza nikakuwekea mapicha picha mengi. Sitaki kufanya hivyo maana utaanza kuogopa kuchangia.

Sio lazima picha kaka, ila kama utaweza siku moja kuja hapa na useme... Tanzania tumejenga, ununuzi umekamilika, ujenzi wa kiwanda umeisha. Hizo hadithi hata mimi nitakwambia kazi nzuri, lakini hivi, kila siku, tutajenga, tutanunua, tutaleta, hadi lini, Heri ngoja pindi mkianza ujenzi, kuja hapa na picha moja sema, Uwanja umeanza kujengwa, Ndege moja kwa zilizo agizwa imewasili......
 
Nashangaa watu wako kwenye stealth technology... yeye ndio kwanza su-35.
america now wanaumiza kichwa ku replace f-35.. russia wana T-50 stealth aircraft.
Wenzetu wanahama kutoka huko.. yeye ndio anaziona deal
Naomba usome taarifa hii

To make up for the cuts to Russia’s T-50 program, the Kremlin has boosted production of the Su-35 and Su-30, the latest upgraded versions of the Cold War-vintage Su-27, a powerful twin-engine fighter whose various models are now the standard warplanes of the Russian, Chinese and Indian air arms. The Su-35 and Su-30 aren’t stealthy, but they are fast, far-flying and capable of carrying heavy payloads of missiles and bombs.


https://www.quora.com/Why-is-Russia...ch-I-believe-is-a-better-jet-fighter-aircraft
 
Brother unajua initials za J-20 , gharama zake na operating cost unazifaham ? alaf hakuna ndege aina ya J-31? Chunguza soma kwanza.. usi comment kishabiki
Haya tazama video hii ya J-31

 
Unajua tena, si rahisi upate watu wenye ndoto kama kaka zetu wa Tanzania Kenya, ndoto zao zafurahisha sana kama hii kwamba jeshi lao number one Africa, sijui bado kuna Tsetse flies kule miombo ama nini, lakini ndoto za mchana hizi kweli hahahahaha, dah
 
Andika kiswahili vizuri. La sivyo utaonekana punguwani

Weye mwenyewe Kiswahili chako kibovuuu......kwendaaaar mshenzi wa kutupwa, eti ndege yenye urefu wa mita 3000 hahahahahh!...kalb wahed!
 
Weye mwenyewe Kiswahili chako kibovuuu......kwendaaaar mshenzi wa kutupwa, eti ndege yenye urefu wa mita 3000 hahahahahh!...kalb wahed!
Yaani dogo ukiona comments zangu unakuwa kama mjamzito, unapata hamu ya kutapika.
 
Back
Top Bottom