babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA hawafai hata kwa kulumangia.Mmehujumiana wenyewe.
Utafurahiaje kwa wanaccm kunya kwenye korido kisa wamuone Kiba na Zuchu?Chadema hamkufurahishwa na ule mkutano!
Wewe umefurahishwa na ustaarabu huu, CCM ustaarabu zero unaambiwa na rais alikuwepo je asingekuwepo ingekuwaje.Chadema hamkufurahishwa na ule mkutano!
Hahaaaaaa..............waandishi wenyewe ndo hawa kina paskali kutwa kujipendekeza hadi kwa gwajima?
Kaandika vizuri tu, kuwapa watu nafasi ya kutafiti zaidi, kuchaganua na kujadili.Alitaka kuanzisha uzi 'thread '
Dah! watu mna safari ndefu sanaWao ndiyo waliyoutengeza hivyo kama wameuharibu wao bado wao ndiyo watakaourekebisha. Acha majungu.
Wakati mwingine uwe unaficha ujinga wako!Kwahiyo mleta mada hapo kwenu hujawahi kuvunja hata glasi ya maji??
Walienda kukulana?Kinyesi kimetapakaaa hawajui hata kufrash shenzi hawa
Asiyekubali kuwa CCM is no more ni punguani pekeeJana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule sokoine Mbeya.
Tofauti ni kua kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.
Ni kweli mkuu. Usione Waandishi wapo kimya Wana mengi ya kuongea lakini hawaweziWaandishi wenyewe Wana familia, msiwaponze
Dah! Kiukweli hii haikubaliki, inaana hakuna sheria kwenye soka zinazokataza pitch kutumika hivi? Nijuavyo mimi pitch ya mchezo na kuta kwaajili ya ulinzi ni vitu muhimu.Wewe umefurahishwa na ustaarabu huu, CCM ustaarabu zero unaambiwa na rais alikuwepo je asingekuwepo ingekuwaje.View attachment 1595446