Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Status
Not open for further replies.
Unapohitaji kutumia Kampuni yoyote ya huduma kwanza tafuta taarifa za kutosha.

Pili tumia Kampuni zenye muda mrefu maana kama wana matatizo wasingedumu kufanya hiyo kazi, kama sio kufilisika basi wangeshafikishana kwenye vyombo vya sheria na Wateja wao.

Huwezi kupelekwa kwenye vyombo vya sheria na Wateja zaidi ya kumi na bado ukaendelea kuwapo hapo hapo.
 
Ulaya, Marekani na nchi nyingi zilizoendelea watu wanamiliki gari mpya na nyumba nzuri kwasababu ya utaratibu huu mortgage/finance kununua cash gari mpya ni wachache sana wanaweza ndio maana tunaishia magari ya 2003 hadi leo tunashikana mashati!
Hakika mkuu. Inabidi mje na kampuni ya kuwezesha hili nyie wenye Kamba ndefu.
Kuna kampuni inaitwa EFTA inakopesha mitambo, sijui kwanini haijafanya vizuuri Sana.
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??

Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.

Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Hii ni uthibitisho tosha kuwa Watu hatuiamini mifumo rasmi ya kusheria.

Kwamba ukijichanganya na mifumo rasmi ndio unaweza hata kuipoteza kabisa haki yako, tofauti na ungetumia njia za mkato.
 
Hakika mkuu. Inabidi mje na kampuni ya kuwezesha hili nyie wenye Kamba ndefu.
Kuna kampuni inaitwa EFTA inakopesha mitambo, sijui kwanini haijafanya vizuuri Sana.
Kamba yangu fupi sana hata ingekuwa ndefu nisingeweza. Hizi ni taaluma za watu, banks na taasisi nyingine za fedha ndio zinafinance wauzaji kazi yao kuhakikisha magari au nyumba zinapatikana. Bado mifumo ya TZ haijakaa sawa watu kukopa na kuingia mitini ndio ujanja na namna ya kuwapata ni ngumu, bado tuko kwenye ujima.
 
View attachment 2094407

Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.

Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.

Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote.

Sasa mimi nitaenda huko popote na nitawaletea mrejesho kutoka huko popote. Sambazieni watu wasije wakapigwa hela, ni ngumu kwa sasa.
Piga taarifa tu Polisi, wezi wa mtandao.
Watafuatiliwa tu mradi vidhibiti vipo vya malipo.
 
Yaani karne hii unauziwa gari hewa ?
Na wewe unakubali.
Dunia ya sasa sinunui bidhaa hewa.
Hata iwe kampuni ya aina gani.
Nataka gari hili nalipa na naondoka nalo baada ya kujiridhisha ktk kila mamlaka za usimamizi.
 
Hivi unaanzaje kwenda kuagiziwa gari na mtu?? Wakati website aminifu zipo kibao na ukitaka unaletewa mpaka uwani kwako kutoka japan direct. Mimi kitu changu cha kwanza kuagiza online ilikuwa ni gari, sikuwahi mwambia mtu yoyote kuwa nimeagiza gari online, nilipotumiwa bill of lading ndo nikawaambia washikaji tokea hapo sijawahi kuogopa kuagiza kitu online.
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??

Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.

Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
kuna harufu kali ya utapeli inanukia hapa
 
Kamba yangu fupi sana hata ingekuwa ndefu nisingeweza. Hizi ni taaluma za watu, banks na taasisi nyingine za fedha ndio zinafinance wauzaji kazi yao kuhakikisha magari au nyumba zinapatikana. Bado mifumo ya TZ haijakaa sawa watu kukopa na kuingia mitini ndio ujanja na namna ya kuwapata ni ngumu, bado tuko kwenye ujima.
Lakini Kuna tech za Hali ya juu za kuwezesha kumonitor gari popote lilipo hata likivuka border. Mimi nadhani ni useriousness kwenye kuwekeza. Kwa mfano kupina na kukopesha viwanja ni jambo jepesi mno kulifanya.
 
Lakini Kuna tech za Hali ya juu za kuwezesha kumonitor gari popote lilipo hata likivuka border. Mimi nadhani ni useriousness kwenye kuwekeza. Kwa mfano kupina na kukopesha viwanja ni jambo jepesi mno kulifanya.
Kupima na kukopesha viwanja wapo wengi ni rahisi ku-monitor. Magari yanahitaji watu waaminifu, hata ukijua liko wapi unaweza kuta mtu kashaliuza kadi kabadili utajua wewe kadi kapata wapi na nyinyi mnayo!
 
View attachment 2094407

Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.

Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.

Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote.

Sasa mimi nitaenda huko popote na nitawaletea mrejesho kutoka huko popote. Sambazieni watu wasije wakapigwa hela, ni ngumu kwa sasa.
Tushare kwa wingi, ili kuepusha utapeli zaidi
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??

Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.

Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Unyama Sana mwaisa.
 
View attachment 2094407

Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.

Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.

Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote.

Sasa mimi nitaenda huko popote na nitawaletea mrejesho kutoka huko popote. Sambazieni watu wasije wakapigwa hela, ni ngumu kwa sasa.
hao jamaa wana page yao original ambayo ina followers wengi na kuna hyo nyingine fake ambayo ina followers wachache.

hii moja ina no ya whatsapp na hii nyingine ina landline phone hapo nmeshkwa na ukakasi sababu na sisi imetokea scenario kama yako juzi kwenye subaru xt ilikuwa tupigwe 25m sema yote imerud jana tumeachana for good
 
Lailah Ila Issa ni vema ukajiheshimu,hilo la Utapeli limetoka wapi??ni wapi nimemuomba mtoa Mada nauli ya Ndege??na kwanza niliandika kwamba nipo Dar kikazi,ni vema ukatumia akili za kichwani badala ya za makalioni
 
Samahani mkuu eleza hapa anachotakiwa kufanya, sio mumvutie huko PM mkamning'inize tena, no offense.

Mimi habari zangu mtazisoma kwenye gazeti la jumatatu wiki ijayo maana nitakachofanya hakitakua siri. Mil 5 na laki 4 ni pesa nyingi sana kwangu. Si mnaelewa vile moto umetumika kuresolve mambo mengi recently ee.. basi moto utasolve na langu.

Mkisikia tu habari za kufanana na kariakoo, karume, mapipa, cask (Mwanza), soko la katoro, ukumbi wa bunge Afrika kusini, msijiulize mengi.
Pole sana mkuu,Usijichkulie sheria mkononi wala usijidhuru,kinachokuumiza hapo ni matarajio yako na kulinda heshima yako.

Nakusihi tafuta mahali utulize akili vizuri
Kuna maisha baada ya hili,yanatakiwa yaendelee na yanategemea uwepo wako.

Haki yako ipo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom