Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Status
Not open for further replies.
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Kweli kabisa! Pongezi sana mkuu. No kwenda na Kihuni tu, so wao wanajifanya wahuni?
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
wewe ndio mtu na nusu. piga mashine
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
TWENDE NIKUPELEKE POPOTE TUKAWATIE ADABU NYAHUNI HAWA
 
Wanasheria wa Bongo mnapenda sana pesa! Kama kweli unaona ana kesi nzuri si uingie mzigoni hadi akishinda kesi ndiyo ulipwe pesa yako yote! Utakubali au utamwambia akulipe kwanza advance!?
Mkuu, the legal professional ethics zinazataza kuanza kufanya kazi na kulipwa kesi itakapomalizika, kitaalamu hii tunaita "champerty", kwasababu utafanya kila linalowezekana (legal or illegal) ili kushinda ukiamini kwamba bila kushinda unaweza usilipwe; wakati kwenye kesi iwayo yoyote ile kuna mambo 2, kushinda au kushindwa.

Hata kama nimejinasibu kwamba kesi hii ina uwezekano mkubwa wa kushinda bado wapo wanaoshinda kwa kutoa rushwa kwa kiti (hakimu/jaji), na kujikuta mnashindwa kesi vilevile ingawa mnaweza kushinda kwenye rufaa.

Karibu nikuhudumie.

Ila mkuu, wewe hupendi pesa? Jibu litoke moyoni kabisa.
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Nenda Police cos Wana physical address inayoeleweka
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Ni kweli ni matapeli, watu kibao wamepigwa
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Angekataa kuitoa hiyo hela ungefanyaje???siku hiyo
 
Samahani mkuu eleza hapa anachotakiwa kufanya, sio mumvutie huko PM mkamning'inize tena, no offense.

Mimi habari zangu mtazisoma kwenye gazeti la jumatatu wiki ijayo maana nitakachofanya hakitakua siri. Mil 5 na laki 4 ni pesa nyingi sana kwangu. Si mnaelewa vile moto umetumika kuresolve mambo mengi recently ee.. basi moto utasolve na langu.

Mkisikia tu habari za kufanana na kariakoo, karume, mapipa, cask (Mwanza), soko la katoro, ukumbi wa bunge Afrika kusini, msijiulize mengi.
No offence, agreed.

Ingawa mtoa mada hajabainisha facts za kutosha ila nitajaribu kumuongoza kwa namna ninayoijua kwa kumpa open ended suggestions.

Bilashaka alivitoa pesa nusu waliandikishiana (express term), if not, hata barua aliyoiandika wakamjibu kwa kutaka kumpa makubaliano mapya ni kielelezo tosha pia kwamba walishapokea pesa kutoka kwa mteja wao (implied term).

In law, there is a doctrine of estoppel, kwamba baada ya makubaliano kufanyika (expressly or impliedly), hakuna upande unaruhusiwa kurudi nyuma na kutengeneza makubaliano mapya isipokuwa kwa maridhiano ya pande zote mbili.

Aanze kwa kuandika demand notice and intention to sue, which is mandatory before commencing a civil suit, asiandike mwenyewe aende akaandikiwe kitaalamu na Wakili, awape labda siku 14 au zaidi kwa namna atakavyoona inafaa, wakishindwa kutekeleza kama walivyokubaliana ndiyo afungue kesi Mahakamani.

Kwa nature ya kesi ilivyo, atashinda. Lkn kwa uzoefu wangu, Makampuni mengi yakiandikiwa demand notice huwa yanamuita mteja kwenye meza ya mazungumzo.

I humbly submit. Ushauri nilioutoa hapa bure ningekuwa ofisini ningepata 10K ila hii ni sadaka yangu kwenu wana JF. Siku yenu na ikawe njema wakuu.
 
Hizi stress ndo maana wengi wananunua ya mkononi
 
Wanasheria wa Bongo mnapenda sana pesa! Kama kweli unaona ana kesi nzuri si uingie mzigoni hadi akishinda kesi ndiyo ulipwe pesa yako yote! Utakubali au utamwambia akulipe kwanza advance!?
Ni wapi amesema alete hela ??
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Na mimi nilikuwa najiuliza, hawa watu wana pesa kiasi gani kiasi kwamba kila mtu anaweza kuagza gari lolote akalipa nusu na kuimaliza pesa iliobaki ndani ya mwaka
 
Sometimes mnayataka wenyewe. Kuna well established companies kama BF,SBT,Trust sasa kwanini uende kwenye vikampuni uchwara vya Instagram?
Watu wanafuata hilo la kulipia fedha nusu inayobako ukamalizia kidogo kwa mwaka mzima. Hiyo ndiyo gear yao
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Hao dawa ni unyama-unyama AKA Roho ya Paka.
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu

Hahaha blaza unataka tiketi ya ndege kiujanja kama una nia ya kusaidia panda kimbinyiko kamsidie jamaa
 
Watu wanafuata hilo la kulipia fedha nusu inayobako ukamalizia kidogo kwa mwaka mzima. Hiyo ndiyo gear yao
Kumbe ndo wanapokamatwa? Jamaa wanajua kucheza na akili za watu[emoji1][emoji1]

Kidogo nimuulize mleta mada kuwa SBT na Befoward hakuwaona? Kumbe alifata kamserereko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom