Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


Point yako hasa ni nini? Unadhani wapinzani ndiyo wanapata hasara au ni nchi kwa ujumla wake. Mtu mwenye elimu na exposure kama wewe nilitegemea asimamie kwenye hoja na siyo chuki binafsi. Hata CCM ikiendelea kutawala milele na milele wewe unadhani hasara ni ya wapinzani tu? Tatizo ninyi mnayachukulia mabadiliko kama ni mafanikio ya wapinzani na siyo watanzania. Samia hana mkataba na Mungu, vivyo hivyo hayati Magufuli. Leo hii mambo yanaweza kubadilika na tukaingia kwenye kipindi kingine kigumu kuliko hata kipindi cha Magufuli.
 
Mdude ni jasiri asiye na unafki, wewe pia ni jasiri kwa unayoyaamini, tatizo ni kwamba Mdude ameshajinyumbulisha yeye anataka Nini, wewe ni jasiri usiye na msimamo, au mara nyingine hujui unataka Nini? Pengine unatengeneza mazingira ya kurudi nyumbani.
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Hata CCM wameiga mavazi ya ANC na wakatuletea wimbo wabTaifa unaofanana na ule wa South Africa na Zimbabwe Hadi rangi za bendera.

Nothing new brother.
 
Wewe Chahali,kwanini huwa una hasira sana ukikosolewa,unamfata mtu Inbox,unamtukana na kumblock??
Deal kwanza na atittude zako,huwezi stahimili mawazo mbadala,so is CCM.
 
Hivi haya majizi ya maccm lini ulisikia YANAPEKULIWA majumbani mwao!!? Au wako juu ya sheria za nchi! Mfumo wa vyama vingi una miaka 30 sasa lakini bado tuna katiba ya chama kimoja. Unataka Watanzania tunaotaka kuona nchi ina Katiba ya mfumo wa vyama vingi na Tume huru ya uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zetu ni za haki na huru badala ya uhuni na uporaji kama uliotokea October 2020 tusubiri hadi lini!?

Kumbuka HAKI NA UHURU katika nchi yoyote ile huleta amani, mshikamano na furaha katika jamii na dhuluma na udhalimu huleta hofu, huzuni, kuharibu mshikamano na hata kuleta machafuko.

Tanzania ni yetu sote hakuna mwenye hati miliki ya kuendelea kufanya dhuluma na udhalimu vile atakavyo.



Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Hivi na wewe uliingia mkenge wa kukubali kudnganyika kuwa mama Samia ataibadilisha nchi? Kwa huu mfumo hata aingie Tundu Lissu kuwa rais, asipofanya overhaul ya system nzima hakuna atakachofanya. Mfumo tulionao unamfanya rais asiweze kuongoza vizuri, afanye makosa mengi. Samia alipokosea ni kusema tusubiri kwanza kubadilisha mfumo. Hii ina maana anataka kutawala miaka yake kumi kwa hii system ya urais-ufalme akidhani kuwa atashindwa kuibadilisha nchi kama atakubali katiba yenye kumnyang'anya ''umungu'' alionao. Hili ni kosa kubwa sana anafanya. Angekubali watu waanze mijadala sasa hivi ili ukifika wakati wa kuandika katiba mambo yawe mezani na siyo tena kuanza mijadala. The sooner the better.
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Kwa upumbavu wako dikteta Samia kuvunja katiba na sheria unaona sawa kwa kuwa tu anatumia polisi kugandamiza haki!

Shame on you!

Kumbuka hata kusema na kulaani ni mbinu pia kwa sababu ujumbe umemfikia live. Hata ndotoni anaota kuwa hatendi haki!
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Tatizo linaanza na fikra hizi, kudhani haki ni hisani inayotolewa na kiongozi fulani na si zao la sheria za nchi!
 
Kwamba Lissu alisema watu watoke barabarani hawakutoka,kwani hukumbuki viongozi wate walichukuliwa usiku na kuwekwa kusikojulikana.

By the way kila kitu kina faida na hasara zake,yataendelea hivi ila IPO siku haitakuwa hivi.ila bado Wananchi wa Tanzania hawajijui
Sasa hiyo ya viongozi kuchukiwa na kuwekwa rumande huoni kama ilikuwa ni starting point ya kuingia road?

Lisu hana mvuto kabisa kwa wafuasi wake ndio maana aligalagazwa na Nyarandu kwenye kamati kuu
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Na wewe na usenge wako ulionya?
 
Ukisikia naye kaenda Mzena urudi tena hapa kuuliza tutakupa majibu Mungu hataniwi , yaani Chahali hata hufahamiki unapigania nini , labda ulikuwa unampinga Magufuli tu , sisi tunapigania haki za nchi , ikiwemo Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Haki gani umenyimwa kwenye katiba hii?
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


Kilichokukimbiza hapa Tanzania mpaka ukaamua kuolewa Ulaya ni nini?
 
Back
Top Bottom