FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Itafahamika, cha msingi huyo muhusika asipate usingizi kabisa...Nimekuelewa mkuu. Ila watu wasiojulikana tena! Si ni kuua huko, au unataka wamtese tu [emoji3] ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafahamika, cha msingi huyo muhusika asipate usingizi kabisa...Nimekuelewa mkuu. Ila watu wasiojulikana tena! Si ni kuua huko, au unataka wamtese tu [emoji3] ..
Kwa bunduki hapana...unaweza kuuawa bure...raia watakuita jambaziHa ha haaa...kuna njia ya mkato ndugu...hayo mabunduki ni kweli yana_draw attention ya watu wa serikali. Hapo soln ni kumtia mtu busha na brain stroke kidogo ili awe fundisho kwa wengine...ila sasa ukiangukia kwa waganga njaa wa kibongo wale wa ile hela tuma namba hii unapigwa mara 2!!!
Anaenidai ategemee muamala leoMkuu mkapunguze tuu, nina hasira sana na nyinyi.
Isingekua binti yangu wa miezi tisa ningekua muda huu nimeshachoma moto nyumba mbili, na scania vipisi viwili. Ila weekend hii tarajieni chochote.
Na mimi siamini kwenye ushirikina, sijui mganga, mara busha, kwahiyo sioni ntakachofanya zaidi ya moto tuu..
This is if, wewe ni mdaiwa jeuri, kiburi, mbabe na mwenye dharau. Other than that tunaishi nao fresh tuu.
Umeshauri vizuri mkuu..Naelewa unachopitia sana mkuu,huwa inakuwa ni maumivu yasiyohimilika,kiasi cha kukosa utulivu wa kufanya mambo mengine.
Hiyo iliwahi nitokea hata mimi,Kuna watu niliwafanyia kazi kwakutumia Mtaji wangu wa ngama,thamani ya kazi baada ya kuisha ilikuwa Mil10+.Nilikuwa nanuka madeni,Kodi ya nyumba,kodi ya Tra,majukumu kama baba wa familia.
Nimeifuatila Pesa yangu more than 1 year,lakini sijapata.Nilitumia kila posibility kuipata hela yangu,ilishindikana.
Before nilikuwa kama wewe,nilianza process za mahakamani,lakini mtu niliyekuwa nashindana naye anapesa na dharau juu.
Ilifika extent nikasema niende sehemu niliyokuwa nadai nijitundike pale kwenye miti,niliandaa kabisa kamba za manira + ujumbe wa kuweka mfukoni(ukitaka picha nnayo)
Nilienda mpaka kwa waganga sikuambulia chochote,zaidi ya kuwaona watesi wangu wakinawili.Polisi ndo usiseme,inabidi uwe na hela ya kuwapa.
Lakini nilikuja kutana na mtu mmoja mkubwa sana kwenye masuala ya biashara.Alinipa ushauri kama niliokupa
Thanks God,leo hii wananilipa kidogo kidogo baada ya masuluhishi mengi sana,Mpaka leo cijakata tamaa,napush mambo yangu Kwa amani sana.
Kuna nilichokundua pia,jamii inaweza kuwa inakupa back up ya maamuzi mabaya,lakini yakisha kukuta huto mwona mtu,you will be alone my friend.Iwe kaburini au Jera.
Sawa mkuu nakutakia maamuzi mema.Umeshauri vizuri mkuu..
Naomba Mungu anipe namna maana sina ninachofanya zaidi ya mipango ya visasi.
Mungu anipe namna
Uende popote wapi?,Kuna mkataba na nililipia Bank kama unaweza kazi njoo pm maana wanaonekana ni wahuni sasa tu deal nao kihuni tu
Duh😳Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??
Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.
Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Huu ni upuuzi, mkataba si unakuwa na copy mbili , moja kwa ajili ya kila upande unao-sign, sasa unapomwambia mtu asubmit mkataba wake wa mwanzo halafu umwandikie tena mkataba mwingine kwa ajili ya kumpa mkopo wenye masharti makubwa (hasa riba) maana yake unataka kumtapeli kwa kumpa masharti mapya kwenye mkataba mpya, kitu ambacho hakiwezekani. Inatakiwa ule ule mkataba wa mwanzo wenye masharti yale yale ya mwanzo uwe honored.Nilikuwa na-chart na jamaa wa hiyo Kampuni,wamenijibu hivi kuhusiana na suala la muanzisha UziView attachment 2094807
nilivyoelewa ni mkataba wa kazini..ili apewe mkopomkataba wake
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??
Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.
Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Imerudi rudi vipi? Mliwatolea mkwaju au?hao jamaa wana page yao original ambayo ina followers wengi na kuna hyo nyingine fake ambayo ina followers wachache.
hii moja ina no ya whatsapp na hii nyingine ina landline phone hapo nmeshkwa na ukakasi sababu na sisi imetokea scenario kama yako juzi kwenye subaru xt ilikuwa tupigwe 25m sema yote imerud jana tumeachana for good
Hilo sharti la kuleta mkataba wa kazini lilikuwepo kwenye masharti ya mkataba wa mwanzo? Au ni sharti jipya ambalo mtu anajitungia tu? Maana msingi wa jama kudai katapeliwa ni kupewa masharti mapya mabayo hayakuwepo kwenye mkatabanilivyoelewa ni mkataba wa kazini..ili apewe mkopo
Asante sana mkuu.Sawa mkuu nakutakia maamuzi mema.
Aiseeeeeee!!!!! Daaah.....Naelewa maneno yako.
Na nimeshauriwa ivi na na watu tofauti pia. Ila inanisumbua kwasababu nilichokusudia kukifanya kwa hiyo hela kimekwama. Mbaya zaidi mdaiwa hapokei simu, hajibu msg. Wiki tatu zilizopita akatuma msg saa tisa usiku, "Hela yako ntakulipa punguza kiwewe."
Naamini alikua amelewa lakini hii msg iliniuma sana.
Una hela yangu zaid ya m5 tangu tar 4 october mwaka jana, kwenye communication unanikwepa halafu unaniambia nipunguze kiwewe...!!! Sijui nani anaelewa ninachojisikia.
Kitengo cha biashara.Ndani ya mwezi? Mahakama ipi?
Mimi nishafanya nao kazi watu kama hao. Na actually waliniletea gari ila ikawa ni model tofauti....Mkuu hao jamaa ni ma pro..yaan wanafungua account fake insta or fb..wanachkua ofis posta..wanaweka samani ndan kila kitu yaan wanajiandaa.wanaajiri had watu tena weng wadada..yaan inakua ofis kamil ukienda unakuta wana kila kitu...wakishawakusanya watu wa kuwapiga pesa wakiwa weng...wanapotea mazima na wanasusa ofisi...ukienda pale central kushtaki askar wana hzo kesi zaid ya 100..so unabak kuzunguka tu na mpeleleZ..hahah..hyo niliandika uzi mwaka jana mwez wa 11..kuna mwana nae alipigwa huku na jamaa..vipo vikampun ving vya utapel hvyo na maara nying boss humwon..unakutana na wafanyakaz tu...na account number binafsi za boss na kampuni..hela inaingia kwa mtu binafsi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama nyinyi ndio mnasababisha utapeli na uonevu unaendelea, some people need to be made an example ofNaelewa unachopitia sana mkuu,huwa inakuwa ni maumivu yasiyohimilika,kiasi cha kukosa utulivu wa kufanya mambo mengine.
Hiyo iliwahi nitokea hata mimi,Kuna watu niliwafanyia kazi kwakutumia Mtaji wangu wa ngama,thamani ya kazi baada ya kuisha ilikuwa Mil10+.Nilikuwa nanuka madeni,Kodi ya nyumba,kodi ya Tra,majukumu kama baba wa familia.
Nimeifuatila Pesa yangu more than 1 year,lakini sijapata.Nilitumia kila posibility kuipata hela yangu,ilishindikana.
Before nilikuwa kama wewe,nilianza process za mahakamani,lakini mtu niliyekuwa nashindana naye anapesa na dharau juu.
Ilifika extent nikasema niende sehemu niliyokuwa nadai nijitundike pale kwenye miti,niliandaa kabisa kamba za manira + ujumbe wa kuweka mfukoni(ukitaka picha nnayo)
Nilienda mpaka kwa waganga sikuambulia chochote,zaidi ya kuwaona watesi wangu wakinawili.Polisi ndo usiseme,inabidi uwe na hela ya kuwapa.
Lakini nilikuja kutana na mtu mmoja mkubwa sana kwenye masuala ya biashara.Alinipa ushauri kama niliokupa
Thanks God,leo hii wananilipa kidogo kidogo baada ya masuluhishi mengi sana,Mpaka leo cijakata tamaa,napush mambo yangu Kwa amani sana.
Kuna nilichokundua pia,jamii inaweza kuwa inakupa back up ya maamuzi mabaya,lakini yakisha kukuta huto mwona mtu,you will be alone my friend.Iwe kaburini au Jera.