Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
...?wewe umefanya jitahada gani? huyu maza hatomboi lazima atandoka mapema sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...?wewe umefanya jitahada gani? huyu maza hatomboi lazima atandoka mapema sn
Ajenda gani kwa sasa mkuu? Ajenda yao kubwa waliipoteza 2015 baada ya kumkumbatia Lowassa (Na ulifanyika uvunjifu mkubwa wa katiba yao kumpitisha Lowassa kugombea urais, leo hii nao wanadai katiba, wakati ya chama chao tu hawaiheshimu)Shida kubw inayoikumba chadema kwa sasa ni mipango yao mibovu wameiga mavazi ya EFF wameshindwa kuiga mfumo wao .
Wao wameshika ajenda isiyokuwa na nguvu kwa Watanzania KATIBA .
Watafute ajenda zenye tija
Kama ajenda gani kwa mfano?!Shida kubw inayoikumba chadema kwa sasa ni mipango yao mibovu wameiga mavazi ya EFF wameshindwa kuiga mfumo wao .
Wao wameshika ajenda isiyokuwa na nguvu kwa Watanzania KATIBA .
Watafute ajenda zenye tija
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.
Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.
Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."
Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?
Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.
Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.
Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.
Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.
Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.
Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.
Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.
Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."
Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?
Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.
Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.
Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.
Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.
Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.
Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"
Hilo Jina litakufaa wewe na aliyefanya makosa kukuleta dunianiUmesahau kuwa Mbowe hana kisomo ? Binafsi sikuwa najua Mbowe ni mjinga kiasi hiki. ,mama kahitahidi mno kuwapa polotical space ,wao wakamuu kufanya tofauti ,inatia kinyaaaa kwa kweli ,kwa wale amabao sia wachanga humu nawapeni jina la mtu mjinga kama mbowe ni huwa anaitwa TONDO ,wanajamvi kuanzia leo naombeni kabisa hili jina linamfaa Mbowe
Hahaha, papuchi ya hovyo kabisa ikamuingiza king ikamwekea madawa ndaniMdude kakamatwa na malaya mbovu kama kuku wa mdondo.
Kwa nini CHADEMA wanampa hata mic aseme?
Tz kuna wafanyabiashara wa siasa tu hamna wanasiasa.Kijana aka "jasusi" fahamu hili Tanzania haijawahi kuwa na upinzani bali ni watu waliokosa fursa CCM na kisha kupata hasira na kuhama..
Tulia mkuu...?
Akiondoka anachukua Mipango, huyo ni katili kuliko hata huyo Maguwewe umefanya jitahada gani? huyu maza hatomboi lazima atandoka mapema sn
Yote ni mashetani tupuAkiondoka anachukua Mipango, huyo ni katili kuliko hata huyo Magu
Wewe ni mpumbavu unawaunga mkono wazee wa jinai hawa ,uko unampikia mmeo eti unawaunga mkonoKwa ujinga huu ulioandika, wewe ni typical mtanzania.
We na mimi hatupaswi kuwashambulia kina Mbowe bali yatupasa kuhoji tumechukua hatua gani kuwaunga mkono.
Ccm ndio sehemu yenye fursa sio?! Ndio maana hamtaki katiba mpya ili muendelee kuwanyonya WatanzaniaKijana aka "jasusi" fahamu hili Tanzania haijawahi kuwa na upinzani bali ni watu waliokosa fursa CCM na kisha kupata hasira na kuhama..
Kwa ujinga huu ulioandika, wewe ni typical mtanzania.
We na mimi hatupaswi kuwashambulia kina Mbowe bali yatupasa kuhoji tumechukua hatua gani kuwaunga mkono.
Nchi za wenzetu ujinga kama huu haupo isipokuwa Bongo tu.
Sasa lipeni tozo za simu na muache kulalamika maana hakuna mnachoweza.
Mdude ana cheo gani ndani ya Chadema?
Hizi mada nyingine sijui mnafikiria nini
Aisee kumbe uko CCM kusaka fursa?Kijana aka "jasusi" fahamu hili Tanzania haijawahi kuwa na upinzani bali ni watu waliokosa fursa CCM na kisha kupata hasira na kuhama..
Mada ya kipumbavu kama hiyo nani atachangia upumbavu changieni nyie wapuuziMngejikita kwenye mada ingependeza zaidi kuliko hizo 'personal attacks'.
Cdm hawahitaji ww au ndugu zako wawaunge mkono, bali wanataka haki ya kufanya kongamano, tena la ndani kupaza sauti ya madai yao halali. Hulazimishwa kuwaunga mkono kwa jambo usiloliamini.kwani lazima kuwaunga mkono? kama tumegundua harakati zao ni kwa maslahi yao binafsi kuna haja gani yakuendelea kuwashabikia...?