Uwanja wa Mpira Dodoma: Ndoto au Uhalisia?

Uwanja wa Mpira Dodoma: Ndoto au Uhalisia?

Ulianza kwa ku question kama kuna timu Dodoma, jamaa kakujibu kwamba kuna Dodoma jiji, anza na hilo kwanza alafu tuendelee au umuambie na hilo pia athibitishe....
Nianze vipi na hilo wakati hilo limejibiwa, hiyo timu ina capacity ya kujaza huo uwanja? Mahesabu ya Return On Investment yakoje? Nimeuliza maswali yote hayo, umeyaona ukayaruka tu, hujayaona, au hata kusoma kwa ufahamu hujui?
 
Sikia sio kwamba sijui return on investment but kumbuka uwanja ni social asset,na faida yake haipimwi kwa faida ya fedha
Hapo ndipo mnakosea na mnazidi kuukumbatia umasikini.

Kwa nini mnafanya kitu kinachoweza kujiendesha kwa biashara kiwe kitu kisichojiendesha kibiashara?

Pesa zenyewe chache, mambo mengi, mnataka kuishi kama hamna problemmof choice na opportunity cost.

Unaelewa uwanja ukiujenga una running costs, hujamaliza gharama kwenye ujenzi tu?
 
Hapo ndipo mnakosea na mnazidi kuukumbatia umasikini.

Kwa nini mnafanya kitu kinachoweza kujiendesha kwa biashara kiwe kitu kisichojiendesha kibiashara?

Pesa zenyewe chache, mambo mengi, mnataka kuishi kama hamna problemmof choice na opportunity cost.

Unaelewa uwanja ukiujenga una running costs, hujamaliza gharama kwenye ujenzi tu?
Hapo ndipo mnakosea na mnazidi kuukumbatia umasikini.

Kwa nini mnafanya kitu kinachoweza kujiendesha kwa biashara kiwe kitu kisichojiendesha kibiashara?

Pesa zenyewe chache, mambo mengi, mnataka kuishi kama hamna problemmof choice na opportunity cost.

Unaelewa uwanja ukiujenga una running costs, hujamaliza gharama kwenye ujenzi tu?
Nenda dunia nzima viwanja vya hivi vipo na vinaleta faida kubwa kwa nchi,sio lazima fedha tu
 
Nenda dunia nzima viwanja vya hivi vipo na vinaleta faida kubwa kwa nchi,sio lazima fedha tu
Sawa, nchi tajiri zinaweza ku afford kufanya hivyo, kwa sababu hazina tatizo la fedha.

Lakini nchi masikini haziwezi ku afford kufanya hivyo, kwa sababu zina tatizo la fedha.

Ajabu ni kwamba, zile nchi tajiri ambazo zina fedha nyingi na zinaweza kuendesha viwanja kama public good, nyingi zinaendesha viwanja kama biashara.

Na zile nchi masikini ambazo hazina fedha za kuweza ku afford kuendesha viwanja kama public good, ndiyo zinaendesha viwanja bila kuangalia biashara.

Labda hii ni moja ya sababu nchi tajiri ziko tajiri na nchi nasikini ziko masikini.

Nchi tajiri zimejikita zaidi kwenye efficiency na viwanja kuweza kuji sustain vyenyewe kibiasahara. Wenzetu wana mentality hiyo.

Sisi tuna mentality ya viwanja kuendeshwa kwa ruzuku ya serikali, ruzuku ambayo ni ndogo na ina mambo meengi sana.
 
Shida ni kuona kuwa Dodoma hakustahili kujengwa uwanja na kuwa makao makuu kwa sababu za kitoto kabisa
Hapana. Hakuna popote ambapo nimesema hivyo.

Watanzania wengi kama wewe tatizo lenu ni kwamba hamuwezi kujadili hoja, mnajadili mambo kwa hisia, mnajadili watu badala ya hoja.

This logical fallacy is called ad hominem.

Mimi nikija na hoja za kusema hapa ni vizuri kuendesha mambo kibiashara, miji ikakua kibiashara bila kutegemea serikali, viwanja vikawa self sustaining, hata kukiwa na hela za serikali zimetolewa, kuwe na mipango ya kupata Return on Investment mapema iwezekanavyo, nikitoa hoja zote hizo za kifalsafa inaonekana huzielewi.

Tatizo ama wewe huelewi hoja, hujui ROI ni nini, huwezi kuchambua hoja kifalsafa (ambazo zipo nyingi tu za kupinga upande wangu) unaishia maneno ya kingumbaru tu ya chuki, wivu, husda.

Ama ni mvivu wa tabia tu.

Una tatizo la elimu ama uvivu.

Yote majanga.

Nilitegemea mtu aje kunipinga kifalsafa, kuonesha viwanja ni public good, kuonesha mifano. Si9ni hoja za kifalsafa (ambazo zipo nyingi tu).

Kwa sababu watu ama wajinga, ama wavivu.

Pengine wajinga na wavivu.

Natumia neno wajinga si kama tusi bali kuelezea hali ya kutojua kitu.
 
Back
Top Bottom