Uwanja wa ndege wa Chato ni chaguo sahihi la Bukoba

Uwanja wa ndege wa Chato ni chaguo sahihi la Bukoba

Mbona jengo la abiria la Mwanza ni bovu, bora hata jengo dogo la Bukoba na Arusha,lakini akina ngosha wanasema "nduhu tabu" ninaamini uwanja mpya wa Bukoba utakuwa Bomba kwa ndege kutua mpaka airbus. Hata jengo jepya linalojengwa airport Mwanza ni bure tu kwa kiwango cha kimataifa. Mwanza wabaki walivyo. Bora hata bukoba ujengwe uwanja saizi ya Dodoma Msalato kuwakilisha kanda ya ziwa.
 
Runway iongezwe upande upi kuelekea wapi na itakuwa na uwezo wa kuaccomodate ndege za ukubwa gani na duration gani mkuu, twende kiuhalisia kidogo ili tuisaidie serikali na miradi hewa
In my view, Mita 200-300 haziwezi kukosekana upande ambao sio wa uelekeo wa ziwa.
Hata ikibidi kuhamisha watu kidogo urefu uongezwe.
Ndege zitakazo kuwa accomodated ni dash-8, atr, pc12, cessna na nyingine ambazo zitaweza kuruka na kutua within 1700-1800m.
Na tukizingatia umaskini wa nchi yetu, kila mkoa hauwezi kuwa na uwanja wa mita 3000 ili kuaccomodate ndege kubwa zaidi.
Kibubwa ni at least kila mkoa uwe na kiwanja cha tarmac chenye angalau mita zisizozidi 2000 ili kuharakisha shughuli za maendeleo.
 
Kwa mujibu wa kumbukumbu za kitaasisi mradi wa uwanja wa Bukoba ulikuwa ujengwe eneo

la kyetema karibu na bandari ya kemondo kweny miaka ya 1960
m
Hilo la kujenga airport Kyetema badala ya Omukajunguti na Uhaya wangu na kuzaliwa na kukulia Bukoba ndio nalisikia kwako leo.
 
Wahaya wana majivuno sana
Mara ya mwisho niliposafiri na kutua uwanja wa ndege wa Bukoba nilikaa na mama mmoja wa kihaya aliniambia hali ya hewa uwa mbaya kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka around saa sita mchana,kulikuwa na mpango toka awamu ya tatu kujengwe airport kubwa maeneo ya omkajunguti 40km kutoka Bukoba manispaa,ila sababu zilizo nje ya uwezo zililazimisha uwanja kuendelea kuwa pale katikati ya mji na kuugawa mji katikati,kama kuupanua uwanja wa sasa wa Bukoba ilishauriwa kuvunjwa kwa uwanja wa mpira wa kaitaba na mtaa wote wa kashozi kupisha upanuzi wa Uwanja ila haikuwezekana.

Siku kumi na moja zilizopita ndege ya Precision ilipata ajali kwa sababu ya hali ya hewa mbaya,pia leo Atcl imegeuza na kwenda kutua Mwanza kwa sababu bukoba hali ya hewa ilikua mbaya,swali je kiwanja kipya kitasaidia kufanya hali ya hewa kua nzuri? watu wanasema siasa zimeanza kuingia hapo,wahaya wanataka airport mpya kijanja kwa kutumia kivuli cha ajali, wengine wanasema Uwanja wa J F Kennedy New York safari zinaahirishwa sababu ya matatizo ya hali ya hewa,ndio iwe huu wa Bukoba jamaa zangu wahaya wanaotaka wajengewe?!

Ni kweli uwanja nahisi ni mfupi wakati ndege ikitua (touch down) utasikia kishindo kikubwa tofauti na viwanja vingine na abiria wamekuwa wakilialamikia tatizo mara kadhaaa,lakini suala la uwanja sio mfupi kivile kulingana na ndege zinazoruhusiwa kutua hapo run way ina urefu wa kilomita 1.5,ambayo ni sawa kabisa,na kawaida katika uwanja wa Bukoba,ndege zinapokuwa zina take off,huwa zinatumia kama 60% tu ya uwanja zinakuwa zimesha paa hivyo hivyo wakati wa kutua kwa hiyo hilo sio tatizo kwa sasa,Issue ya runway inategemea aina ya ndege! zile ATR za Precision Air na hizi Bomberdiear sio issue kabisa! Huwezi kukuta Airbus au Boeing 787 haiwez ruhusiwa kwenda Bukoba kutua ata sikumoja.

Issue ya Bukoba actually ni hali ya hewa kwa kesi hizi za sasa tunazosikia,issue yakuhamisha uwanja mwingine ilikuwa ni kutokuwa na nafasi ya kuongeza kwa hii Airport yasasa,watu walisema pale ulipotaka ukahamishiwe yaani omkajunguti ilishindikana si kwasababu za kisiasa au mtu binafsi ila baada ya kufanyika visibility study ya uwanja mpya iligundulika ili ndege iweze kutua katika uwanja wa omkajunguti inabidi ndege iguse anga la Rwanda au Burundi! hali hii ilionekana kuwa ni hatari sababu ikitokea hizo nchi mbili zimefunga anga lake uwanja wa ndege huo usingekuwa unafanya kazi nao ungefungwa,haafu pia ingetakiwa uwe unalipia katika anga la Rwanda au Burundi kila inapotaka kutua au kupaa.

Sasa je,watu wapande kisbo na Mohamed Trans wakifika Mwanza kwa ndege,wamalizie Kagera?kwanini rubani asitue Chato mpaka aende mwanza? Kwanini ameenda mpaka mwanza wakati kuna chato international airport hapo karibu,kama Bukoba Airport ipo Analogy!! Iakini Chato ni digital na ina Automatic systems ndege inatua yenyewe ata kama kuna Ukungu au umeme umekatika etc! tutumie Chato iliyojengwa juzi ambayo ni ya kisasa na ina automation! kama hata dege za atcl ambazo ni mpya na zina auto pilot haziwezi shuka Bukoba Airport basi chaguo sahihi la Bukoba ni Chato International Airport,na usafiri wa mwendokasi uwepo kuanzia Chato hadi Bukoba ambapo ni kilomita 221.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Wahaya wana majiivuno sana lakini isivyo bahati wakifanikiwa nje ya mkoa wao huwa hawana tabia ya kurejesha maendeleo kwao kama ilivyokuwa miaka ya nyuma huko mikoa ya kusini. Wanakimbilia kwenda kujenga na kuwekeza Mwanza, Dar Es Salaam na Arusha.

Biashara wanasafirisha sana ndani na nje ya nchi lakini hakuna maendeleo ya maana hapo Bukoba.

Watumie uwanja wa Chato kisha barabara kutoka Chato hadi Bukoba ipanuliwe kuwa njia tatu wakifanya hivi baada ya miaka kadhaa maendeleo yatashamiri sana kuanzia Chato, Biharamulo mpaka Bukoba hivyo kuvunja mpango wa Chato kujitanua kuwa mkoa maana haina tija yoyote kuweka mikoa mingi eneo moja bila sababu zozote za msingi.
 
Mara ya mwisho niliposafiri na kutua uwanja wa ndege wa Bukoba nilikaa na mama mmoja wa kihaya aliniambia hali ya hewa uwa mbaya kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka around saa sita mchana,kulikuwa na mpango toka awamu ya tatu kujengwe airport kubwa maeneo ya omkajunguti 40km kutoka Bukoba manispaa,ila sababu zilizo nje ya uwezo zililazimisha uwanja kuendelea kuwa pale katikati ya mji na kuugawa mji katikati,kama kuupanua uwanja wa sasa wa Bukoba ilishauriwa kuvunjwa kwa uwanja wa mpira wa kaitaba na mtaa wote wa kashozi kupisha upanuzi wa Uwanja ila haikuwezekana.

