Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

Uwanja wa Taifa: Simba 2-2 Al masry, Kombe la Shirikisho Afrika

tanzania mpira hatuna
mashindano amabayo tunaweza kushiriki ni ya UCHAWI,UMBEA, NA UOGA Na kombe tuanachukua
 
Ewe SHETANI mtawala wa anga la kuzimu, saidia simba a.k.a mikia fc ifungwe goli 6 - 1. Walidhania mashindano ya kimataifa ni mepesi kama ya miaka ya nyuma. Ewe Ibilisi wanyime kombe la ligi kuu thimba a.k.a wamatopeni fc. Mechi ya Leo ma marudiano kule misri ndiyo iwe mwisho wao wa kupanda ndege. Ameen !
Ondoa ungese hapa ww gasho
 
Dakika ya 45+2 Shiza kichuya anamchezea faulo mchezaji wa Al masry na Kichuya anaoneshwa kadi ya njano
 
Pamoja na al masri kuongoza 2 -1 tusikate tamaa bado tuna nafasi ya kufanya vizuri
Bora ungesema Yanga angalau ana nafasi kubwa kuliko ninyi mikia fc, hata mpira ukimalizika kwa safe ujue simba ndiyo basi tena mana hawa jamaa nawajua kiundani sana
 
Back
Top Bottom