Uwekezaji nyumba za kupanga

Uwekezaji nyumba za kupanga

Mimi naiona hii iko sawa na ina usalama zaidi
Namanisha katika kila ya miezi 3,6,12 una uhakika wa kuingiza
Ila hizo biashara zingine kila siku una risk
Najuaa boss wangu we unataka papo kwa papo😂😂

Ova
Hizi nyumba za 300k-500k kodi ya mwaka 3m-5m mpangaji akitoka ukarabati unakula hela yote ya mwaka!
 
pole mtoa mada, lazima upate maneno ya kejeli toka kwa watu ambao hawana hata kiwanja...

sasa fanya hivi!

jenga apartments, achana na nyumba kubwa za familia, jenga chumba,sebule,choo na jiko with balcony iwe na executive finishing then weka hadi samani humo ndani za kisasa,,,,,fanya kukodishia kwa mtindo wa kisasa wa appartments,...utaniambia baadae, NB sebule chini an chumba chuu ie kigorofa

Sidhani kama kuna mtu ana mkejeli, ni facts tu tunaambizana , halafu kiwanja sio big deal, watu wanavyo kadhaa vilivyojengwa na visivyojengwa ....

Labda nije kwenye idea yako , hiyo nyumba ya chumba kimoje balcony jiko na sebule , inategemeana na umeijenga wapi na mji gani , Usione watu wanakula Dollars na nyumba za Airbnb ukadhani ni rahIsi kuwa na nyumba za namna hiyo anywhere, , kuna maeneo nyumba za kodi nzuri nzuri zinakaa na maeneo hayo sio ya bei rahisi kuyanunua.
 
Hizi nyumba za 300k-500k kodi ya mwaka 3m-5m mpangaji akitoka ukarabati unakula hela yote ya mwaka!
Kabla mpangaji hajaingia una msainisha pia mkataba wa kama akiharibu vitu ndani ya nyumba mfano mabomba,vitasa etc
Kuna uharibifu fulani ni wamakusudi

Ova
 
Nikaribie wapi? Im way older than you. Nafikiria kustaafu now na mipango yangu ni kama hii ya mleta mada, ila sio kijana damu changa uchukue 200m ukazifukie chini usubiri 500,000 kwa mwezi.
All the best kaka!
 
Kabla mpangaji hajaingia una msainisha pia mkataba wa kama akiharibu vitu ndani ya nyumba mfano mabomba,vitasa etc
Kuna uharibifu fulani ni wamakusudi

Ova
Utasingizia wapangaji bure finishing zenyewe nyumba za kupanga vitu vya kichina. Hata utunze vipi miezi kadhaa vinang'oka vyenyewe. Ni wachache sana wanatumia high quality material nyumba za kupanga, tena wanadanganywa hii nyumba ya kupanga usiweke vitu vya gharama.
 
Mimi naiona hii iko sawa na ina usalama zaidi
Namanisha katika kila ya miezi 3,6,12 una uhakika wa kuingiza
Ila hizo biashara zingine kila siku una risk
Najuaa boss wangu we unataka papo kwa papo😂😂

Ova
Hamna boss...kama ni hivyo nisingeipenda pia ishu ya kupanda miti ni muumini sana wa kuwekeza return uipate baada ya muda mrefu .!.
 
Hizi nyumba za 300k-500k kodi ya mwaka 3m-5m mpangaji akitoka ukarabati unakula hela yote ya mwaka!
Na mpangaji wa kulipa kodi za 300 to 500 k, kama ni mswahili, jua hatokaa sana , kelele za wanafamilia ,ndugu , na jamii kuwa anafuja pesa n.k , ikipita mwaka lazima ahamie kwenye kibanda chake cha chumba mbili mbezi malamba huko , na akiondoka lazima uingie gharama kukarabati , maana wanaondokaga hadi na swtich socket za ukutani.
 
Uzuri waujenzi hii milioni 50 unaikusanya taratibu, ukipata milioni 3 unanunua matofali. Huwezi kwenda Chunya na milioni tatu.
Hata na laki 3 dada unaenda .unakua kota wakununua kwa wale wenye mawe machache..mfano point2,3,5 7,8,9,1gm...!
 
Utasingizia wapangaji bure finishing zenyewe nyumba za kupanga vitu vya kichina. Hata utunze vipi miezi kadhaa vinang'oka vyenyewe. Ni wachache sana wanatumia high quality material nyumba za kupanga, tena wanadanganywa hii nyumba ya kupanga usiweke vitu vya gharama.
Ila kwangu nyumba ni security nzuri
Mambo ya kutegemea biashara,biashara zenyewe zinapanda na kushuka kila siku

Ova
 
Nafikiri hakuna biashara ambayo haina faida, Cha msingi ni usimamizi wa hio biashara ikiwemo aina ya mikataba unayo ifanya na wapangaji, Mtu ambae anamua kuingia kwenye hii biashara anafanya chaguzi bora, kwa maana hata ametumia hela nyingi kuzijenga bado anayo nafasi ya kutumia hizo nyumba kama dhamana kuchukua Mikopo ya Biashara kwayo, Na hizo kodi zitakua zibalipa marejesho.
 
Sidhani kama kuna mtu ana mkejeli, ni facts tu tunaambizana , halafu kiwanja sio big deal, watu wanavyo kadhaa vilivyojengwa na visivyojengwa ....

Labda nije kwenye idea yako , hiyo nyumba ya chumba kimoje balcony jiko na sebule , inategemeana na umeijenga wapi na mji gani , Usione watu wanakula Dollars na nyumba za Airbnb ukadhani ni rahIsi kuwa na nyumba za namna hiyo anywhere, , kuna maeneo nyumba za kodi nzuri nzuri zinakaa na maeneo hayo sio ya bei rahisi kuyanunua.
Kuna sehemu hapa moro nadhan zina miaka hazina wateja
 
Chukua mf hapo umezijenga dodoma kodi kwa ujumla wake hii ya vyumba vitatu fanya laki 4 hizi vyumba kimoja laki 4 hii ingine laki 3 total 1.1m kwa mwezi mara 12 ni karibu 1320000 kwa mwaka
 
Na mpangaji wa kulipa kodi za 300 to 500 k, kama ni mswahili, jua hatokaa sana , kelele za wanafamilia ,ndugu , na jamii kuwa anafuja pesa n.k , ikipita mwaka lazima ahamie kwenye kibanda chake cha chumba mbili mbezi malamba huko , na akiondoka lazima uingie gharama kukarabati , maana wanaondokaga hadi na swtich socket za ukutani.
Acha tu ndio maana watu wanalalamika wanakuta nyumba za kupanga ziko hovyo.
 
Chukua mf hapo umezijenga dodoma kodi kwa ujumla wake hii ya vyumba vitatu fanya laki 4 hizi vyumba kimoja laki 4 hii ingine laki 3 total 1.1m kwa mwezi mara 12 ni karibu 1320000 kwa mwaka
Hesabu zako uko sawa. Ila mwingine ndio anapiga hesabu awekeze 150m halafu apate 1.1m kwa mwezi anaona sio sawa. Just imagine mwaka mzima unasubiri 13.2m wakati umeweka 150m.
 
Tunachukuliaje hii sio biashara ikutoe kimaisha uwe ushatoka ndio sasa unafanya hii biashara
 
Back
Top Bottom