Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamnaga goli la mashariki na magharibi viwanja vyote vya AfricaHakuna goli la mashariki kwa mkapa,ni kusini na kaskazini
Ukizoea kwenda uwanjani TV haina kazi ni full shangwe!Kuna raha sana kuangalia mpira live pale kwa mkapa. Kama umezoea kuangalia kwa tv af uingie uwanjani unaweza dhani wachezaji hawako serious kumbe wako serious.
Af uwe na earphones uwe unasikiliza matangazo kwenye radio🔥🔥
Mi nawahigi ule mapema ule upande jua linapozama,napigwa kwanza na jua ila mechi inapoanza kivuli ndo inaanza naona uwanja wote bila kuumizwa macho na jua,ila kwa mechi za mapema,ila kama za usiku popote fresh tuHakuna goli la mashariki kwa mkapa,ni kusini na kaskazini
Mara ya kwanza ukifika ukazubaa kwenye vituko vingine halafu goli ikaingia ndo hamna replay imepita hiyo,kwa akili ya mazoea ya tv utatamani uone replay. Ila amshaamsha na vuvuzela nonstopJamani mimi natokea kishapu🤣🤣
ni kukaza macho vizuri tu gentleman, ukikaa popote tu unaona mechi vizuri sana...Sisi watu wa nje ya Dar es salaam hatujui majukwaa ya uwanja wa Mkapa yalivyopangiliwa, hivyo kuuliza si ushamba😃
Ni eneo gani ukiwa kwa Mkapa ndiyo unaweza kuona mechi vizuri zaidi kuliko maeneo mengine ya uwanja huo wa Mkapa?
VIP A ndio kila kitu, B ile ya blue na C ukipata nafasi mkabala na A ni pazuri pia.
Mzunguko hadi uwe mwenyeji na ujue kujiposition, utapata view nzuri.
Mara nyingi mno!Hizo VIP hakuna niliyowahi kukata ticket, maana wengine wanasema unaweza kukata na hakuna nafasi unafika pamejaa, ni kweli unaweza kukata VIP na usikae?
Dah hapo kweli inauma,unalipa vizuri uangalie kwa raha zako mwisho wa siku hamna siti,heri ingekuwa siti zina namba kama ulaya hata usipokwepo itakaa waziMara nyingi mno!
Yani naweza kusema VIP nimekosa siti mara nyingi zaidi ya nilizopata, hadi nilipobadili utaratibu nikawa nawahi.
Ule msimu Yanga tuliofika fainali CAFCC wote nilikataa VIP, ilikuwa shida sana na inaumiza kulipa hela nyingi ukakosa siti.
Huo uhuni uko sana VIP B na C, A sio sana.
Ni kweli,ila mbona hata viwanja vya Misri ,Morocco na South Africa hivo mistari ipo, nadhani wameziweka kwa ajili ya riada piaWaodoe running tracks na kuongeza viti. Hizo lines sijawah ona manufaa yake. Uwanja mzuri unapaswa kuwa hivi
View attachment 3196242View attachment 3196241
View attachment 3196244
Riadha lini kitaifa ilifanyikia hapo kwa mkapa? Hivi vilabu simba na yanga wakitengeneza viwanja vyao, waachane na hizo running tracks. Wastage of space, inafanya mashabiki wakae mbali na pitchNi kweli,ila mbona hata viwanja vya Misri ,Morocco na South Africa hivo mistari ipo, nadhani wameziweka kwa ajili ya riada pia
Ni kweli mashabiki wanakuwa mbali na pitch hata ukikaa kule mbali kwenye mzunguko sometimes unakuwa na uoni hafifu, Azam sasa hivi washaanza kuweka viti na pameanza kupendeza lakini kwa Mkapa kuna mashabiki wanaangalia mechi zaidi ya umbali wa mita 100Riadha lini kitaifa ilifanyikia hapo kwa mkapa? Hivi vilabu simba na yanga wakitengeneza viwanja vyao, waachane na hizo running tracks. Wastage of space, inafanya mashabiki wakae mbali na pitch
Hii siyo sawa na basi inaonesha kuwa wanaoendesha huo uwanja wana mambo ya kizamani.Dah hapo kweli inauma,unalipa vizuri uangalie kwa raha zako mwisho wa siku hamna siti,heri ingekuwa siti zina namba kama ulaya hata usipokwepo itakaa wazi
Pale kinachoonekana kuna upendeleo kwa kujuana,kuna waheshimiwa hawakati ticket au hata wakikata ni za mzunguko ila wanaenda kukaa kule,maana idadi ya seats zinajulikana na kama watu wamekata zikaisha haiwezekani kuongeza sasa inakwaje watu wanazidi kuliko viti?Hii siyo sawa na basi inaonesha kuwa wanaoendesha huo uwanja wana mambo ya kizamani.
Unakuwaje VIP halafu ukose kiti cha kukalia. Ina maana hapo VIP hakuna idadi ya viti inayojulikana?
Kabisa... Wapo maafande wa polisi na wanasiasa. Utashangaa wakati wa mechi mtu kabaa sare ya polisi Kama vile yupo "duty" ...Pale kinachoonekana kuna upendeleo kwa kujuana,kuna waheshimiwa hawakati ticket au hata wakikata ni za mzunguko ila wanaenda kukaa kule,maana idadi ya seats zinajulikana na kama watu wamekata zikaisha haiwezekani kuongeza sasa inakwaje watu wanazidi kuliko viti?