Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What? mali yao?Wao ndiyo waliyoutengeza hivyo kama wameuharibu wao bado wao ndiyo watakaourekebisha. Acha majungu.
Umeelewa nilichoandika lakini au,?Ndio Mali yangu kwa sababu umejengwa kwa kodi yangu pia
Fear of shame and inferiority complex are displacing you.Wako
Wewe ulikuwa wapi mkuu... kulikuwa na mabasi kibao yamekodiwa kupeleka watu taifa jana kutoka nje ya Dar. Wengi pale ni village njaa.Vijijini temeke
Kampeni ni ya muhimu kuliko hayo majani yaliyokanyagwa tutayamwagilia maji tu hakuna shida labda kama una tatizo jingine.Kwanza mechi yetu na wananchi ni mpaka November 7 hapo tutakuwa tumeyamwagilia maji
Sasa utajilipisha faini kwenye mali yako.seikali imeharibu uwanja wake kwahyo itabidi wautengeneze wao wenyewe.mmiliki ndiye aliyeharibu sasa fine ni kwa nani ulitaka?Mbeya sasa mbona WCB walilipa faini
NI UWANJA wa ccm huo?Wao ndiyo waliyoutengeza hivyo kama wameuharibu wao bado wao ndiyo watakaourekebisha. Acha majungu.
Katika matangazo yao wangewaambia watu, njooni na kiporo chako cha jana na maji ya kunywa. Shughuli itakua ndefu.CCM wameng'oa vitu baada ya kuzuiwa kutoka baada ya show na kabla ya hotuba?
Zingatia niliyokuambia. Meanwhile, tulia uache kuattack watu kwa kuwa tu huelewi wanachoandika. Nimeona hata huyu hujamwelewa.Ndio Mali yangu kwa sababu umejengwa kwa kodi yangu pia
2015 CHADEMA waliomba kutumia uwanja wa Taifa walimyimwa waliambiwa uwanja huo ni kwa ajili ya michezo tuJana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa mkapa.Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule sokoine Mbeya.Tofauti ni kua kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi Ila kwa Jana kimyaaaa.Kila MTU anaogopa.
Sasa kwa CCM unategemea ustaarabu?Kinyesi kimetapakaaa hawajui hata kufrash shenzi hawa
Yawezekana Chadema mmehujumu!Katika matangazo yao wangewaambia watu, njjoni na kiporo chako cha jana n maji y kunywa. Shughuli itakua ndefu.
CHADEMA hamkufurahishwa na ule mkutano!Sasa kwa CCM unategemea ustaarabu?
Mmehujumiana wenyewe.Yawezekana Chadema mmehujumu!