Uwanja wa Taifa: Azam FC 1 vs 3 Simba SC

Uwanja wa Taifa: Azam FC 1 vs 3 Simba SC

Nitajie mechi mbili tu za ligi hii 2018/2019 ambazo Yanga wamecheza kabumbu ya kuvutia
utakuwa umeanza ona mpira jana, mechi zote za yanga mpira safiii


hataa mechi ya mikia ilipendeza kwa kuwa tu alikua anacheza na yanga, ya mbao safiii wataka nn tena

kwa mechi ya leo bora kuona X mkuu hakuna mechi pale
 
Wapenda Pesa, mishahara mikubwa NGOMA na CHIRWA hawajalipwa??
 
Vyura hawaongozi ligi wanaongoza kucheza mechi nyingi

Sibonike na Shadeeya
Yanga akiwa kileleni mwa ligi
50879411_2216740321870912_840662955392499712_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIMBA 1 vs YANGA 0
SIMBA 3 vs AFRICA LYON 0
SIMBA 3 vs YANGA B 1
_________________
MICHEZO 4
KUSHINDA 4
MAGOLI YA KUFUNGA 7
MAGOLI YA KUFUNGWA 1
_________________
VILAZA HUMUWEZI KUIELEWA SIMBA
 
Back
Top Bottom