Siku kumi na moja zilizopita ndege ya Precision ilipata ajali kwa sababu ya hali ya hewa mbaya,pia leo Atcl imegeuza na kwenda kutua Mwanza kwa sababu bukoba hali ya hewa ilikua mbaya,swali je kiwanja kipya kitasaidia kufanya hali ya hewa kua nzuri? watu wanasema siasa zimeanza kuingia hapo,wahaya wanataka airport mpya kijanja kwa kutumia kivuli cha ajali, wengine wanasema Uwanja wa J F Kennedy New York safari zinaahirishwa sababu ya matatizo ya hali ya hewa,ndio iwe huu wa Bukoba jamaa zangu wahaya wanaotaka wajengewe?!

Ni kweli uwanja nahisi ni mfupi wakati ndege ikitua (touch down) utasikia kishindo kikubwa tofauti na viwanja vingine na abiria wamekuwa wakilialamikia tatizo mara kadhaaa,lakini suala la uwanja sio mfupi kivile kulingana na ndege zinazoruhusiwa kutua hapo run way ina urefu wa kilomita 1.5,ambayo ni sawa kabisa,na kawaida katika uwanja wa Bukoba,ndege zinapokuwa zina take off,huwa zinatumia kama 60% tu ya uwanja zinakuwa zimesha paa hivyo hivyo wakati wa kutua kwa hiyo hilo sio tatizo kwa sasa,Issue ya runway inategemea aina ya ndege! zile ATR za Precision Air na hizi Bomberdiear sio issue kabisa! Huwezi kukuta Airbus au Boeing 787 haiwez ruhusiwa kwenda Bukoba kutua ata sikumoja.

Issue ya Bukoba actually ni hali ya hewa kwa kesi hizi za sasa tunazosikia,issue yakuhamisha uwanja mwingine ilikuwa ni kutokuwa na nafasi ya kuongeza kwa hii Airport yasasa,watu walisema pale ulipotaka ukahamishiwe yaani omkajunguti ilishindikana si kwasababu za kisiasa au mtu binafsi ila baada ya kufanyika visibility study ya uwanja mpya iligundulika ili ndege iweze kutua katika uwanja wa omkajunguti inabidi ndege iguse anga la Rwanda au Burundi! hali hii ilionekana kuwa ni hatari sababu ikitokea hizo nchi mbili zimefunga anga lake uwanja wa ndege huo usingekuwa unafanya kazi nao ungefungwa,haafu pia ingetakiwa uwe unalipia katika anga la Rwanda au Burundi kila inapotaka kutua au kupaa.

Sasa je,watu wapande kisbo na Mohamed Trans wakifika Mwanza kwa ndege,wamalizie Kagera?kwanini rubani asitue Chato mpaka aende mwanza? Kwanini ameenda mpaka mwanza wakati kuna chato international airport hapo karibu,kama Bukoba Airport ipo Analogy!! Iakini Chato ni digital na ina Automatic systems ndege inatua yenyewe ata kama kuna Ukungu au umeme umekatika etc! tutumie Chato iliyojengwa juzi ambayo ni ya kisasa na ina automation! kama hata dege za atcl ambazo ni mpya na zina auto pilot haziwezi shuka Bukoba Airport basi chaguo sahihi la Bukoba ni Chato International Airport,na usafiri wa mwendokasi uwepo kuanzia Chato hadi Bukoba ambapo ni kilomita 221.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Mara ya mwisho niliposafiri na kutua uwanja wa ndege wa Bukoba nilikaa na mama mmoja wa kihaya aliniambia hali ya hewa uwa mbaya kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka around saa sita mchana,kulikuwa na mpango toka awamu ya tatu kujengwe airport kubwa maeneo ya omkajunguti 40km kutoka Bukoba manispaa,ila sababu zilizo nje ya uwezo zililazimisha uwanja kuendelea kuwa pale katikati ya mji na kuugawa mji katikati,kama kuupanua uwanja wa sasa wa Bukoba ilishauriwa kuvunjwa kwa uwanja wa mpira wa kaitaba na mtaa wote wa kashozi kupisha upanuzi wa Uwanja ila haikuwezekana.

