Tetesi: Uwanja wa KMC kufungwa kamera maeneo yote muhimu

Hizi ni habari mbaya kwa wadungwa sindano.
 
Reactions: Tui
Kitendo cha kupitia geti lisilo rasmi kuingia pale Kwa Mkapa na kujirudia huku wakipigwa faini na hawaachi , ni wazi Utopolo ni walozi na mauchafu mengine wanafanya ili timu Lao lishinde. Ni Timu la hovyo sana
 
Tuone sasa hawa mbwa watafanyaje uchawi wao. Wamekimbia uwanja wa Azam kwa kuwa umefungwa kamera kila mahali sasa wameenda tena kukutana na kamera huko KMC. Hawana pa kuchomokea, pambaf!
 
Wacha muone come back ya wananchi itakavyokuwa, huu uharo wote utaisha tu!

Yanga kufungwa mechi mbili mmefurahi kana kwamba ndio ligi imeisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…