Uwanja wa Mpira Dodoma: Ndoto au Uhalisia?

Uwanja wa Mpira Dodoma: Ndoto au Uhalisia?

Wadau, nilisikia miaka ya nyuma kulikuwa na mipango ya kujenga uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu hapa Dodoma, lakini hadi sasa sijasikia maendeleo yoyote makubwa.

Swali langu ni, huu uwanja unajengwa kweli au ndoto hizi ziliondoka pamoja na Mzee wetu aliyekuwa na maono hayo?

Kama kuna yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu hatua zilizofikiwa au changamoto zinazokwamisha mradi huu, naomba atujuze
Yule mfalme wa Morocco alitupiga. Alisema atatujengea msikiti Dar na uwanja Dodoma. Baada ya kujenga msikiti hakurudi tena
 
kumbuka dodoma ni mji mkuu wa nchi na huo uwanja unaojengwa,upo kwenye masyer plan ya dodoma na ni sports stadium,kwa michezo yote sio mpira wa miguu tu
Dodoma yenyewe kufanywa mji mkuu wa nchi ni costly mistake.

Ndiyo maana nakuuliza timu ya mji mkuu wa nchi ni ipi, unashindwa kunijibu.

Hapo mmefanya Garbage In Garbage Out.

Mmelazimisha kujenga mji mkuu Dodoma bila mpango, mji mkuu hauna timu, sasa mnalazimisha kujenga uwanja wa mpira ambao mtautumia kwa magwaride.

Hapo hapo uwanja utakuwa wa gharama kubwa ya ujenzi na maintenance.

Kwenye nchi yenye mambo mengi ya kufanya na pesa kidogo.

Halafu mnashangaa kwa nini mna umasikini!
 
Dodoma yenyewe kufanywa mji mkuu wa nchi ni costly mistake.

Ndiyo maana nakuuliza timu ya mji mkuu wa nchi ni ipi, unashindwa kunijibu.

Hapo mmefanya Garbage In Garbage Out.

Mmelazimisha kujenga mji mkuu Dodoma bila mpango, mji mkuu hauna timu, sasa mnalazimisha kujenga uwanja wa mpira ambao mtautumia kwa magwaride.

Hapo hapo uwanja utakuwa wa gharama kubwa ya ujenzi na maintenance.

Kwenye nchi yenye mambo mengi ya kufanya na pesa kidogo.

Halafu mnashangaa kwa nini mna umasikini!
Kwanza sijui kama unanielewa huo ni sports stadium hivyo michezo yote itachezwa hapo,na pia sio lazima timu za tanzania tu zicheze hapo timu za nchi za nje zitaomna kucheza hapo pia,na kwa taarifa yako baadhi ya majirani zetu wataomna kucheza na kufanya mazoezi hapo,hata kwenye ligi kuu baadhi ya timu zitauchagua uwanja huo kuwa ni uwanja wao,tulia ndugu huo uwanja unaanufaa makubwa
 
Kwanza sijui kama unanielewa huo ni sports stadium hivyo michezo yote itachezwa hapo,na pia sio lazima timu za tanzania tu zicheze hapo timu za nchi za nje zitaomna kucheza hapo pia,na kwa taarifa yako baadhi ya majirani zetu wataomna kucheza na kufanya mazoezi hapo,hata kwenye ligi kuu baadhi ya timu zitauchagua uwanja huo kuwa ni uwanja wao,tulia ndugu huo uwanja unaanufaa makubwa
Nimekuuliza habari za Return On Investment, ambayo inataka kuwe na timu maalum ya kutumia uwanja kama "home ground" ili hesabu zikae vizuri.

Lakini inaonekana huelewi hata "Return On Investment" ni nini na umuhimu wa kuwa na home team ya kutumia uwanja huo ni nini.

Huelewi kuwa uwanja ni biashara.

Unafikiri uwanja utajiendesha kwa miujiza tu.
 
Dodoma yenyewe kufanywa mji mkuu wa nchi ni costly mistake.

Ndiyo maana nakuuliza timu ya mji mkuu wa nchi ni ipi, unashindwa kunijibu.

Hapo mmefanya Garbage In Garbage Out.

Mmelazimisha kujenga mji mkuu Dodoma bila mpango, mji mkuu hauna timu, sasa mnalazimisha kujenga uwanja wa mpira ambao mtautumia kwa magwaride.

Hapo hapo uwanja utakuwa wa gharama kubwa ya ujenzi na maintenance.

Kwenye nchi yenye mambo mengi ya kufanya na pesa kidogo.

Halafu mnashangaa kwa nini mna umasikini!
Kwa mahudhurio ya mashabiki Tz hata ukijengwa wa kuingiza watu 25elfu utatosha sana

Kuhusu timu kwani Dodoma jiji sio timu?