Siku kumi na moja zilizopita ndege ya Precision ilipata ajali kwa sababu ya hali ya hewa mbaya,pia leo Atcl imegeuza na kwenda kutua Mwanza kwa sababu bukoba hali ya hewa ilikua mbaya,swali je kiwanja kipya kitasaidia kufanya hali ya hewa kua nzuri? watu wanasema siasa zimeanza kuingia hapo,wahaya wanataka airport mpya kijanja kwa kutumia kivuli cha ajali, wengine wanasema Uwanja wa J F Kennedy New York safari zinaahirishwa sababu ya matatizo ya hali ya hewa,ndio iwe huu wa Bukoba jamaa zangu wahaya wanaotaka wajengewe?!

Ni kweli uwanja nahisi ni mfupi wakati ndege ikitua (touch down) utasikia kishindo kikubwa tofauti na viwanja vingine na abiria wamekuwa wakilialamikia tatizo mara kadhaaa,lakini suala la uwanja sio mfupi kivile kulingana na ndege zinazoruhusiwa kutua hapo run way ina urefu wa kilomita 1.5,ambayo ni sawa kabisa,na kawaida katika uwanja wa Bukoba,ndege zinapokuwa zina take off,huwa zinatumia kama 60% tu ya uwanja zinakuwa zimesha paa hivyo hivyo wakati wa kutua kwa hiyo hilo sio tatizo kwa sasa,Issue ya runway inategemea aina ya ndege! zile ATR za Precision Air na hizi Bomberdiear sio issue kabisa! Huwezi kukuta Airbus au Boeing 787 haiwez ruhusiwa kwenda Bukoba kutua ata sikumoja.

Issue ya Bukoba actually ni hali ya hewa kwa kesi hizi za sasa tunazosikia,issue yakuhamisha uwanja mwingine ilikuwa ni kutokuwa na nafasi ya kuongeza kwa hii Airport yasasa,watu walisema pale ulipotaka ukahamishiwe yaani omkajunguti ilishindikana si kwasababu za kisiasa au mtu binafsi ila baada ya kufanyika visibility study ya uwanja mpya iligundulika ili ndege iweze kutua katika uwanja wa omkajunguti inabidi ndege iguse anga la Rwanda au Burundi! hali hii ilionekana kuwa ni hatari sababu ikitokea hizo nchi mbili zimefunga anga lake uwanja wa ndege huo usingekuwa unafanya kazi nao ungefungwa,haafu pia ingetakiwa uwe unalipia katika anga la Rwanda au Burundi kila inapotaka kutua au kupaa.

Sasa je,watu wapande kisbo na Mohamed Trans wakifika Mwanza kwa ndege,wamalizie Kagera?kwanini rubani asitue Chato mpaka aende mwanza? Kwanini ameenda mpaka mwanza wakati kuna chato international airport hapo karibu,kama Bukoba Airport ipo Analogy!! Iakini Chato ni digital na ina Automatic systems ndege inatua yenyewe ata kama kuna Ukungu au umeme umekatika etc! tutumie Chato iliyojengwa juzi ambayo ni ya kisasa na ina automation! kama hata dege za atcl ambazo ni mpya na zina auto pilot haziwezi shuka Bukoba Airport basi chaguo sahihi la Bukoba ni Chato International Airport,na usafiri wa mwendokasi uwepo kuanzia Chato hadi Bukoba ambapo ni kilomita 221.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Kwa taarifa tu...
Mimi sio mwenyeji wa kanda hiyo ila kijiografia
Kutoka Mwanza kwenda Bukoba ni karibu zaidi ya kutoka Bukoba kwenda Chato
Sasa utawezaje kuchukulia uwanja mbadala ulio mbali zaidi wakati upo mwingine (mwanza)ambao ni mzuri zaidi na upo Karibu?
Jambo lingine ni kuwa; unapohamisha uwanja unafikiria, Umbali na Facility (sehemu za kulala na huduma nyingine za kijamii) na pia urahisi wa kupata usafiri mwingine wa kuunganisha...
Kwa hapo tu, CHATOI imeshakosa sifa!
 
