Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Status
Not open for further replies.
Kumbe ndo wanapokamatwa? Jamaa wanajua kucheza na akili za watu[emoji1][emoji1]

Kidogo nimuulize mleta mada kuwa SBT na Befoward hakuwaona? Kumbe alifata kamserereko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimewafollow insta, na kuna mtu nilimwonyesha alikuwa nahitaji gari ngoja nimpe taarifa asije jichanganya maana alitaka nae alipe nusu nusu ndani ya mwaka
 
Unaweza kuta unaongea haya ukiwa unachunga mbuzi kyagata huko.
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
 
Watu wanashabikia swala la ubabe lakini naamini hakuna mwenye uwezo huo wa kwenda kufanya wanayoyasema.

Kuamka kutoa pistol na kushoot inahitaji moyo uliooza kidogo na siyo mfanyabiashara mwenye uwezo wa kumiliki pistol. So umeshoot na hana pesa ya kukulipa, utafanya nini? Utammalizia? Ukimuacha akienda kukuripoti?

Mi najua umetuambia unaenda popote na utaleta majibu, so hicho ndiyo nafikiri ungefanya.
 
No offence, agreed.

Ingawa mtoa mada hajabainisha facts za kutosha ila nitajaribu kumuongoza kwa namna ninayoijua kwa kumpa open open ended suggestions.

Bilashaka alivitoa pesa nusu waliandikishiana (express term), if not, hata barua aliyoiandika wakamjibu kwa kutaka kumpa makubaliano mapya ni kielelezo tosha pia kwamba walishapokea pesa kutoka kwa mteja wao (implied term).

In law, there is a doctrine of estoppel, kwamba baada ya makubaliano kufanyika (expressly or impliedly), hakuna upande unaruhusiwa kurudi nyuma na kutengeneza makubaliano mapya isipokuwa kwa maridhiano ya pande zote mbili.

Aanze kwa kuandika demand notice and intention to sue, which is mandatory before commencing a civil suit, asiandike mwenyewe aende akaandikiwe kitaalamu na Wakili, awape labda siku 14 au zaidi kwa namna atakavyoona inafaa, wakishindwa kutekeleza kama walivyokubaliana ndiyo afungue kesi Mahakamani.

Kwa nature ya kesi ilivyo, atashinda. Lkn kwa uzoefu wangu, Makampuni mengi yakiandikiwa demand notice huwa yanamuita mteja kwenye meza ya mazungumzo.

I humbly submit. Ushauri nilioutoa hapa bure ningekuwa ofisini ningepata 10K ila hii ni sadaka yangu kwenu wana JF. Siku yenu na ikawe njema wakuu.
Asante.
Kwa uandishi huu, kama jamaa atasoma hii comment lazima atakutafuta.
Umeandika kiprofessional sana.
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Daah,haya hivi vijikampuni vya mifukoni ni hatari, yaani hawa wanaharibia mpk wenzao kazi, wote wataanza kuonekana ni wahuni
 
Pole sana mkuu nakishauri komaa sana kwa njia yoyote kupata haki yako.

Siku nyingine nakushauri, hata kwa mtu mwingine anae taka kuagiza gari, achaneni na kuagiza gari kupitia kampuni ya kibongo,

Maisha yamerahisishwa sana hata kwenye simu yako ya mkononi tu unaingia kwenye site zinazo aminika za befoward, sbt, realmotorjapan, enhance auto na kadhalika unajichagulia mkwaju unao utaka tena wenye sifa zote za kueleweka na kuaminika unanegotiate nao bei unawalipa wanakutumia gari yako mpaka daslam, kazi yako ni kusubiri mwezi auu mwezi na nusu kutafuta hela ya clarance na kutafuta agent wa kukusaidia hiyo kazi

Haya mambo ya kuagiza gari kwa kupitia mtu kati ni mambo ya mwaka 97 na mambo ya kishamba na uoga uliopitiliza kwamba et ukituma hela japan utatapeliwa, huyo mtu kati kwanza ndo kwa kwanza kukutapeli, katika mazingira kama haya oneni amesha mtapeli mtu na anamjibu mpaka jeuri,

Pili anakuagiizia the cheapest and dented car ya bei rahisi kuliko zote gari imechoka ambayo kule wanauza bei ya kisafishia yard ili anaechukua akafie mbele nayo mbali huko.. dalali anafanya ivo ili apate kusave hela nyingi sana kutoka kwako kwako.gari imetembea kilomita kibao ikifika bongo anazishusha anakwambia gari imetembea kidogo, kumbe imezurula japan yote na vichochoro vyote imemaliza.

Tatu hata akifanikiwa kukuletea gari unayo itaka au ulio i point, tayari atakuwekea mazingira flani akupige cha juu kisicho pungua milioni 2 sasa huu upuuzi mpaka lini mtafanyiwa?.

Jabani Kubalini kubadilika na dunia inavobadilika, ingieni site wenyewe chagueni gari mnayotaka, hata ukiwa choon unakata gogo unaperuzi unachukua chuma unayotaka unaepukana na janja janja za wabongo.

Tusiogope kiasi hiki na sasa ivi vikampuni vya insta vipo vingi na havina hata ofisi mahali popote, vinatapeli sana watu ukiagalia kurasa zao zimejaa magari na vina subscribers hata 3k, wanachukua picha za befoward wanaweka kwao wana sindikiza na caption za kupambwa na maneno mengi na uongo mwingi "eti ukiagiza gari kwetu unapata bima comprehensive ya mwaka mmoja bure", we uliskia wapi??? Maana ake anakupiga hela nyingi ambazo hata akikupa hiyo bima bado anakua hajapata hasara.
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Nilishaletaga uzi hapa kutaadharisha huu utapeli na watu walisoma uzi kimasihara...huo mtandao wa utapel umekithir hapo posta..na watu wanapigwa balaa..ila ukichunguza ni uzembe na ujinga...wa anaepigwa...jamaa wanakodi ofis kabisa..had lesen..had wafanyakaz..page mitandaon etc...utasema ni kwl..ila misho wa siku unapigwa...na polis pale central ukienda utazungushwa tuu..wamewachoka hao jamaa..kuna kesi hzo kama 100 hiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watz kuweni makini na haya makampuni ya nusu bei, lipa kidogo kidogo kwa awamu.
Tumepigwa jumla ya bilioni moja na milioni 400 kwenye viwanja jumla ya watz 250 wa Dar, MWANZA, Arusha, Dodoma na kampuni ya VKP investment for youth development ya mmiliki ni YONA kesi ipo mahakamani hana hata kumi ya kulipa.
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa

Sijawahi kumuelewa Mtanzania Mimi jaman, unashindwaje ingia berforward, ukachagua gari, ukatuma hela mwenyewe?

Kwa nini mnapenda kufanyiwa kila kitu? Hapo Ndugu umepigwa, na labda ukawaloge, even Police will not help you, that I know for sure!
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu

Ukihudumia watu chai, unaweka na vitumbua, we Waiter wa Wapi wewe?

Hawa Jamaa wakikuzulumu huwa hawana hela, sasa huyo wako Ka deposit toka crdb ya Baba yake au?
 
Sometimes mnayataka wenyewe. Kuna well established companies kama BF,SBT,Trust sasa kwanini uende kwenye vikampuni uchwara vya Instagram?
Mkuu huyu jamaa kashindwa kuweka wazi,hicho kikampuni kama sio mtu wa tamaa huwezi kufanya nao kazi.

Ipo hivi,hao sclt wanachofanya ni kuwa una deposit ela nusu gharama ya hiyo gari unayotaka kuagiza,alafu gari ikishafika bongo wanakukabidhi na wewe unamalizia deni lao ndani ya mwaka huku unatumia hiyo gari.

Sasa offer hii kibongo bongo inawezekanaje na bado hatujafika huko.

Huyu mwamba kashatapeliwa na hata akikomaa nao ela atarudishiwa lakini wahuni watakuwa washaizungusha kwenye mishe zao.
 
Mwanajf mmoja akiibiwa ni sawa na tumeibiwa wote ngoja kwanza twende kwenye page yao tukakichafue tuone wanatokea wapi
Halaf ..wanachofanya..wanatumia account ambazo znafanana na account halali ..yaan kunakua na kampun halal kabisa ambayo inafanya hyo kaz so nao wanatengeneza na ku copy kila kitu na hyo account ...wakishapiga hela wanafuta hyo account fake..wew ukiwatafta u awapata wale wenye kampun real..unaanza lalamika..wao wanafuta yao...yaan wanabadil jina labda kuongeza nukta tu kwenye jina la kwwl..so kua makin..umepigwa mkuu..nilishawai weka uz hapa wa hao jamaa na wengne

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom