Uwazi na ukweli ; Silaha za Rais Samia

Uwazi na ukweli ; Silaha za Rais Samia

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Rais Samia kaingia madarakani watu wakiwa na matarajio ya mabadiliko makubwa. Lakini pia kuna mambo ambayo kwa makusudi au bahatio mbaya, Watanzania wengi waliaminishwa kwamba ni sahihi wakati yanatugharimu.

Mfano, Rais Samia liingia madarakani watu wakiwa wameaminishwa kwamba Corona imeondoka kupitia maombi, kwamba hatuhitaji chanjo kabisa.

Lakini pia tulifichwa kuhusu madhara ya kiuchumi yaliyoletwa na Corona au maamuzi ya Serikali yetu.

UWAZI NA UKWELI
-Huku kukiwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wahafidhina, Rais Samia alitueleza ukweli kwamba Corona ipo, akachuku hatua kwa uwazi kabisa. Chanjo ikawekwa hadharani.

Matokeo yake ni kwamba nchi yetu sasa imepata imani zaidi kutoka wa wakezaji na watalii ambao wanafahamu kwamba tumechukua hatua hivyo hawaji kucheza pata potea.

-Lingine ni namna alivyotueleza kuhusu TOZO. Huko nyuma kulikuwa na maneno mengi ya kufunika kombe wakati uchumi wetu unaumia.
Tozo ililetwa katika uwazi, tukaambiwa kwa nini imewekwa na wapi inakwenda.

- Pia Rais Samia aliweka hadharani namna atakavyotumia fedha za mkopo takribana trilioni 1.2. Angeweza kukaa kimya lakini akafanya kila mtu ajue ili pia tuwe na nafasi ya kukosoa na kuhoji iwapo matumizi hayataenda vizuri.

RAIS SAMIA NI MKWWELI , Ni muwazi. Anasema ahata ule ukweli ambao unatuumiza na pengine utampa shida kutete kiti chake 2025.

Msema kweli mpenzi wa Mungu, Mungu hatamuacha Rais wetu.
 
Kwanini hajatwambia na mikopo mingine kutoka world bank inatumika wapi?kwanini hatuambii masharti yaliyomo kwenye matakwa ya wawekezaji wa Bandari ya Bagamoyo.

Rais Samia kaingia madarakani watu wakiwa na matarajio ya mabadiliko makubwa. Lakini pia kuna mambo ambayo kwa makusudi au bahatio mbaya, Watanzania wengi waliaminishwa kwamba ni sahihi wakati yanatugharimu...
 
Kwanini hajatwambia na mikopo mingine kutoka world bank inatumika wapi?kwanini hatuambii masharti yaliyomo kwenye matakwa ya wawekezaji wa Bandari ya Bagamoyo
Hili nalo swali la msingi!
 
K[emoji117] KUMALIZIA MIRADI
U[emoji117]UDHIBITI WA CORONA
M[emoji117]MAONO KWA TAIFA
A[emoji117]ANAJALI MASLAHI YA NCHI SANA
.
.
.
.
.
.Na hizo ndiyo silaha kuu NNE za raisi wetu mpendwa .
[emoji120][emoji120][emoji25]
Aseeeee!
 
Kwa mara ya kwanza gawio kwa SMZ limewekwa wazi....
 
Rais Samia kaingia madarakani watu wakiwa na matarajio ya mabadiliko makubwa. Lakini pia kuna mambo ambayo kwa makusudi au bahatio mbaya, Watanzania wengi waliaminishwa kwamba ni sahihi wakati yanatugharimu.

Mfano, Rais Samia liingia madarakani watu wakiwa wameaminishwa kwamba Corona imeondoka kupitia maombi, kwamba hatuhitaji chanjo kabisa.

Lakini pia tulifichwa kuhusu madhara ya kiuchumi yaliyoletwa na Corona au maamuzi ya Serikali yetu.

UWAZI NA UKWELI
-Huku kukiwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wahafidhina, Rais Samia alitueleza ukweli kwamba Corona ipo, akachuku hatua kwa uwazi kabisa. Chanjo ikawekwa hadharani.

Matokeo yake ni kwamba nchi yetu sasa imepata imani zaidi kutoka wa wakezaji na watalii ambao wanafahamu kwamba tumechukua hatua hivyo hawaji kucheza pata potea.

-Lingine ni namna alivyotueleza kuhusu TOZO. Huko nyuma kulikuwa na maneno mengi ya kufunika kombe wakati uchumi wetu unaumia.
Tozo ililetwa katika uwazi, tukaambiwa kwa nini imewekwa na wapi inakwenda.

- Pia Rais Samia aliweka hadharani namna atakavyotumia fedha za mkopo takribana trilioni 1.2. Angeweza kukaa kimya lakini akafanya kila mtu ajue ili pia tuwe na nafasi ya kukosoa na kuhoji iwapo matumizi hayataenda vizuri.

RAIS SAMIA NI MKWWELI , Ni muwazi. Anasema ahata ule ukweli ambao unatuumiza na pengine utampa shida kutete kiti chake 2025.

Msema kweli mpenzi wa Mungu, Mungu hatamuacha Rais wetu.
Tumepigwa Tena nan kitu chenye uzani wa Tani kumi Kichwani. 2025 sio mbali Nchi ita amua sio "Kudra za Mungu na Matakwa ya Katiba". Itoshe tu kusema tukaze Moyo japo 2025 tutafika tukiwa Tumechoka Saana😔😔
 
Rais Samia kaingia madarakani watu wakiwa na matarajio ya mabadiliko makubwa. Lakini pia kuna mambo ambayo kwa makusudi au bahatio mbaya, Watanzania wengi waliaminishwa kwamba ni sahihi wakati yanatugharimu.

Mfano, Rais Samia liingia madarakani watu wakiwa wameaminishwa kwamba Corona imeondoka kupitia maombi, kwamba hatuhitaji chanjo kabisa.

Lakini pia tulifichwa kuhusu madhara ya kiuchumi yaliyoletwa na Corona au maamuzi ya Serikali yetu.

UWAZI NA UKWELI
-Huku kukiwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wahafidhina, Rais Samia alitueleza ukweli kwamba Corona ipo, akachuku hatua kwa uwazi kabisa. Chanjo ikawekwa hadharani.

Matokeo yake ni kwamba nchi yetu sasa imepata imani zaidi kutoka wa wakezaji na watalii ambao wanafahamu kwamba tumechukua hatua hivyo hawaji kucheza pata potea.

-Lingine ni namna alivyotueleza kuhusu TOZO. Huko nyuma kulikuwa na maneno mengi ya kufunika kombe wakati uchumi wetu unaumia.
Tozo ililetwa katika uwazi, tukaambiwa kwa nini imewekwa na wapi inakwenda.

- Pia Rais Samia aliweka hadharani namna atakavyotumia fedha za mkopo takribana trilioni 1.2. Angeweza kukaa kimya lakini akafanya kila mtu ajue ili pia tuwe na nafasi ya kukosoa na kuhoji iwapo matumizi hayataenda vizuri.

RAIS SAMIA NI MKWWELI , Ni muwazi. Anasema ahata ule ukweli ambao unatuumiza na pengine utampa shida kutete kiti chake 2025.

Msema kweli mpenzi wa Mungu, Mungu hatamuacha Rais wetu.
Kunguni katika ubora wako

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Niseme tu ukweli, ukikuta kiongozi au mkereketwa kama wewe hauongelei rasilimali za nchi na namna bora ya kuzitumia kupata fedha nyingi basi naumiaga sana roho yangu, ...

Anyway rasirimali ni pamoja na

1. Ardhi yenye rutuba mito na maji
2. Maziwa na bahari
3. Misitu
4. Madini
5. Mbuga za wanyama
6. Gesi

Great mind wataongelea hivyo vitu kutengeneza uchumi imara na wa kudumu wa nchi yoyote ile duniani

ASANTE
 
Bila katiba mpya,tume huru ya uchaguzi,kumuachia Mbowe anaonekana kituko kama vituko vingine
 
Niseme tu ukweli, ukikuta kiongozi au mkereketwa kama wewe hauongelei rasilimali za nchi na namna bora ya kuzitumia kupata fedha nyingi basi naumiaga sana roho yangu, ...

Anyway rasirimali ni pamoja na

1. Ardhi yenye rutuba mito na maji
2. Maziwa na bahari
3. Misitu
4. Madini
5. Mbuga za wanyama
6. Gesi

Great mind wataongelea hivyo vitu kutengeneza uchumi imara na wa kudumu wa nchi yoyote ile duniani

ASANTE
Facts !! Ani Huyooo anae promote tozo Kwenye Nchi ya Walala hoi ni wale wale wasupport Kila ujinga wa watawala.
Kuna wazazi wanasomesha watoto College hukoo wanatumia Kila mwisho wa Mwezi hela za matumizi. Umesha wahi kuimagine jinsi hizi tozo za kijinga zinavyo waumiza wazazi Walala hoi..?? Au unasema tuu na kusupport ujinga
 
Rais Samia kaingia madarakani watu wakiwa na matarajio ya mabadiliko makubwa. Lakini pia kuna mambo ambayo kwa makusudi au bahatio mbaya, Watanzania wengi waliaminishwa kwamba ni sahihi wakati yanatugharimu.

Mfano, Rais Samia liingia madarakani watu wakiwa wameaminishwa kwamba Corona imeondoka kupitia maombi, kwamba hatuhitaji chanjo kabisa.

Lakini pia tulifichwa kuhusu madhara ya kiuchumi yaliyoletwa na Corona au maamuzi ya Serikali yetu.

