DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Bench la ufundi halitatuangusha.Ila wafundisheni vijana wenu, kagoli kamoja tu mnaleta vurugu za kutosha.
Hiki ndio kilichobakia. Sababu mlianza kuyasema haya hata kabla hatujaanza kucheza mechi za ugenini.Hizi chereko chereko zenu zitaisha muda sio mrefu.
Walianza kusema tukienda mikoani tutafungwa,sasa hivi imekuwa bahati ,mbumbumbu wahedi hawaWakati mwingine ni vizuri kuongea sana baada ya mpira kuisha..[emoji3]
Niliwashauri hawakunielewa mkuuWakati mwingine ni vizuri kuongea sana baada ya mpira kuisha..[emoji3]
Tuna bahati basi upepo unatubeba sisi tu. DuuhLigi bado Sana upepo ndo unawabeba, ngoja gesi iishe
Shinikizo la damu pekee wanaeza hata kufa . 😂😂😂Bench la ufundi halitatuangusha.
Nadhani umeshuhudia nidham yao kipindi cha pili.
Muwe mnashangilia mech ikiisha mkuu. Mtakuja pata shinikizo la juu la damu kwa yanga hii.
Mkuu una moyo sana, upo tu hata huchoki, mwenzio sembo mida hii anahisi homa.Leo mida ya saa kumi jioni kwa saa za Afrika Mashariki utapigwa mtanange wa kukata nashoka kati ya maafande wa magereza Tanzania dhidi ya Yanga afrika, yanga ambayo haijapoteza mchezo ata mmoja ikiwa inaongoza ligi kuu, itavaana na maafande wa magereza Tanzania ambao wako katika nafasi ya 19,swali ni je Yanga itaendeleza ubabe katika TPL kwa kujinyakulia alama zote tatu au Prison watafanya maajabu leo ili kutoka mkiani walikosalia?
Tukutane hapa kupeana yale yatakayokuwa yanajiri huko uwanja wa Sokoine Mbeya.
Updates
Dakika 45 za kipindi cha kwanza ndio zimeanza hapa ccm Sokoine Mbeya.
Updates
19' yanga wanapata mpira wa adhabu senti mita chache kabisa kutoka 18, anaenda kupiga Ajib.....anakosa.
Updates
35' Maka Edward anapewa kadi ya njano, na prison wanapata nafasi ya kupiga mpira wa adhabu kuelekea lango la yanga, prison wanapoteza nafasi hii ya mpira wa adhabu.
Updates
43' prison wanapata penalty
Ajibu, Juma Abdul, Chikupe wanapewa kadi ya njano hapa.
45' prison wa naandika goli la kwanza kupitia kwa Jumanne Nikaze Elfadhili.
Updates
Vurugu zinatokea hapa uwanjani, mchezaji wa prison yupo chini,mrisho Ngasa kampiga kichwa Hassan Kapalata, hiki ndicho chanzo cha vurugu.
Updates
Umeme unatolewa kwa Ngasa na Laurian Mpalile, kadi nyekundi.
Mpira ni half time.
Updates
45' za kipindi zinaweza kuanza muda wowote kuanzia sasa, wakati huo huo Mateo Anthony anaingia kuchukua nafasi ya Maka Edward, mpira umeanza hapa.
Updates
51'Jumanne Elfadhili anapewa kadi ya njano kwa kumchezea mchezo usiokuwa wa kiungwana Feisal Salum.
Updates
Maji mazito kwa Feisal, anakwenda bench na nafasi yake inachukuliwa na Thaban kamusoko
Updates
74' yanga wanapata penalty.
76' Ajibu gooooooooo prison 1 yanga 1.
Updates
80' Prison 1 Yanga 1.
Updates
84' Amiss Tambwe anaiandikia yanga goli la pili hapa.
Updates
+3 za nyongeza hapa uwanja wa mbeya
90+ gooooooooooo Amiss Tambwe anaiandikia yanga goli la tatu hapa.
Updates
FT Prison 1 yanga 3, mpira umekwisha hapa.
Kwa sasa wamebaki kusema tuna bahati. DuuhWalianza kusema tukienda mikoani tutafungwa,sasa hivi imekuwa bahati ,mbumbumbu wahedi hawa
Yanga inaafadhali kama ni mbovu na haijapoteza mech hadi sasa na ndo kinara wa ligi. Hizo zingine zitakuwaje?Kwa ubovu huu wa kikosi chenu hamna mahali mnafika.
Asante Mkuu, bakuli limetikiswa uji ukapoa then ukanywewa.Siku zote raha ya uji ni kutikisa bakuli, bakuli limeshatikiswa uwanja wa ccm Sokoine huko Mbeya.
Tunawashangaza na watashangaa sanaHapa ushindi tuu,hakuna Mikoani wala Taifa
Yanga wanna upepo mzuri kwa Sasa ila timi ni mbovu Sana yaani at kupiga pasi 5 zifike hakunaKwa sasa wamebaki kusema tuna bahati. Duuh
HahahahaYanga inaafadhali kama ni mbovu na haijapoteza mech hadi sasa na ndo kinara wa ligi. Hizo zingine zitakuwaje?
Ndo alivyo mkuu. Mbishi kiliko dagaa wa kigoma kwa mzee wa kazi na bata teh tehMkuu una moyo sana, upo tu hata huchoki, mwenzio sembo mida hii anahisi homa.
Mie huwa nashangaa ujue kama anaewaongoza mbovu sasa kuanzia wa tatu si ndio wabovu zaidi.Yanga inaafadhali kama ni mbovu na haijapoteza mech hadi sasa na ndo kinara wa ligi. Hizo zingine zitakuwaje?
Ndio uache kuwa unaiombea mabaya Yanga Afrika.....kila mechi tutakulaza mapemaFuraha yangu imepotea kabisa ndani ya dakika kumi za mwisho, kwa mara nyingine nalala tena mapema leo.
Kikubwa matokeo hizi nyingine hazina tofauti na porojo.Yanga wanna upepo mzuri kwa Sasa ila timi ni mbovu Sana yaani at kupiga pasi 5 zifike hakuna
Mkuu kwani we huoni timi hata kupiga pasi 5 zifike hawawezi ni butua butua tuTuna bahati basi upepo unatubeba sisi tu. Duuh
Ili kushusha pressure [emoji38][emoji38]Wakati mwingine ni vizuri kuongea sana baada ya mpira kuisha..[emoji3]