Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Kaaah! Nilipigwa ban la siku mbili humu,sijui kosa nini
 
Bila shaka hii habari ni kweli sababu makonda kapotezwa kabisa kwenye midomo ya watu na wanahabari!
 
Kipindi ni lini na saa ngapi? TEF Hawako fair, wanatunyima habari kwa sababu ya ugomvi wao na kiongozi. Eti wanadai(TEF) uhuru wa habari wakati wanambania mwenye habari..
 
Mimi wakinipa ban kwenye ukweli siogopi hata kisu kiwe shingini
Matako kampa Mungu akiyatumia kwa ujinga wake ndio asumbue taifa na aliyepewa na lubuvu
Kifo
Kifo
Kifo
Kifo
Kifo
Cha kuongea ukweli ni peponi
Mkuu hawa mod wa miaka hii ni tofauti sana na wale wa miaka ya jf ikiwa Jamboforum. Ulikua ukikosea wanakutahadhalisha kwanza kosa lako na kukuelekeza urekebishe ama wao wanarekebisha kabisa. Mpaka kufikia hatua ya kupigwa ban ujue lilikuwa kosa kwelikweli, siyo hawa wa leo wanaolitetemekea jipuuzi lisilo na vyeti kisa lipo karibu na magu.
 
teh teh kumbe tanzagiza amehamia jf. eti diallo katibu mkuu wa ccm! tatizo la watu wajinga hawawezi hata kutunga uongo wa maana
 
Masikini Bashite amekuwa mtu wa kufukuzia media badala ya media kumtafuta yeye.

Kuna siku nilimsikia akitangaza ujio wa mgeni Dar kupitia radio ya mama Lwakatare nikamhurumia sana.
Kwani Mama Lwakatare ana Radio stesheni
Na inaitwaje?
 
Baelezeee papaa!!
 
Kuna muda huwa napenda kuwaelimisha na kunoa akili za hawa Vijana wanaojiita Wasomi kwa kigezo cha Wao kumiliki hivyo vi degree, vi masters na vi doctorates vyao lakini kumbe ni watupu mno upstairs.
Word.

Maarifa hayaishiii kwenye kufaulu mitihani ya darasani.
 
Asante hilo ni somo tosha
 
I think watanzania mnampa dab jina kubwa kuliko analostahili

Star TV Ni mahututi.... Ignoring hiyo TV na RFA ingetosha kabisa kuwaacha wahangaike bila success

Mnapowajadili, mnawapa mileage
 
Dawa imekuingia.
 
Gentamicin Intravenous Infusion [emoji382] for fast relief!

Hongera Mkuu kwa dose Mubashara,
Wenye macho wameona, wenye kuhitaji wamechukua na wasiohitaji nao ni chaguo lao
 
Nikianza kusoma huu uzi naishia hapo kwenye sentensi ya "...kisiaisa..." na kucheka

Then nachungulia vijineno

Halafu nacheka sana tena sana na kuona ni mmeamua kuendelea kutunga uongo ili muwavutie hao watu wenu wanaipenda kufata mkumbo na mnawapata haswaaaaa

Utungaji huu mbona hamkuuandika kabla haijatangazwa kuwa atakuwa kwenye kipindi cha Star TV, kama alitenda hayo yote!?

Makonda oyeeeeeee

Kila uzi wake humu unasomwa sana na wengi fans wake mioyoni mwenu mnachangia ila kiufitina kulinda ID zenu baada ya kushushulika kwenye vyeti feki mlivyorushiwa na habari za uongo kabla



Makonda oyeeeeeeeeeeeeeee


Jembe la Taifa

Kesho asubuhi kumekucha, mnaramani muwe na uwezo wa kuzima mitambo ya Star TV ha ha ha haaaaaaa
 
Umenena kweli kabisa asili ya wasukuma si kubebana bali kama unavigezo na anakupa nafasi si kwa sababu we ni msukuma bali kuwa we ni Mtz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…