UWAZI NA UKWELI
-Huku kukiwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wahafidhina, Rais Samia alitueleza ukweli kwamba Corona ipo, akachuku hatua kwa uwazi kabisa. Chanjo ikawekwa hadharani.

Matokeo yake ni kwamba nchi yetu sasa imepata imani zaidi kutoka wa wakezaji na watalii ambao wanafahamu kwamba tumechukua hatua hivyo hawaji kucheza pata potea.

-Lingine ni namna alivyotueleza kuhusu TOZO. Huko nyuma kulikuwa na maneno mengi ya kufunika kombe wakati uchumi wetu unaumia.
Tozo ililetwa katika uwazi, tukaambiwa kwa nini imewekwa na wapi inakwenda.

- Pia Rais Samia aliweka hadharani namna atakavyotumia fedha za mkopo takribana trilioni 1.2. Angeweza kukaa kimya lakini akafanya kila mtu ajue ili pia tuwe na nafasi ya kukosoa na kuhoji iwapo matumizi hayataenda vizuri.

RAIS SAMIA NI MKWWELI , Ni muwazi. Anasema ahata ule ukweli ambao unatuumiza na pengine utampa shida kutete kiti chake 2025.

Msema kweli mpenzi wa Mungu, Mungu hatamuacha Rais wetu.
😍
 
Kuhusu Corona umeingia cha kike

Corona anapewa heshima ya milele bwana Magufuli
Kama hujui hujui tu.
Magufuli aliamini tunguli na mafusho ndo maana korona ikampeleka kuzimu
Kafa kibudu.
Kama bado unamkumbuka kamfufue uzikwe wewe ma wasukuma wenzio
 
Rais Samia kaingia madarakani watu wakiwa na matarajio ya mabadiliko makubwa. Lakini pia kuna mambo ambayo kwa makusudi au bahatio mbaya, Watanzania wengi waliaminishwa kwamba ni sahihi wakati yanatugharimu.

Mfano, Rais Samia liingia madarakani watu wakiwa wameaminishwa kwamba Corona imeondoka kupitia maombi, kwamba hatuhitaji chanjo kabisa.

Lakini pia tulifichwa kuhusu madhara ya kiuchumi yaliyoletwa na Corona au maamuzi ya Serikali yetu.

UWAZI NA UKWELI
-Huku kukiwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wahafidhina, Rais Samia alitueleza ukweli kwamba Corona ipo, akachuku hatua kwa uwazi kabisa. Chanjo ikawekwa hadharani.

Matokeo yake ni kwamba nchi yetu sasa imepata imani zaidi kutoka wa wakezaji na watalii ambao wanafahamu kwamba tumechukua hatua hivyo hawaji kucheza pata potea.

-Lingine ni namna alivyotueleza kuhusu TOZO. Huko nyuma kulikuwa na maneno mengi ya kufunika kombe wakati uchumi wetu unaumia.
Tozo ililetwa katika uwazi, tukaambiwa kwa nini imewekwa na wapi inakwenda.

- Pia Rais Samia aliweka hadharani namna atakavyotumia fedha za mkopo takribana trilioni 1.2. Angeweza kukaa kimya lakini akafanya kila mtu ajue ili pia tuwe na nafasi ya kukosoa na kuhoji iwapo matumizi hayataenda vizuri.

RAIS SAMIA NI MKWWELI , Ni muwazi. Anasema ahata ule ukweli ambao unatuumiza na pengine utampa shida kutete kiti chake 2025.

Msema kweli mpenzi wa Mungu, Mungu hatamuacha Rais wetu.
Huyu kasuku na muoga wa ubeberu wa wazungu ndio unasema ni msema kweli?
Ukweli gani kama sio mcheza ngoma ya mabeberu tena kwa viitikio. Unafikiri tungecheza ngoma kamili ya corona na samia uchumi wetu saa hizi ungekua katika hali gani? Tushukuru mungu hatukuanza corona na samia. Ubishi wa kuacha kuingia kichwakichwa hila za mabeberu ndio umetuokoa uchumi wetu kuangamia.
Mabeberu hukaa wakaunda tatizo au kutia chumvi tatizo dogo ili wazinyonye nchi ulimwenguni kwa biashara kuhusu gonjwa la kimataifa, pandemic feki au iliyotiwa chumvi.
Hebu fikiri nani wanavaa mabarakoa saa zote kama sio hao viongozi wakiongozwa na rais. Huku mitaani mijini nchi nzima umeona nani kavaa mabarakoa. Ingekua hilo gonjwa ni kweli si watu wangeokotwa barabarani kama panya kila siku wakiwa wamekufa? Na hicho ndio mke wa bill gates alisema kututisha.
Tunataka kiongozi mwenye maono. Mabeberu wakileta uhunu ni mjanja namna ya kuongoza kondoo wake kuepa mitego na kujenga uwezo wa kujitegemea na kujenga ujasiri kwa wananchi wake.
 
Back
Top Bottom