Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"

Mpuuzi tu wewe
 
Kwa ujinga huu ulioandika, wewe ni typical mtanzania.

We na mimi hatupaswi kuwashambulia kina Mbowe bali yatupasa kuhoji tumechukua hatua gani kuwaunga mkono.

Nchi za wenzetu ujinga kama huu haupo isipokuwa Bongo tu.

Sasa lipeni tozo za simu na muache kulalamika maana hakuna mnachoweza.
Mbona wewe wakati hizo tozo zinasomwa bungeni ulikuwa busy kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za bet?
 
Thank you 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽

Hivi na wewe uliingia mkenge wa kukubali kudnganyika kuwa mama Samia ataibadilisha nchi? Kwa huu mfumo hata aingie Tundu Lissu kuwa rais, asipofanya overhaul ya system nzima hakuna atakachofanya. Mfumo tulionao unamfanya rais asiweze kuongoza vizuri, afanye makosa mengi. Samia alipokosea ni kusema tusubiri kwanza kubadilisha mfumo. Hii ina maana anataka kutawala miaka yake kumi kwa hii system ya urais-ufalme akidhani kuwa atashindwa kuibadilisha nchi kama atakubali katiba yenye kumnyang'anya ''umungu'' alionao. Hili ni kosa kubwa sana anafanya. Angekubali watu waanze mijadala sasa hivi ili ukifika wakati wa kuandika katiba mambo yawe mezani na siyo tena kuanza mijadala. The sooner the better.
 
Tatizo linaanza na fikra hizi, kudhani haki ni hisani inayotolewa na kiongozi fulani na si zao la sheria za nchi!
Mkuu umemaliza kila kitu. Sijui ni madhara ya utumwa. Kweli mtu mzima anasema mtu anayeidia haki anatakiwa anyekee na kulamba miguu ya aliyeipora? Hakika hata kama sina nguvu ya kuipata hiyo haki acha tu ila vizazi vijavyo vitasoma kuwa babu yetu hakupenda kulamba miguu ya mnyang'anyi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nimecheka kwa nguvu hiki ulichoandika, kweli nimeamini sasa ww umeshazeeka. Ngoja nikupe ukweli, cdm wameamua kutumia hiyo mbinu ya kulazimisha, inaweza isiwe na impact ya haraka hivyo, lakini itazaa matunda. ANC ya Afrika kusini ilipambana kwa mabavu zaidi ya nusu karne, na ilikuja kufanikiwa, itakuwa hiyo miaka 30 uliyoitaja ww? Tulitawaliwa na wakoloni zaidi ya miaka 70, na sio kwamba watu walikuwa hawapambani.

Kama kujinyenyekeza kunasaidia, basi ACT ya Zito walipaswa kufanikiwa. Kumefanyika chaguzi zaidi ya tano za marudio, mbona ACT wamejinyenyekeza na bado wanafanyiziwa? Hivi tunavyoongea, leo ACT wamemsusia sherehe za Iddy Mwiny huko Pemba, kisa uchaguzi wa wiki iliyopita huko konde wameporwa japo wako kwenye serikali ili kuponya madonda. Ni hivi, mtu hata kama hamuwezi pigana naye atakuheshimu. Kama kujinyenyekeza kunalipa, jinyenyekeze ww ili wakuonee huruma urudi nyumbani kumalizia uzee wako ukiwa hai.
Mkuu unaonaje mama anavyowakomesha mataga, sukuma gang, sheria za nchi kutekelezwa kila kona baada ya dhakimu wako kuondoka?..

Anaupiga mwingi ee? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida kubw inayoikumba chadema kwa sasa ni mipango yao mibovu wameiga mavazi ya EFF wameshindwa kuiga mfumo wao .

Wao wameshika ajenda isiyokuwa na nguvu kwa Watanzania KATIBA .

