Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
kilichowatoa Azam complex ni nini?Yanga wenyewe wametulia ila vishankupe muda wote kujichetua kuhusu Yanga hiki Yanga kile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilichowatoa Azam complex ni nini?Yanga wenyewe wametulia ila vishankupe muda wote kujichetua kuhusu Yanga hiki Yanga kile.
Wanadhani kmc ndo wataweza kuchimbia vitu vyaokilichowatoa Azam complex ni nini?
Vikibuma wanamsingizia Mobetto utadhani naye ni sehemu ya kikosi.Wanadhani kmc ndo wataweza kuchimbia vitu vyao
Kamera za uwanja wa Mkapa ni rahisi sana kuchezewa na wafanyakazi wenye njaa.Hivi kwa mkapa hakuna camera?
Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu kabisa, haya tufanye ni kweli tunachoma sindano, kwani ni lazima tuchomee uwanjani? Si tunachoma klabuni kabla ya kuja uwanjani,Hapo wazee wa injection washachukia
CCTV CAMERA ZILIWANASAMashabiki wa Simba ni mbumbumbu kabisa, haya tufanye ni kweli tunachoma sindano, kwani ni lazima tuchomee uwanjani? Si tunachoma klabuni kabla ya kuja uwanjani,
Tuone sasa hawa mbwa watafanyaje uchawi wao. Wamekimbia uwanja wa Azam kwa kuwa umefungwa kamera kila mahali sasa wameenda tena kukutana na kamera huko KMC. Hawana pa kuchomokea, pambaf!Habari za asubuhi waungwana!
Wamiliki wa uwanja wa 'KMC COMPLEX' wameamua kufunga kamera za kurekodi matukio (CCTV camera) sehemu nyeti za uwanja huo.
Akizungumza kwa sharti la kutotaka jina lake litajwe mmoja wa wasimamizi wa uwanja alidokeza kuwa sehemu zitakazofungwa kamera ni pamoja na 'dressing rooms ', mageti yote na sehemu mbalimbali zenye umuhimu mkubwa.
Kwani huo uwanja wananchi wanaweza kununuwa hisa hata uwe wa umma?
Hakuna namna wakaombe uwanja wa Tandika Mabatini au Uwanja wa CCM Majunia Msasani🤣Sa itakuaje
Manispaa ya kinondoniChanzo cha taarifa?
Ulikuwa haujafungwa sasa wanafunga kamera ili yanga wasilete visingizioUlikuwa haujafungwa camera?,
Wataenda wash room kufanya mambo yao. Au nako kunafungwa camera?Hapo wazee wa injection washachukia
Kule Azam Complex wanakaba mpaka sio poa. Tunashindwa kuwa huru kuroga na kujidunga misindano. Walau KMC tunaweza kuwa huru zaidi.kilichowatoa Azam complex ni nini?