Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale kwa Mkapa Kuna Camera za kutosha zisinge kuwepo CAF wasinge upitisha kuchezewa mechi zakeHivi kwa mkapa hakuna camera?
Sasa mbona hizo camera hazijawai kunasa matukio kama yale ya juzi huko chamanzi?Pale kwa Mkapa Kuna Camera za kutosha zisinge kuwepo CAF wasinge upitisha kuchezewa mechi zake
Hakuna tukio halisi zaidi ya matukio waliyo tengeneza wenyewe Azam na kuyatafutia Dot za ku connectSasa mbona hizo camera hazijawai kunasa matukio kama yale ya juzi huko chamanzi?
PossiblyHakuna tukio halisi zaidi ya matukio waliyo tengeneza wenyewe Azam na kuyatafutia Dot za ku connect
acha uongoHakuna tukio halisi zaidi ya matukio waliyo tengeneza wenyewe Azam na kuyatafutia Dot za ku connect
Exactly..Wale jamaa hata kwa kuwaona Tu hasa viongozi wao unajua Tu kuna maovu mengi Tu wanafanya nyuma ya paziaPossibly
Lakini kitendo cha Yanga kuhama uwanja bila sababu za msingi pia kinaweza kufanya watu waamini hivyo vitendo wanavifanya.
Safi sana..wamekimbilia huko walidhani watafanya mambo yaoHabari za asubuhi waungwana!
Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo.
Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina lake litajwe mmoja wa wasimamizi wa uwanja alidokeza kuwa sehemu zitakazofungwa kamera ni pamoja na 'dressing rooms ', mageti yote na sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwa.
Dogo hujui nyamaza. Sisi tunajua.mimi nlishaandika kuwa ule uwanja tutahama. Sababu Azam walianza kutuhujumu. Hawataki Uwanja tuwe tunauandaa na pia kuweka cctv kururekodi vyumbani tukijiandaa hilo hatukupenda. Sasa wabaki na uwanja wao na wawaalike mikia sasa.Hakuna tukio halisi zaidi ya matukio waliyo tengeneza wenyewe Azam na kuyatafutia Dot za ku connect
Wameanza kuchanganyikiwa..Kwani camera zikifungwa ni vibaya mkuu?
Huo ni uwanja wa manispaaKwani huo uwanja wananchi wanaweza kununuwa hisa hata uwe wa umma?
Dressing room haitakiwi kufungwa camera, watu wanavaa uchi unawekaje Kamera, akitokea kichaa akavujisha nyeti za wachezaji nani atawajibika hapo KMC🤣Habari za asubuhi waungwana!
Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo.
Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina lake litajwe mmoja wa wasimamizi wa uwanja alidokeza kuwa sehemu zitakazofungwa kamera ni pamoja na 'dressing rooms ', mageti yote na sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwa.
Mikia si mmewafuata..sasa Ubaya UbwelaDogo hujui nyamaza. Sisi tunajua.mimi nlishaandika kuwa ule uwanja tutahama. Sababu Azam walianza kutuhujumu. Hawataki Uwanja tuwe tunauandaa na pia kuweka cctv kururekodi vyumbani tukijiandaa hilo hatukupenda. Sasa wabaki na uwanja wao na wawaalike mikia sasa.
Muuandae kwa ulozi? Yani ww ndo unazidi kuwaanika wazi vyura wenzioDogo hujui nyamaza. Sisi tunajua.mimi nlishaandika kuwa ule uwanja tutahama. Sababu Azam walianza kutuhujumu. Hawataki Uwanja tuwe tunauandaa na pia kuweka cctv kururekodi vyumbani tukijiandaa hilo hatukupenda. Sasa wabaki na uwanja wao na wawaalike mikia sasa.
Yanga tunahujumiwa kila upande sasa yale mambo yetu tutafanyaje?Habari za asubuhi waungwana!
Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo.
Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina lake litajwe mmoja wa wasimamizi wa uwanja alidokeza kuwa sehemu zitakazofungwa kamera ni pamoja na 'dressing rooms ', mageti yote na sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwa.
Kama uwanja mpya kama wa KMC kulikua hakuna Camera za usalama inatakiwa mkandarasi asipewe Tena kazi Nchini.
Viwanja vyote vya vipya Moja ya hitajio muhimu ni Camera za usalama.
Mimi binafsi siamini kama uwanja wa KMC mpaka Sasa hauna Camera za usalama.