kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
Naanza pata picha kwanini hii mechi iliahirishwaKampeni ni ya muhimu kuliko hayo majani yaliyokanyagwa tutayamwagilia maji tu hakuna shida labda kama una tatizo jingine.Kwanza mechi yetu na wananchi ni mpaka November 7 hapo tutakuwa tumeyamwagilia maji