Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Bench la ufundi halitatuangusha.
Nadhani umeshuhudia nidham yao kipindi cha pili.
Muwe mnashangilia mech ikiisha mkuu. Mtakuja pata shinikizo la juu la damu kwa yanga hii.
Shinikizo la damu pekee wanaeza hata kufa . 😂😂😂
 
Mkuu una moyo sana, upo tu hata huchoki, mwenzio sembo mida hii anahisi homa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…