Hivyo viwanja kwani havina mmiliki?Hakuna namna wakaombe uwanja wa Tandika Mabatini au Uwanja wa CCM Majunia Msasaniš¤£
Huko hakuna CCTV Camera.
Huko kwingine watadhalilika tu.
Kama vina mmiliki wakihamia Yanga navyo vitafungwa camera Simple like that.