Wamekusikia japo huna maelezo ya kutoshaPicha ziko wapi
Labda kaandika wakati anakimbia kwa mujibu wa "wanaogopa".Wamekusikia japo huna maelezo ya kutosha
Kuelewa post kunategemeana na uimara wa ubongo wako.
Mbeya sasa mbona WCB walilipa fainiKampeni ni ya muhimu kuliko hayo majani yaliyokanyagwa tutayamwagilia maji tu hakuna shida labda kama una tatizo jingine.Kwanza mechi yetu na wananchi ni mpaka November 7 hapo tutakuwa tumeyamwagilia maji
Wao ndiyo waliyoutengeza hivyo kama wameuharibu wao bado wao ndiyo watakaourekebisha. Acha majungu.Jana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa mkapa.Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule sokoine Mbeya.Tofauti ni kua kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi Ila kwa Jana kimyaaaa.Kila MTU anaogopa.
Kwa makusudi majukwaa yalikuwa empty ila watu wakalazimishwa kukaa kwenye pitchJana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa mkapa.Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule sokoine Mbeya.Tofauti ni kua kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi Ila kwa Jana kimyaaaa.Kila MTU anaogopa.
Alitaka kuanzisha uzi 'thread 'Labda kaandika wakati anakimbia kwa mujibu wa msingi "anaogopa".