Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Status
Not open for further replies.
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Ungeenda kwa mwaki ndio uhakika
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Aisee
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Wengine wanaitwa MAGARI RAHISI ni matapeli kama hao.

Nakushauri tafuta wakili file kesi. Kuna form unajaza ya mahakama kuu hao ndani ya mwezi wasipokulipa anatafutwa broker wanauza mali za kampuni mpaka hela yako irudi na kampuni inafungiwa.
Screenshot_20220124-230325_Instagram.jpg
 
Kiukweli mimi gari siwezi kukubali uniagizie, mi nakuja showroom kwako unipe gari nikupe
Pesa.
Dah! hakuna gari naziogopa kama hizo za showroom, bongo ujanja ujanja mwingi.........kwa makampuni kama BF unachagua mwenyewe gari kwenye website, wanachofanya ni kukuletea hiyo gari baada ya kulipia gharama zote za gari pamoja na pesa yao ya uwakala.......unalipia kupitia benki kwa hiyo unakuwa na ushahidi wa malipo nk..
 
Dah! hakuna gari naziogopa kama hizo za showroom, bongo ujanja ujanja mwingi.........kwa makampuni kama BF unachagua mwenyewe gari kwenye website, wanachofanya ni kukuletea hiyo gari baada ya kulipia gharama zote za gari pamoja na pesa yao ya uwakala.......unalipia kupitia benki kwa hiyo unakuwa na ushahidi wa malipo nk..
Mi ndio natumia njia hiyo, naenda na fundi, tunakagua gari na kulitest, nalipa naondoka nalo, kadi nafuta kesho kutwa yake
 
Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini,hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani??na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa??una nalala yako ya malipo??kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu,baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa,nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma,tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao,kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju,nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi, nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa,alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho,wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Umenifurahisha sana ..hizo ndio huwa pigo sitakagi mchezo kwenye pesa...mtu akinidhurumu mimi basi ajiandae kulala macho
 
View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao posta..wanadai wana agiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia....binafsi nimeagiza gari miezi ya tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo nikienda ofisini naambiwa boss katoka nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote...sasa mimi ntaenda huko popote na nitawaterea mrejesho kutoka huko popote ....sambazieni watu wasije wakapigwa hela ni ngumu kwa sasa
Kampuni bora kabisa ya kuagiza magari nchini ni Garnite Co. Ltd - "Better Way and Beyond Standards". Wapo Mwenge Tower ghorofa ya 4 mkabala na Mlimani City.

Ila Mkuu Wanasheria tupo. Una kesi nzuri sana ambayo inaweza kukupatia fidia ya kukuwezesha kupata gari lingine la ziada.

Play your part, it can be done.
 
Kampuni bora kabisa ya kuagiza magari nchini ni Garnite Co. Ltd - "Better Way and Beyond Standards". Wapo Mwenge Tower ghorofa ya 4 mkabala na Mlimani City.

Ila Mkuu Wanasheria tupo. Una kesi nzuri sana ambayo inaweza kukupatia fidia ya kukuwezesha kupata gari lingine la ziada.

Play your part, it can be done.
Kesi ni kufaidisha watu, dawa ni kumfanya alale macho maisha yake yote
 
Kampuni bora kabisa ya kuagiza magari nchini ni Garnite Co. Ltd - "Better Way and Beyond Standards". Wapo Mwenge Tower ghorofa ya 4 mkabala na Mlimani City.

Ila Mkuu Wanasheria tupo. Una kesi nzuri sana ambayo inaweza kukupatia fidia ya kukuwezesha kupata gari lingine la ziada.

Play your part, it can be done.
Samahani mkuu eleza hapa anachotakiwa kufanya, sio mumvutie huko PM mkamning'inize tena, no offense.

Mimi habari zangu mtazisoma kwenye gazeti la jumatatu wiki ijayo maana nitakachofanya hakitakua siri. Mil 5 na laki 4 ni pesa nyingi sana kwangu. Si mnaelewa vile moto umetumika kuresolve mambo mengi recently ee.. basi moto utasolve na langu.

Mkisikia tu habari za kufanana na kariakoo, karume, mapipa, cask (Mwanza), soko la katoro, ukumbi wa bunge Afrika kusini, msijiulize mengi.
 
Wabongo bado hatujafikia hatua hiyo, ukiona mambo ya lipia kwa awamu, ogopa sana
Hata kwenye viwanja lipa kwa awamu kampuni moja inaitwa VKP ya Yona kanipiga milioni 6 kawapiga watz 250 jumla ya bilioni 1.200 kesi ipo mahakamani hana hata kumi ya kutulipa sijui pesa alikuwa anapeleka kwa mpalange? Huyu ukimloga utakosea kweli watu wamepigwa milioni 20,30,nk.
Mswahili ajawahi kuwa seriously.
Hii kampuni ya magari tangazo lao linavutia kweli kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom