Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
We umechanganyikiwa vizuri snHawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..
Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..
Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Naichukia chadema na nafurahi walivyokamatwa mwanza na nafurahi bandiko lako ILA wewe jamaa ni Kati ya watu wajinga ambao mmavuta oxygen ya bure tu
Ndiyo maana alikimbia nchi anatafuta namna ya kurudiNingemshangaa sana Kinana kama angekulipa zile pesa zako za kumpigia kampeni Marehemu Pombe.
Mbeba mabox huyo hatusumbuiAkili za kushikiwa Mkuu mradi naye kaandika kitu dhidi ya Chadema hata kama ni cha kipuuzi.
Well saidKatiba sio agenda ya CCM lakini hiyo haizuii kuwa agenda ya CHADEMA
Katiba siyo agenda ya Serikali lakini haizuii hiyo kuwa agenda ya CHADEMA
CHADEMA kama chama cha siasa wana haki ya kukutana na wanachama kwa ajili ya agenda zao kama CCM walivyo na haki hiyo.
Takataka kabisa kama wewe ni kachero kwanini umekimbia nchi?
Pumbavu
Ningemshangaa sana Kinana kama angekulipa zile pesa zako za kumpigia kampeni Marehemu Pombe.
CDM ni mfa maji mkuu, now wanarusha rusha miguu na mikono kwa mara ya mwisho! Ukiona chama hata kamanda kama Mdee kaamua liwalo na liwe kasepa, basi hicho chama kishajifia. Magufuli alishawaona hawa jamaa ni wababaishaji ndiyo maana akaamua "kurara nao mbere"Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..
Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..
Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
We mnafiki huna Lolote kachero Fake unabrok watu twitter unakimbilia huku.
Mngejikita kwenye mada ingependeza zaidi kuliko hizo 'personal attacks'.Takataka kabisa kama wewe ni kachero kwanini umekimbia nchi?
Pumbavu
Kuna siku huwa akili zako zinakuwa zimerudi aisee .hebu waambie tena kabla hujawampuuzi tenaHawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..
Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..
Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Umeanza lini kuichukia CHADEMANaichukia chadema na nafurahi walivyokamatwa mwanza na nafurahi bandiko lako ILA wewe jamaa ni Kati ya watu wajinga ambao mmavuta oxygen ya bure tu
Kwa ujinga huu ulioandika, wewe ni typical mtanzania.Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..
Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..
Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Mbona kesi yake ilifatiliwa sana na wahafidhina wa Cdm ikiwemo viongozi wake wakuu?Mdude ana cheo gani ndani ya Chadema?
Hizi mada nyingine sijui mnafikiria nini
Mdude kakamatwa na malaya mbovu kama kuku wa mdondo.Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.
Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.
Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."
Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?
Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.
Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.
Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.
Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.
Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.
Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"