Unajirusha mitandaoni maisha Bora kubadilisha magari Kali, nyumba Kali, Bata kwa Sana! Kumbe sirini maisha feki. Siku ya msiba mnaumbuka Mbele ya makamera!
Tutafute pesa, tupendezeshe kwetu (zikiwemo nyumba za ibada wanapoabudu wazazi nyumbani). Wenzetu wachaga wanachangia hata wakiwa huku mijini. Sisi toka Singida sijui tunakwama wapi?Ndo mtupe connection sasa maana naona mapicha picha tu
Mlengwa wa hizi tuhuma ni msanii yupi hebu mwaga mchele yaani nakuona una kitu ila hutaki kufungukaTutafute pesa, tupendezeshe kwetu (zikiwemo nyumba za ibada wanapoabudu wazazi nyumbani). Wenzetu wachaga wanachangia hata wakiwa huku mijini. Sisi toka Kondoa na Mpwapwa sijui tunakwama wapi?
**Haifurahisi unaendesha Gari Kali (Range Rover, VW, Ford au BMW) halafu home picha za kuibia, unavizia palipopambwa tu!
Tusipangiane maisha Bata langu maisha yangu.Unajirusha mitandaoni maisha bora, kubadilisha magari makali, nyumba kali, Bata kwa Sana! Kumbe sirini maisha feki. Siku ya msiba mnaumbuka Mbele ya makamera!
***Msibani watu wanalia kwa mengi (aibu mixer huzuni).
Huwezi kumuinua kila mtu, maisha ya huko tunakotoka ni changamoto sana, sometimes ni bora ufanye yako tuPesa isaidie nyumbani. Tuwainue watu wa nyumbani kwetu. Vinginevyo aibu yaja.
Your immediate family (baba+Mama mmoja) unashindwaje kuwainua na ww celebrity?Huwezi kumuinua kila mtu, maisha ya huko tunakotoka ni changamoto sana, sometimes ni bora ufanye yako tu
Kwa vipi!!?Atakuwa Shaffih Dauda