Watafute ajenda zenye tija
Hio katiba kwa akili zako unazani ni kwa Faida ya Mbowe? Nazani ndivyo unavyo wadanganya ndugu zako
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Niliwahi kusema, iwapo huyo mama ataonyesha yeye ni nani kisa maneno ya huyo Mdude, basi nitadhibitisha kuwa mama ni rais mwenye upeo mdogo kwelikweli. Nilitarajia kuona hatua dhidi ya watu waliojiunganishia bomba la mafuta, lakini unaona jeshi lote la polisi likifanya ubabe wa kijinga kisa rais hataki kuonekana dhaifu kwa maneno ya kina mdude. Kwahiyo rais anaonyesha uimara wake kwa maneno ya wahuni waliobambikiwa kesi.
Nenda road mkuu!
.
Kipenzi chako kasema,
Screenshot_20210721-172136_Twitter.jpg
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


Huna akili
 
Upinzani wa Tanzania,ni kujaribu kuipigia kelele serikali huku wakijua haisaidii!!
 
Chadema hawakujipanga, huwezi kumtoa mtu gerezani na kumtumia mkutanoni, huwa balikuwa na tatizo la kiakili.
Ni sawa n mtu aliyepata ajali anavyokurupuka kukimbia, akitulia atajua kuna kiungo hakipo sawa.

Sasa mdodi sijui yuko kimyaaa, hata kujamba anaweka pamba ushuzi usisikike.
Wangemuoa tena, nadhani hao ni watu wa maana, hawana huruma na na nchi sembuse mtu
 
Thank you 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽


Kwa upumbavu wako dikteta Samia kuvunja katiba na sheria unaona sawa kwa kuwa tu anatumia polisi kugandamiza haki!

Shame on you!

Kumbuka hata kusema na kulaani ni mbinu pia kwa sababu ujumbe umemfikia live. Hata ndotoni anaota kuwa hatendi haki!
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Kaka mm Hawa cdm nimejitoa wajinga Sana enzi za magufuli tumewasupport kumpinga magufuli ,Leo Samia amekubali kuwasikiliza ,kawasamehe waliofungwa kiuonevu lkn bado wanamtukana,mbowe kavaa manguo ya waasi,yaan kaona mwanamke kawa rais ndo anataka kumsumbua mbona kwa magu hakufanya hvyo,yaan Ni bora bas hata angesubiri uchaguz ndo aanze vituko yaan kaona magu kafa kaibuka kwa fujo hv
 
Ukisikia naye kaenda Mzena urudi tena hapa kuuliza tutakupa majibu Mungu hataniwi , yaani Chahali hata hufahamiki unapigania nini , labda ulikuwa unampinga Magufuli tu , sisi tunapigania haki za nchi , ikiwemo Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Acheni mikwala jameni

Kwahiyo hata Magufuli ni nyinyi mlimpeleka mzena?

doh, hahaha

Halafu ni haki zipi hizo mnapambania ambazo wananchi wa Tanzania hawana?

Kuhusu katiba mpya, itapatikana ila kwa nguvu ya watanzania wenyewe na sio kwasababu ya kupambaniwa na Chadema

Maana Chadema inataka katiba itakayoirahisishia kushika madaraka na sio kumkomboa mtanzania masikini.
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


For your information, ni confrontational politics ndizo zilizowainua kisiasa kina Maalim Seif, Slaa, Zitto, nk.

In fact ndizo ziliifanya CUF ya wakati ule iwe chama chenye nguvu sana. Ndizo baadaye ziliifanya Chadema ku take over kwa CUF na kuwa chama kikuu cha upinzani. Ndizo zinakifanya Chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani hadi leo na kuonekana ni mwiba mkali kwa CCM.

So, hii ina maana any other approach (including ass-kissing like what ACT is currently doing) can never work against CCM.

It's now a question of when rather than if CCM will be doomed. CCM si chama tena - ni dola iliyojificha nyuma ya rangi za kijani na njano. Ni muunganiko wa mashaka uliojikita zaidi katika maslahi ya makundi yanayosigana na kulana yenyewe - kwa kujua au kutokujua. That's a recipe for doom. It hinges on political unsustainability and soon cracks will start (if they haven't started already) appearing thin and fast.

Needless to mention the fact that the government is currently broke and economically vulnerable. This harassment against the opposition just makes it worse because the FDIs are going to continue dwindling big time. And you know what? The wananchi will start feeling the pinch and that will be the beginning of the end of CCM!

Pin this post.
 
Back
Top Bottom