Uwanja wa Mkapa: Yanga yashindwa kutamba uwanja wa nyumbani, yalazimishwa sare na Kagera Sugar

Wakati unawaza hivyo rudia uone ni mara ngapi Luis anaangushwa kwenye 18 na waamuzi wanapeta
 
Mie ni yanga pure,ila kwa meci ya leo,cedric kaze kafeli na huenda akafukuzwa mapema saana

Bonge la kocha huyu jamaa sema mpira wa bongo ndio ulivyo kuna umuhimu wa kuwa na na Ma Dk wa saikolojia sio mbinu tuu yawezakana wachezaji wana misongo kichwani .
 
Kagera wamecheza mpira mzuri wakiwa wametulia. Yanga wamecheza kwa presha. Yanga inabidi watulie. Mpira ni mchezo wa makosa.
Kama Yanga wataendelea kucheza kwa presha hii, hata nafasi ya pili hawata ipata.

Presha ya mashabiki, presha ya viongozi ni shida. Hata mchezaji mzuri atashindwa kucheza kwa kiwango chake.
 
Uwezo wao umeishia pale, mwaka huu watalia sana uwanjani haswa pale wanapoenda na magoli yao mfukoni
 
Utalaumu bure waamizi lakini hii game kocha ndio kazingua. Anafanyaje majaribio ya wachezaji wakati mechi muhimu inayohitaji point 3. Haya tayari ameshaona kuwa kuna tatizo la Mauya, kwanini ilivyokuwa goli mbili kwa mbili asingefanya sub ya kumtoa Mauya na kumuingiza Mukoko.

Yaani anasubiri mpaka adhibiwe tena ndio afanye sub. Nani aliyemkalilisha kuwa sub hufanyika baada ya kipindi cha kwanza kuisha? Wenzie wanafanya sub hata dakika 20 tu za mwanzo pindi unapoona Kuna tatizo la kiufundi. Kocha kazingua
 
Uwezo wao umeishia pale, mwaka huu watalia sana uwanjani haswa pale wanapoenda na magoli yao mfukoni
Mpira hauna fomesheni, ni puta puta tu, cha msingi mpate goli.
Huwezi kufika popote. Kila mchezaji wa Yanga hana amani.
Baca wanafungwa, Munich wanafungwa.
Wewe ni nani hutaki droo, hutaki kufungwa, ni ngumu sana yaani
 
Yanga wenyewe wanachotaka ni kumaliza ligi bila kufungwa baasi. Ndiyo maana wanashangilia droo utopolo.
 
Masikinii yanga badala ya kulalamikia beki yao mbovu na mastriker wao wabovuu waliowanyima ushindi wanalalamikia marefa na kulia kama watoto
 
Cedric kaze amefeli na atafukuzwa soon,pamoha na kwamba mie ni yanga
 
Yanga wenyewe wanachotaka ni kumaliza ligi bila kufungwa baasi. Ndiyo maana wanashangilia droo utopolo.
Halafu wewe ulinitukana mahali flani
Nakuhakikishia kama sio upendo wangu ungeiishia kusiko julikana
Nimekusamehe na usirudie tena.
nasema tena usirudie.
Mi niache nizungumze ninacho penda.
 
Halafu wewe ulinitukana mahali flani
Nakuhakikishia kama sio upendo wangu ungeiishia kusiko julikana
Nimekusamehe na usirudie tena.
nasema tena usirudie.
Mi niache nizungumze ninacho penda.
Nilikutukanaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…