ZINJANTHROPAZ
JF-Expert Member
- Aug 6, 2023
- 287
- 470
mkuu mwenye maono alishatangulia mbele ya haki ,miradi mingapi imelala? hapo tuxubiri wauziwe wachina af bhc.Wadau, nilisikia miaka ya nyuma kulikuwa na mipango ya kujenga uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu hapa Dodoma, lakini hadi sasa sijasikia maendeleo yoyote makubwa.
Swali langu ni, huu uwanja unajengwa kweli au ndoto hizi ziliondoka pamoja na Mzee wetu aliyekuwa na maono hayo?
Kama kuna yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu hatua zilizofikiwa au changamoto zinazokwamisha mradi huu, naomba atujuze
Ni kweli mkuu miradi mingi imesimama na mingine inaenda taratibu sana, mfano ukarabati wa uwanja wa Benjamini mkapa hayo mabilioni wanayosema yametumika hatuoni ni wapi yametumikamkuu mwenye maono alishatangulia mbele ya haki ,miradi mingapi imelala? hapo tuxubiri wauziwe wachina af bhc.
kiranga mbona huelewi, kwani uwanja wa mkapa ni wa timu au wa taifa? Wakati wa ujenzi wake walikuwa wanatarajia timu ipi itakuwa home ground yake? Hawa simba,yanga mbona wanakodisha? Uwanja ukijengwa timu yeyote itakodi na kuutumia kama ilivyo kwa viwanja vingine.Nimekuuliza habari za Return On Investment, ambayo inataka kuwe na timu maalum ya kutumia uwanja kama "home ground" ili hesabu zikae vizuri.
Lakini inaonekana huelewi hata "Return On Investment" ni nini na umuhimu wa kuwa na home team ya kutumia uwanja huo ni nini.
Huelewi kuwa uwanja ni biashara.
Unafikiri uwanja utajiendesha kwa miujiza tu.
Kwa nini unaniuliza mimi Arusha? Kwani mimi najenga uwanja Arusha?Dodoma kuna Dodoma Jiji, Na Arusha kuna timu gani ya mpira?
Dar es salaam ina timu nyingi. Uwanja hautakuwa na shida ya kujiendesha kibiashara kwa sababu kuna Simba, kuna Yanga. Timu kubwa zitaweza kuujaza huo uwanja na kuuendesha kibiashara.kiranga mbona huelewi, kwani uwanja wa mkapa ni wa timu au wa taifa? Wakati wa ujenzi wake walikuwa wanatarajia timu ipi itakuwa home ground yake? Hawa simba,yanga mbona wanakodisha? Uwanja ukijengwa timu yeyote itakodi na kuutumia kama ilivyo kwa viwanja vingine.
Kiranga mbona hamuelewani na jamaa hapo?! Ngoja niwasaidie labda kidogo..Nimekuuliza habari za Return On Investment, ambayo inataka kuwe na timu maalum ya kutumia uwanja kama "home ground" ili hesabu zikae vizuri.
Lakini inaonekana huelewi hata "Return On Investment" ni nini na umuhimu wa kuwa na home team ya kutumia uwanja huo ni nini.
Huelewi kuwa uwanja ni biashara.
Unafikiri uwanja utajiendesha kwa miujiza tu.
Hukuzi uchumi kwa kuongeza inefficiency ya timu kusafiri zaidi ya inavyohitajika.Kiranga mbona hamuelewani na jamaa hapo?! Ngoja niwasaidie labda kidogo..
Si lazima timu ya Dodoma ndio itumie huo uwanja kama hime ground,hata timu za mikoa jiran zinaweza kutumia kama home ground maana hata sasa kuna timu kibao za ligi kuu wanatumia viwanja vya nje ya mikoa yao,mfano Coastal Union wanatumia uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha,Tabora United wanatumia uwanja wa jamhuri Dodoma na nyinginezo.
Kuwa na uwanja Dodoma kunaweza kusaidia timu za Morogoro,Dodoma,Singida na mikoa mingine pia kunufaika na uwepo wa huo uwanja,hadi hapo ndio cashflow inaanza kuonekana na hivyo kupelekea return of investment
shida si kuujaza au kutojaza ila ili mradi tu timu imekodi imeingiza mapato ktk serikali, timu nyingi hazina viwanja,ukiachilia mbali za league kuu madaraja ya chini na hata team za mataifa mengine zitakuja kukodi zikautumia. Fikria mimi kuna nyumba ya kupangisha niliijenga kwa thamani ya 70m alafu wapangaji wanalipa 30k kwa mwezi lakini naona ni sawa tu kwa vile watakuwa wanalipa hivyo hadi nitakavyoamua vingine. Usijenge kiwanja eti unaogopa hakuna atakayekitumia,huo si uthubutu.Dar es salaam ina timu nyingi. Uwanja hautakuwa na shida ya kujiendesha kibiashara kwa sababu kuna Simba, kuna Yanga. Timu kubwa zitaweza kuujaza huo uwanja na kuuendesha kibiashara.