Timu ya Taifa inaweza kuutumia pia maana msalato airpot ikikamilika maana yake usafiri uhakika, kuna Sgr to Dom. Sasa why kusiwe na uwanja?
 
Kwa mahudhurio ya mashabiki Tz hata ukijengwa wa kuingiza watu 25elfu utatosha sana

Kuhusu timu kwani Dodoma jiji sio timu?

Timu ya Taifa inaweza kuutumia pia maana msalato airpot ikikamilika maana yake usafiri uhakika, kuna Sgr to Dom. Sasa why kusiwe na uwanja?
Wapi nimesema kusiwe na uwanja? Unajua kusoma kwa ufahamu?
 
Hukumbuki mama alisema Hela zilizotakiwa kujenga huo uwanja ndiyo zilijenga new amani complex kule Zanzibar?
 
Nchi hii bwana ahadi kibao huwa hewa tu.
Hiyo ilikuwa ahadi hewa kama ilivyo
Ukarabati HEWA wa Benjamin mkapa.

Mwaka 2018/19 Magufuli alitoa ahadi hewa ya bilioni moja kwa Timu za Taifa.

Nina mashaka sana hata Samia kaitoa kweli milioni 700 kwa wachezaji wa Taifa stars aliyoahidi.
 
Nimekuuliza habari za Return On Investment, ambayo inataka kuwe na timu maalum ya kutumia uwanja kama "home ground" ili hesabu zikae vizuri.

Lakini inaonekana huelewi hata "Return On Investment" ni nini na umuhimu wa kuwa na home team ya kutumia uwanja huo ni nini.

Huelewi kuwa uwanja ni biashara.

Unafikiri uwanja utajiendesha kwa miujiza tu.
Hiyo return on investment ni lazima iandikwe kwa kingereza tu? Hebu andika kwa kiswahili halafu jenga hoja ueleweke
 
Hiyo return on investment ni lazima iandikwe kwa kingereza tu? Hebu andika kwa kiswahili halafu jenga hoja ueleweke
Hujaweza kunilazimisha kuandika unavyotaka wewe. Naandika Return On Investment.

Tatizo nini? Hujui Kiingereza au unalazimisha Kiswahili tu?

Siko hapa kutangaza Kiswahili, na ninaweza kuiandika kwa Kiswahili hata wanaoijua wasijue nimemaanisha nini, kwa sababu wanaoijua wanaijua kama Return On Investment. Mpaka vyuoni wamefundishwa kwa Kiingereza.

Sasa unanipaje mimi kazi ya kuiandika kwa Kiswahili?
 
Kwani Dodoma kuna timu gani ya mpira?

Mnataka uwanja wa mpira au uwanja wa gwaride?
Dodoma kuna Dodoma Jiji, Na Arusha kuna timu gani ya mpira?
 
MAGUFULI MWENYEWE ALIKUWA MUONGO MUONGO SANA.

MIRADI MINGI YA DODOMA ILIKUWA NA UONGO

UWANJA ULIKUWA UJENGWE NA MFALME WA MOROCO TANGU 2017 YEYE AMEONDOKA 2021 MIAKA 4 HAKUFANYA KITU CHOCHOTE SHAME.
aliacha wameanza kusanifu nafikili angekuwepo kungekuwa na progress
 
Uwanja wa timu gani? Timu gani itacheza kwenye huo uwanja kama uwanja wa nyumbani? Hujajibu swali.

Mnataka kujenga uwanja mji hauna timu? Huo uwanja utatumika mashindano ya Afcon halafu yakiisha uwe unatumika kwa magwaride tu au utatumika vipi?

Mnataka kujenga uwanja bila kufikiria Return On Investment itachukua muda gani?
samahani huwa unafuatlia mpira hata kidogo, unasema Dodoma hakuna timu???
kati ya Dodoma na Arusha wapi kuna timu inayocheza ligi kuu?
 
Yule mfalme wa Morocco alitupiga. Alisema atatujengea msikiti Dar na uwanja Dodoma. Baada ya kujenga msikiti hakurudi tena
pitia comment no 23
 
Dodoma yenyewe kufanywa mji mkuu wa nchi ni costly mistake.

Ndiyo maana nakuuliza timu ya mji mkuu wa nchi ni ipi, unashindwa kunijibu.

Hapo mmefanya Garbage In Garbage Out.

Mmelazimisha kujenga mji mkuu Dodoma bila mpango, mji mkuu hauna timu, sasa mnalazimisha kujenga uwanja wa mpira ambao mtautumia kwa magwaride.

Hapo hapo uwanja utakuwa wa gharama kubwa ya ujenzi na maintenance.

Kwenye nchi yenye mambo mengi ya kufanya na pesa kidogo.

Halafu mnashangaa kwa nini mna umasikini!
Dodoma Jiji inacheza chumbani kwako?? usifanye mambo bila kufikiri na kutumia akili,
 
Back
Top Bottom