Tetesi: Uwanja wa KMC kufungwa kamera maeneo yote muhimu

Tetesi: Uwanja wa KMC kufungwa kamera maeneo yote muhimu

Yanga wenyewe wametulia ila vishankupe muda wote kujichetua kuhusu Yanga hiki Yanga kile.
 
Sasa mbona hizo camera hazijawai kunasa matukio kama yale ya juzi huko chamanzi?
Hakuna tukio halisi zaidi ya matukio waliyo tengeneza wenyewe Azam na kuyatafutia Dot za ku connect
 
Kwa hiyo kuna timu itashindwa kujidunga mauchafu na kufanya matambiko
1000015160.jpg
 
Habari za asubuhi waungwana!

Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo.

Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina lake litajwe mmoja wa wasimamizi wa uwanja alidokeza kuwa sehemu zitakazofungwa kamera ni pamoja na 'dressing rooms ', mageti yote na sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwa.
Safi sana..wamekimbilia huko walidhani watafanya mambo yao
 
Hakuna tukio halisi zaidi ya matukio waliyo tengeneza wenyewe Azam na kuyatafutia Dot za ku connect
Dogo hujui nyamaza. Sisi tunajua.mimi nlishaandika kuwa ule uwanja tutahama. Sababu Azam walianza kutuhujumu. Hawataki Uwanja tuwe tunauandaa na pia kuweka cctv kururekodi vyumbani tukijiandaa hilo hatukupenda. Sasa wabaki na uwanja wao na wawaalike mikia sasa.
 
Habari za asubuhi waungwana!

Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo.

Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina lake litajwe mmoja wa wasimamizi wa uwanja alidokeza kuwa sehemu zitakazofungwa kamera ni pamoja na 'dressing rooms ', mageti yote na sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwa.
Dressing room haitakiwi kufungwa camera, watu wanavaa uchi unawekaje Kamera, akitokea kichaa akavujisha nyeti za wachezaji nani atawajibika hapo KMC🤣
 
Dogo hujui nyamaza. Sisi tunajua.mimi nlishaandika kuwa ule uwanja tutahama. Sababu Azam walianza kutuhujumu. Hawataki Uwanja tuwe tunauandaa na pia kuweka cctv kururekodi vyumbani tukijiandaa hilo hatukupenda. Sasa wabaki na uwanja wao na wawaalike mikia sasa.
Mikia si mmewafuata..sasa Ubaya Ubwela
 
Dogo hujui nyamaza. Sisi tunajua.mimi nlishaandika kuwa ule uwanja tutahama. Sababu Azam walianza kutuhujumu. Hawataki Uwanja tuwe tunauandaa na pia kuweka cctv kururekodi vyumbani tukijiandaa hilo hatukupenda. Sasa wabaki na uwanja wao na wawaalike mikia sasa.
Muuandae kwa ulozi? Yani ww ndo unazidi kuwaanika wazi vyura wenzio
 
Habari za asubuhi waungwana!

Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo.

Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina lake litajwe mmoja wa wasimamizi wa uwanja alidokeza kuwa sehemu zitakazofungwa kamera ni pamoja na 'dressing rooms ', mageti yote na sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwa.
Yanga tunahujumiwa kila upande sasa yale mambo yetu tutafanyaje?
 
Kama uwanja mpya kama wa KMC kulikua hakuna Camera za usalama inatakiwa mkandarasi asipewe Tena kazi Nchini.
Viwanja vyote vya vipya Moja ya hitajio muhimu ni Camera za usalama.
Mimi binafsi siamini kama uwanja wa KMC mpaka Sasa hauna Camera za usalama.

Zilikuwepo chache ila baada ya YangaSC kuamua kutumia ile uwanja, uongozi wa KMC wakaona ni bora waongeze ulinzi kutokana na matukio yanayowahusu YangaSC kila mara.
 
Back
Top Bottom