Dodoma kuna timu ya kuuendesha uwanja kibiashara hivyo au ndiyo mtauendesha kwa ruzuku za serikali tu?
timu ikiamua kuwa dodoma ndio home ground yake manake itakita kambi dodoma hadi pale itakapoacha kuutumia uwanja huo kama home ground. Haiwezekani eti timu kutoka mbeya kwa vile imechagua uwanja wa dodoma kama home ground basi watakuwa wanacheza dodoma wanarudi mbeya hapana.Hukuzi uchumi kwa kuongeza inefficiency ya timu kusafiri zaidi ya inavyohitajika.
Unaongeza inefficiencis, unnecessary energy use, ajali, matumizi mabaya ya muda etc.
Timu itasafiri parefu game ya nyumbani na game ya away. Wachezaji wanaosafiri sana hivyo wanapunguza muda wa mazoezi na kupumzika.
Kuna tofauti ya kutaka kujenga uwanja tu na kutaka kujenga uwanja ujiendeshe kibiashara.shida si kuujaza au kutojaza ila ili mradi tu timu imekodi imeingiza mapato ktk serikali, timu nyingi hazina viwanja,ukiachilia mbali za league kuu madaraja ya chini na hata team za mataifa mengine zitakuja kukodi zikautumia. Fikria mimi kuna nyumba ya kupangisha niliijenga kwa thamani ya 70m alafu wapangaji wanalipa 30k kwa mwezi lakini naona ni sawa tu kwa vile watakuwa wanalipa hivyo hadi nitakavyoamua vingine. Usijenge kiwanja eti unaogopa hakuna atakayekitumia,huo si uthubutu.
Project ya viwanja Kizimkazi itakamilika huku Dodoma inakenua tu.Wadau, nilisikia miaka ya nyuma kulikuwa na mipango ya kujenga uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu hapa Dodoma, lakini hadi sasa sijasikia maendeleo yoyote makubwa.
Swali langu ni, huu uwanja unajengwa kweli au ndoto hizi ziliondoka pamoja na Mzee wetu aliyekuwa na maono hayo?
Kama kuna yeyote mwenye taarifa sahihi kuhusu hatua zilizofikiwa au changamoto zinazokwamisha mradi huu, naomba atujuze
Sasa wenzako wenye kupiga hesabu huanza kuwa na timu ya huo mji halafu ndiyo kutafuta uwanja. Hii inajenga hata ushindani wa miji. Nyie mnataka kufanya mambo kinyume.timu ikiamua kuwa dodoma ndio home ground yake manake itakita kambi dodoma hadi pale itakapoacha kuutumia uwanja huo kama home ground. Haiwezekani eti timu kutoka mbeya kwa vile imechagua uwanja wa dodoma kama home ground basi watakuwa wanacheza dodoma wanarudi mbeya hapana.
Kuna tofauti ya kutaka kujenga uwanja tu na kutaka kujenga uwanja ujiendeshe kibiashara.
Naona tofauti watu wanataka uwanja tu, wakati mimi nataka uwanja unaoweza kujiendesha wenyewe kibiashara.
Uwanja ni biashara, michezo ni biashara. Ndiyo maana naongea habari ya Return On Investment.
Hata hiyo nyumba kama hesabu za Return On Investment hazijakaa vizuri, na ungeweza kupata faida zaidi kwa biashara nyingine, kujenga hiyo nyumba inawezekana kabisa ikawa inakugharimu (kodi, ukarabati, opportunity cost, etc) kuliko inavyokupa faida.
Sikuhoji timu tu, nimehoji mpaka hesabu za Return On Investment ambazo mmezikimbia.si umehoji Dodoma kuna timu ndio nimekujibu na kukuuliza kwa mfano
Tatizo jamuhuri ni uwanja wa CCM.Wasingejenga uwanja mpya kwa Dodoma. Jamuhuri unhefanyiwa matengenezo makubwa kama Amaan umngependeza tu....
Ulianza kwa ku question kama kuna timu Dodoma, jamaa kakujibu kwamba kuna Dodoma jiji, anza na hilo kwanza alafu tuendelee au umuambie na hilo pia athibitishe....Wapi nimesema kusiwe na uwanja? Unajua kusoma kwa ufahamu?
Picha tafadhali....Upo umezungushiwa mabati..
Sikia sio kwamba sijui return on investment but kumbuka uwanja ni social asset,na faida yake haipimwi kwa faida ya fedhaNimekuuliza habari za Return On Investment, ambayo inataka kuwe na timu maalum ya kutumia uwanja kama "home ground" ili hesabu zikae vizuri.
Lakini inaonekana huelewi hata "Return On Investment" ni nini na umuhimu wa kuwa na home team ya kutumia uwanja huo ni nini.
Huelewi kuwa uwanja ni biashara.
Unafikiri uwanja utajiendesha kwa miujiza tu.