Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
We umechanganyikiwa vizuri sn
 
Katiba sio agenda ya CCM lakini hiyo haizuii kuwa agenda ya CHADEMA

Katiba siyo agenda ya Serikali lakini haizuii hiyo kuwa agenda ya CHADEMA

CHADEMA kama chama cha siasa wana haki ya kukutana na wanachama kwa ajili ya agenda zao kama CCM walivyo na haki hiyo.

Mtu uko 50+ years and minister with great background kwenye uongozi au career yako but still anaogopa vitu vidogo vidogo kama Katiba Mpya au kongamano tu

Viburi vya viongozi kinatokana na viwango walivyowekewa na wananchi. Hatuwezi kuwa na kiongozi wenye busara kama wananchi wa tabia yako wapo nchini. Hopeless kabisa

Najaribu kutafakari aina ya Vijana tu
 
Katiba sio agenda ya CCM lakini hiyo haizuii kuwa agenda ya CHADEMA

Katiba siyo agenda ya Serikali lakini haizuii hiyo kuwa agenda ya CHADEMA

CHADEMA kama chama cha siasa wana haki ya kukutana na wanachama kwa ajili ya agenda zao kama CCM walivyo na haki hiyo.
Well said
 
Kwamba Lissu alisema watu watoke barabarani hawakutoka,kwani hukumbuki viongozi wate walichukuliwa usiku na kuwekwa kusikojulikana.

By the way kila kitu kina faida na hasara zake,yataendelea hivi ila IPO siku haitakuwa hivi.ila bado Wananchi wa Tanzania hawajijui
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
CDM ni mfa maji mkuu, now wanarusha rusha miguu na mikono kwa mara ya mwisho! Ukiona chama hata kamanda kama Mdee kaamua liwalo na liwe kasepa, basi hicho chama kishajifia. Magufuli alishawaona hawa jamaa ni wababaishaji ndiyo maana akaamua "kurara nao mbere"
 
Ukisikia naye kaenda Mzena urudi tena hapa kuuliza tutakupa majibu Mungu hataniwi , yaani Chahali hata hufahamiki unapigania nini , labda ulikuwa unampinga Magufuli tu , sisi tunapigania haki za nchi , ikiwemo Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Kuna siku huwa akili zako zinakuwa zimerudi aisee .hebu waambie tena kabla hujawampuuzi tena


USSR
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Kwa ujinga huu ulioandika, wewe ni typical mtanzania.

We na mimi hatupaswi kuwashambulia kina Mbowe bali yatupasa kuhoji tumechukua hatua gani kuwaunga mkono.

Nchi za wenzetu ujinga kama huu haupo isipokuwa Bongo tu.

Sasa lipeni tozo za simu na muache kulalamika maana hakuna mnachoweza.
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"

Mdude kakamatwa na malaya mbovu kama kuku wa mdondo.

Kwa nini CHADEMA wanampa hata mic aseme?
 
Back
Top Bottom