Mara ya mwisho niliposafiri na kutua uwanja wa ndege wa Bukoba nilikaa na mama mmoja wa kihaya aliniambia hali ya hewa uwa mbaya kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka around saa sita mchana,kulikuwa na mpango toka awamu ya tatu kujengwe airport kubwa maeneo ya omkajunguti 40km kutoka Bukoba manispaa,ila sababu zilizo nje ya uwezo zililazimisha uwanja kuendelea kuwa pale katikati ya mji na kuugawa mji katikati,kama kuupanua uwanja wa sasa wa Bukoba ilishauriwa kuvunjwa kwa uwanja wa mpira wa kaitaba na mtaa wote wa kashozi kupisha upanuzi wa Uwanja ila haikuwezekana.

Siku kumi na moja zilizopita ndege ya Precision ilipata ajali kwa sababu ya hali ya hewa mbaya,pia leo Atcl imegeuza na kwenda kutua Mwanza kwa sababu bukoba hali ya hewa ilikua mbaya,swali je kiwanja kipya kitasaidia kufanya hali ya hewa kua nzuri? watu wanasema siasa zimeanza kuingia hapo,wahaya wanataka airport mpya kijanja kwa kutumia kivuli cha ajali, wengine wanasema Uwanja wa J F Kennedy New York safari zinaahirishwa sababu ya matatizo ya hali ya hewa,ndio iwe huu wa Bukoba jamaa zangu wahaya wanaotaka wajengewe?!

Ni kweli uwanja nahisi ni mfupi wakati ndege ikitua (touch down) utasikia kishindo kikubwa tofauti na viwanja vingine na abiria wamekuwa wakilialamikia tatizo mara kadhaaa,lakini suala la uwanja sio mfupi kivile kulingana na ndege zinazoruhusiwa kutua hapo run way ina urefu wa kilomita 1.5,ambayo ni sawa kabisa,na kawaida katika uwanja wa Bukoba,ndege zinapokuwa zina take off,huwa zinatumia kama 60% tu ya uwanja zinakuwa zimesha paa hivyo hivyo wakati wa kutua kwa hiyo hilo sio tatizo kwa sasa,Issue ya runway inategemea aina ya ndege! zile ATR za Precision Air na hizi Bomberdiear sio issue kabisa! Huwezi kukuta Airbus au Boeing 787 haiwez ruhusiwa kwenda Bukoba kutua ata sikumoja.

Issue ya Bukoba actually ni hali ya hewa kwa kesi hizi za sasa tunazosikia,issue yakuhamisha uwanja mwingine ilikuwa ni kutokuwa na nafasi ya kuongeza kwa hii Airport yasasa,watu walisema pale ulipotaka ukahamishiwe yaani omkajunguti ilishindikana si kwasababu za kisiasa au mtu binafsi ila baada ya kufanyika visibility study ya uwanja mpya iligundulika ili ndege iweze kutua katika uwanja wa omkajunguti inabidi ndege iguse anga la Rwanda au Burundi! hali hii ilionekana kuwa ni hatari sababu ikitokea hizo nchi mbili zimefunga anga lake uwanja wa ndege huo usingekuwa unafanya kazi nao ungefungwa,haafu pia ingetakiwa uwe unalipia katika anga la Rwanda au Burundi kila inapotaka kutua au kupaa.

Sasa je,watu wapande kisbo na Mohamed Trans wakifika Mwanza kwa ndege,wamalizie Kagera?kwanini rubani asitue Chato mpaka aende mwanza? Kwanini ameenda mpaka mwanza wakati kuna chato international airport hapo karibu,kama Bukoba Airport ipo Analogy!! Iakini Chato ni digital na ina Automatic systems ndege inatua yenyewe ata kama kuna Ukungu au umeme umekatika etc! tutumie Chato iliyojengwa juzi ambayo ni ya kisasa na ina automation! kama hata dege za atcl ambazo ni mpya na zina auto pilot haziwezi shuka Bukoba Airport basi chaguo sahihi la Bukoba ni Chato International Airport,na usafiri wa mwendokasi uwepo kuanzia Chato hadi Bukoba ambapo ni kilomita 221.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Huna akili, ni mpuuzi mmoja unayejifanya kujua mambo wakati kilaza tu. Na huo uwanja hujawahi fika unaropoka unavyojisikia.

Umeandika uongo mwingi
 
Back
Top Bottom