MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Hivi kweli tumeshindwa kutunza huu uwanja? Usafi wa vyoo na maeneo mengine imekuwa tatizo sugu lakini aibu kubwa zaidi ni sasa hata pitch imetushinda.
Ni aibu National Stadium nyasi kuisha na kuwa na mapengo ya vumbi. Serikali kwenye hili mnastahili lawama zote kwa kushindwa kusimamia huu uwanja.
Hii nchi kwenye mpira tunachambua mambo mengi ya kijinga na wakati mwingine kuacha vitu fundamental.
Uwanja wa Taifa kuwa na pitch ya namna ile ni aibu ya Taifa. Watu wawajibike kwenye hili! Aibu! Aibu! Aibu!
Shame on us!
Pia soma: Serikali yatoa ufafanuzi madai ya kuwa Uwanja wa Mkapa unatia aibu kwa uchafu
Ni aibu National Stadium nyasi kuisha na kuwa na mapengo ya vumbi. Serikali kwenye hili mnastahili lawama zote kwa kushindwa kusimamia huu uwanja.
Hii nchi kwenye mpira tunachambua mambo mengi ya kijinga na wakati mwingine kuacha vitu fundamental.
Uwanja wa Taifa kuwa na pitch ya namna ile ni aibu ya Taifa. Watu wawajibike kwenye hili! Aibu! Aibu! Aibu!
Shame on us!
Pia soma: Serikali yatoa ufafanuzi madai ya kuwa Uwanja wa Mkapa unatia aibu kwa uchafu