Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Status
Not open for further replies.
Bwana IYENYI hapana,mimi asinifuate,nimemshauri tu nini afanye,zaidi ya hapo afuate taratibu za Demand Note Mahakamani nk maana anasema Ushahidi wa Mikataba anao,lakini kiukweli kuchukua Ml.5 ya mtu kisha kumwambia nenda popote hutanifanya kitu chochote si sawa,dawa ya jeuri ni kuwa jeuri zaidi yake
 
Mwanajf mmoja akiibiwa ni sawa na tumeibiwa wote ngoja kwanza twende kwenye page yao tukakichafue tuone wanatokea wapi
mkuu umeongea point, kama watu wote tutakua na moyo huu matapeli watakua na wkt mgumu. Wote jf tuingie kwny peji zao zote tuwachane makavu live lazima wazikimbie hizo peji. Ktk hizi social media hakuna kitu kina nguvu kama reviews, tukiwaaribia kwny reviews ujue biashara imekufa hapo.
 
Screenshots_2022-01-25-09-34-57.png


Nawaona nawaona mnakiwasha..
 
Nilikuwa na-chart na jamaa wa hiyo Kampuni,wamenijibu hivi kuhusiana na suala la muanzisha Uzi
Screenshot_20220125-094655.jpg
 
Mkuu umenigusa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna jamaa alinitapeli hela mingi miaka saba iliyopita kisha akanigeuka kisa hakukuwa na shaidi hivyo kesi ikawa haina ushahidi ikala kwangu.
Sasa nimekaa miaka yote hiyo sijawahi kusahau ndio mwaka jana mwishoni nikapata idea mpya nikafanya upepelezi na kupata details zote zinazomuhusu nikapanga safari ya kustukiza nikiwa na jamaa zangu wawili wababe tukazama ofisini kwake tulichokifanya ni hatari sana ila mwisho wa siku pesa yangu ilikuwa 2.5 m lakini tulifanikiwa kuchukua 4m na hakuna aliyeshtukia wala hatukuumiza mtu tukasepa kimya kimya yaani kama movie hivi
Nasikia jamaa alizinduka kesho yake jioni akiwa hospital baada ya madawa kuisha kichwani
Mwaka 2015 Tsh 2.5m, ilikua pesa nyingi sana?
 
No offence, agreed.

Ingawa mtoa mada hajabainisha facts za kutosha ila nitajaribu kumuongoza kwa namna ninayoijua kwa kumpa open ended suggestions.

Bilashaka alivitoa pesa nusu waliandikishiana (express term), if not, hata barua aliyoiandika wakamjibu kwa kutaka kumpa makubaliano mapya ni kielelezo tosha pia kwamba walishapokea pesa kutoka kwa mteja wao (implied term).

In law, there is a doctrine of estoppel, kwamba baada ya makubaliano kufanyika (expressly or impliedly), hakuna upande unaruhusiwa kurudi nyuma na kutengeneza makubaliano mapya isipokuwa kwa maridhiano ya pande zote mbili.

Aanze kwa kuandika demand notice and intention to sue, which is mandatory before commencing a civil suit, asiandike mwenyewe aende akaandikiwe kitaalamu na Wakili, awape labda siku 14 au zaidi kwa namna atakavyoona inafaa, wakishindwa kutekeleza kama walivyokubaliana ndiyo afungue kesi Mahakamani.

Kwa nature ya kesi ilivyo, atashinda. Lkn kwa uzoefu wangu, Makampuni mengi yakiandikiwa demand notice huwa yanamuita mteja kwenye meza ya mazungumzo.

I humbly submit. Ushauri nilioutoa hapa bure ningekuwa ofisini ningepata 10K ila hii ni sadaka yangu kwenu wana JF. Siku yenu na ikawe njema wakuu.
Asantee
 
View attachment 2094407

Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.

Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.

Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote.

Sasa mimi nitaenda huko popote na nitawaletea mrejesho kutoka huko popote. Sambazieni watu wasije wakapigwa hela, ni ngumu kwa sasa.
Pole sana. Naona wewe watu wanapenda kukutapeli. Kuna Uzi mmoja umetapeliwa laki tano kwa kumuamini mtu ambaye ndio kwanza umemuona. Tahadhari sana binadamu wa sasa siyo wema.
 
Mwaka 2015 Tsh 2.5m, ilikua pesa nyingi sana?
Pesa nyingi ni subjective mkuu.. Mkulima wa jembe la mkono kijijini ukimwambia laki tano ataona ni pesa nyingi na ukimuibia anaweza kuona umeyakatili maishi yake, kuna mwajiriwa anatumia hizo kwenye outing yake. Bakhresa ukimwambia bilioni 1 mtu kaiba kwenye biashara zake anaweza kwenda bila kuwaza wakati kwako inaweza kuwa life dream.
 
Weka slip ya bank hapa na hiyo mikataba na namba za waliokuambia nenda popote. Kama maelezo ni kweli Story ikiwa balanced itakula kwao......

Humu kuna majabali zaidi yao, wakiamua kukupa msaada utaona tu muamala wako wala hata hawatakuambia ilikuaje. Ila lazima story iwe balance na wao wasikilizwe halafu maelezo yako yawe sahihi isije kuwa umeficha ficha mambo kuvutia upande wako.
 
Watz kuweni makini na haya makampuni ya nusu bei, lipa kidogo kidogo kwa awamu.
Tumepigwa jumla ya bilioni moja na milioni 400 kwenye viwanja jumla ya watz 250 wa Dar, MWANZA, Arusha, Dodoma na kampuni ya VKP investment for youth development ya mmiliki ni YONA kesi ipo mahakamani hana hata kumi ya kulipa.
Pamoja na utapeli uliopo kwenye biashara ya "kulipia kidogo kidogo" bado ni biashara yenye faida kubwa. Pakiwa na investor mzuri, bonge la biashara iwe ni viwanja au magari.
Utapeli upo kila sehemu hata kwenye viwanja vya kulipia mkupuo mmoja, vifaranga n.k
 
Pamoja na utapeli uliopo kwenye biashara ya "kulipia kidogo kidogo" bado ni biashara yenye faida kubwa. Pakiwa na investor mzuri, bonge la biashara iwe ni viwanja au magari.
Utapeli upo kila sehemu hata kwenye viwanja vya kulipia mkupuo mmoja, vifaranga n.k
Ulaya, Marekani na nchi nyingi zilizoendelea watu wanamiliki gari mpya na nyumba nzuri kwasababu ya utaratibu huu mortgage/finance kununua cash gari mpya ni wachache sana wanaweza ndio maana tunaishia magari ya 2003 hadi leo tunashikana mashati!
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??

Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.

Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Kudadekiiiii hivi ndIo wanavyotakiwa kufanyiwa wangese hawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom