mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Siyo kwa Utopolo huu.Kagera anakufa hii game
Kwani Utopolo ya Kongo ilipofungwa na Mnyama Mkali, ulificha wapi sura yako?Mungu saidia hii mechi,tutaficha wapi sura zetu kwa haya Mautelembwe
Mod anza kunoa jambiaChizi Maarifa Mimi Nawaomba Moderator Wanipige Ban Ya Mwezi Mzima Tusiposhinda.
Game Imeisha Mapema Sana.
mmeanza vijisababu subirini mpira uisheHii mechi tukifungwa, kocha atahusika kwa asilimia zaidi ya 70! Amezingua kumuacha nje kiungo mkabaji kama Mukoko na kuwaanzisha viungo ambao si wakabaji wa kiwango cha Mukoko mfano huyu Zawadi Mauya.
Makosa mengi yanafanywa na mabeki kwa sababu ya udhaifu wa kiungo mkabaji. Zawadi Mauya anapuyanga tu uwanjani!