Uwanja wa Mpira Dodoma: Ndoto au Uhalisia?

Uwanja wa Mpira Dodoma: Ndoto au Uhalisia?

Mfalme wa Morocco alidanganya ili apate kujenga mosque Tanzania
Baada ya hapo, serikali ilitangaza kujenga uwanja kwa kutumia fedha za ndani. Mchakato wa usanifu ulianza enzi za utawala wa Rais Magufuli, ambapo ilipangwa kujengwa uwanja wenye uwezo wa kubeba watazamaji 100,000. Hata hivyo, baada ya serikali ya Mama kuingia madarakani, iliamua kubadili mpango huo na kupanga kujenga uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 30,000. Tangu wakati huo, hakuna maendeleo yaliyotangazwa hadi sasa.
 
Wadau, nilisikia miaka ya nyuma kulikuwa na mipango ya kujenga uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu hapa Dodoma, lakini hadi sasa sijasikia maendeleo yoyote makubwa.

Swali langu ni, huu uwanja unajengwa kweli au ndoto hizi ziliondoka pamoja na Mzee wetu aliyekuwa na maono hayo?

Kama kuna yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu hatua zilizofikiwa au changamoto zinazokwamisha mradi huu, naomba atujuze
 
MAGUFULI MWENYEWE ALIKUWA MUONGO MUONGO SANA.

MIRADI MINGI YA DODOMA ILIKUWA NA UONGO

UWANJA ULIKUWA UJENGWE NA MFALME WA MOROCO TANGU 2017 YEYE AMEONDOKA 2021 MIAKA 4 HAKUFANYA KITU CHOCHOTE SHAME.
 
Wadau, nilisikia miaka ya nyuma kulikuwa na mipango ya kujenga uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu hapa Dodoma, lakini hadi sasa sijasikia maendeleo yoyote makubwa.

Swali langu ni, huu uwanja unajengwa kweli au ndoto hizi ziliondoka pamoja na Mzee wetu aliyekuwa na maono hayo?

Kama kuna yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu hatua zilizofikiwa au changamoto zinazokwamisha mradi huu, naomba atujuze
Few moments later:

Kasongo yeyeeee, mobali nangaii....
 
Kwani Dodoma kuna timu gani ya mpira?

Mnataka uwanja wa mpira au uwanja wa gwaride?
 
Hapo ni makuu ya nchi ni lazima pia pawe na uwanja,lakini afcon inataka uwanja hapo
Uwanja wa timu gani? Timu gani itacheza kwenye huo uwanja kama uwanja wa nyumbani? Hujajibu swali.

Mnataka kujenga uwanja mji hauna timu? Huo uwanja utatumika mashindano ya Afcon halafu yakiisha uwe unatumika kwa magwaride tu au utatumika vipi?

Mnataka kujenga uwanja bila kufikiria Return On Investment itachukua muda gani?
 
Uwanja wa timu gani? Timu gani itacheza kwenye huo uwanja kama uwanja wa nyumbani? Hujajibu swali.

Mnataka kujenga uwanja mji hauna timu? Huo uwanja utatumika mashindano ya Afcon halafu yakiisha uwe unatumika kwa magwaride tu au utatumika vipi?

Mnataka kujenga uwanja bila kufikiria Return On Investment itachukua muda gani?
Uwanja haujengwi kwa sababu timu gani itacheza
 
Uwanja haujengwi kwa sababu timu gani itacheza
Ila unajengwa kufugia sungura?

Ndiyo maana hamuwezi kumaliza umasikini.

Hamjui uwanja unatumia pesa nyingi kuujenga na kuu maintain.

Michezo ni biashara, watu wanajenga uwanja kwa business plan, na projection za investment.

Kujenga uwanja ili uwe na uwanja tu ni mambo ya kizamani.
 
Ila unajengwa kufugia sungura?

Ndiyo maana hamuwezi kumaliza umasikini.

Hamjui uwanja unatumia pesa nyingi kuujenga na kuu maintain.

Michezo ni biashara, watu wanajenga uwanja kwa business plan, na projection za investment.

Kujenga uwanja ili uwe na uwanja tu ni mambo ya kizamani.
kumbuka dodoma ni mji mkuu wa nchi na huo uwanja unaojengwa,upo kwenye masyer plan ya dodoma na ni sports stadium,kwa michezo yote sio mpira wa miguu tu
 
Wasingejenga uwanja mpya kwa Dodoma. Jamuhuri unhefanyiwa matengenezo makubwa kama Amaan umngependeza tu....
 
Back
Top Bottom